Nakumbuka ile siku askari wa JWTZ alipokula kichapo cha fedheha kutoka kwa aAkari wa Magereza

Nakumbuka ile siku askari wa JWTZ alipokula kichapo cha fedheha kutoka kwa aAkari wa Magereza

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Ilikuwa miaka ya 1997-1999, kumbukumbu zangu zinaniambia hivyo.

Kulikuwa na gulio la mazao (korosho) katika viwanja vya magereza Liwale-Lindi.

Sasa huyo jamaa wa JWTZ alikuja likizo kuwasalimia wazazi na ndugu. Naye akaenda gulioni kusaidia wazazi kupima korosho.

Yule mjeda alitumia ubabe hakufuata foleni basi akashikwa shati na kurudishwa nyuma kabisa ya foleni .

Alihisi ameaibika akatamka maneno ya dharura na ukali kwa afande wa Magereza a.k.a jeshi la TIMAMU AFANDE.

Basi mkono ukaanza, ile jamaa wa Jei Wii anaruka tu kashuka na teke la mbavu na mkono ukaishia papo hapo.

Mpaka leo jamaa wa JWTZ anatembea upande upande.
 
Hello!
Ilikuwa miaka ya 1997-1999 kwa kumbukumbu zangu zinaniambia hivyo.
Kulikuwa na gulio la mazao (korosho) katika viwanja vya magereza Liwale-Lindi.
Sasa huyo jamaa wa JWTZ alikuja likizo kumsalimia wazazi na ndugu. Naye akaenda gulioni kusaidia wazazi kupima korosho.
Yule mjeda alitumia ubabe hakufuata foleni basi akashikwa shati na kurudishwa nyuma kabisa ya foleni .
Alihisi ameaibika akatamka maneno ya dharura na ukali kwa afande wa Magereza a.k.a jeshi la TIMAMU AFANDE.
Basi mkono ukaanza, ile jamaa wa Jei Wii anaruka tu kashuka na teke la mbavu na mkono ukaishia papo hapo.
Mpaka leo jamaa wa JWTZ anatembea upande upande.

Kwa hiyo
 
Basi raia watakuja kupinga hapa maana wanaamini jw wananguvu kuliko mtu yoyote hata awe dem mjeshi basi inaaminika ni moto wa kuotea mbali.


Ukija kwenye uhalisia sasa hao watu ni mavi ya kima,mdebwedo kabisa[emoji1][emoji1].

Wadogo zangu wavaa gwani naomba munisamehe kidogo nilikuwa na balansi mzani.
 
Kuna askari mmoja alikuwa kitengo cha kutuliza fujo gerezani kule Dodoma, yani wafungwa wakileta vurugu jamaa na wenzake wanne wanaitwa wanaingia ndani ya gereza wanaanza kutembeza kichapo dakika chache tu gereza linatulia.

Siku moja nilipata fursa ya kushikana naye mkono aloo mkono ni mgumu kama kipande cha mbao kavu.
 
Kuna askari mmoja alikuwa kitengo cha kutuliza fujo gerezani kule Dodoma, yani wafungwa wakileta vurugu jamaa na wenzake wanne wanaitwa wanaingia ndani ya gereza wanaanza kutembeza kichapo dakika chache tu gereza linatulia.

Siku moja nilipata fursa ya kushikana naye mkono aloo mkono ni mgumu kama kipande cha mbao kavu.
Ahahahaha
 
Kuna askari mmoja alikuwa kitengo cha kutuliza fujo gerezani kule Dodoma, yani wafungwa wakileta vurugu jamaa na wenzake wanne wanaitwa wanaingia ndani ya gereza wanaanza kutembeza kichapo dakika chache tu gereza linatulia.

Siku moja nilipata fursa ya kushikana naye mkono aloo mkono ni mgumu kama kipande cha mbao kavu.
KMKM
 
Kuna hawa wenye tabia ya kuweka makoti kwenye siti za V iSt vyao hawatembei na leseni aisee wana majigambo na majivuno ile mbaya hovyo sana.
Hii yote ni kukosa kazi za kufanya huko makambini naishauri serikali iwapeleke UKraine ikawasaidie wakirudi akili zitakuwa zimekaa sawa.
 
Kuna hawa wenye tabia ya kuweka makoti kwenye siti za V iSt vyao hawatembei na leseni aisee wana majigambo na majivuno ile mbaya hovyo sana.
Hii yote ni kukosa kazi za kufanya huko makambini naishauri serikali iwapeleke UKraine ikawasaidie wakirudi akili zitakuwa zimekaa sawa.
Usicheze na mziki wa vijana wa Kirusi.
Wakienda Ukraine watarudi wanalia
 
JW ni mabingwa wa kuchangia, ... nje ya hapo inategemea na mafunzo na mtu mmoja mmoja!
Askari mzuri ni yule anayetumia mafunzo yake kusaidia wanyonge, NJE YA HAPO NI JAMBAZI LINGINE TU LINALONGOJEA 40 ZAKE!
Ubabe wao mara nyingi huufanyia kazini au mahali ambapo anaona wenzake wako karibu ili ok ikitokea la kutokea apige filimbi.
Tegeta muuza matikiti alimtwanga mjeda mpaka alikwenda kulazwa
 
Hello!
Ilikuwa miaka ya 1997-1999, kumbukumbu zangu zinaniambia hivyo.

Kulikuwa na gulio la mazao (korosho) katika viwanja vya magereza Liwale-Lindi.

Sasa huyo jamaa wa JWTZ alikuja likizo kuwasalimia wazazi na ndugu. Naye akaenda gulioni kusaidia wazazi kupima korosho.

Yule mjeda alitumia ubabe hakufuata foleni basi akashikwa shati na kurudishwa nyuma kabisa ya foleni .

Alihisi ameaibika akatamka maneno ya dharura na ukali kwa afande wa Magereza a.k.a jeshi la TIMAMU AFANDE.

Basi mkono ukaanza, ile jamaa wa Jei Wii anaruka tu kashuka na teke la mbavu na mkono ukaishia papo hapo.

Mpaka leo jamaa wa JWTZ anatembea upande upande.
...Miaka 23 iliyopita! Leo imekukumbusha Nini? Hadithi Yako inatufundisha Nini?
 
Hello!
Ilikuwa miaka ya 1997-1999, kumbukumbu zangu zinaniambia hivyo.

Kulikuwa na gulio la mazao (korosho) katika viwanja vya magereza Liwale-Lindi.

Sasa huyo jamaa wa JWTZ alikuja likizo kuwasalimia wazazi na ndugu. Naye akaenda gulioni kusaidia wazazi kupima korosho.

Yule mjeda alitumia ubabe hakufuata foleni basi akashikwa shati na kurudishwa nyuma kabisa ya foleni .

Alihisi ameaibika akatamka maneno ya dharura na ukali kwa afande wa Magereza a.k.a jeshi la TIMAMU AFANDE.

Basi mkono ukaanza, ile jamaa wa Jei Wii anaruka tu kashuka na teke la mbavu na mkono ukaishia papo hapo.

Mpaka leo jamaa wa JWTZ anatembea upande upande.
Wewe ni Askari magereza wa gereza gani?, Isiwe ni yule ambae juzi mlikimbia mjeshi pale njia panda ya kwenda Mtanda, mlikuwa mnamtukana lkn baada ya watu waliokuwa pembeni kuropoka mjeshi anatukanwa na bado anaonesha ustaarabu mlivyosikia hivyo tu mkalala mbele kiaina wewe na mwenzako.
 
Back
Top Bottom