Nakumbuka ile siku askari wa JWTZ alipokula kichapo cha fedheha kutoka kwa aAkari wa Magereza

Nakumbuka ile siku askari wa JWTZ alipokula kichapo cha fedheha kutoka kwa aAkari wa Magereza

Kuna askari mmoja alikuwa kitengo cha kutuliza fujo gerezani kule Dodoma, yani wafungwa wakileta vurugu jamaa na wenzake wanne wanaitwa wanaingia ndani ya gereza wanaanza kutembeza kichapo dakika chache tu gereza linatulia.

Siku moja nilipata fursa ya kushikana naye mkono aloo mkono ni mgumu kama kipande cha mbao kavu.
Wanaitwa KM hao, kaa mbali kabisa aisee..
 
Kuna hawa wenye tabia ya kuweka makoti kwenye siti za V iSt vyao hawatembei na leseni aisee wana majigambo na majivuno ile mbaya hovyo sana.
Hii yote ni kukosa kazi za kufanya huko makambini naishauri serikali iwapeleke UKraine ikawasaidie wakirudi akili zitakuwa zimekaa sawa.
Wewe inaonyesha ni trafiki, hao wanakunyima unyang'anyi wa fedha za wananchi.
 
Uelewa wangu, nilidhani ufiti wa Askari, ni katika utendaji kwenye majukumu yake, kumbe ni kwenye ngumi.

Sasa huku manzese kuna watu wanarusha mkono, kuliko hao magereza na JWTZ, angalau FFU hata hivyo sidhani kama mafunzo yao, yanajikita sana kwenye mkono kuliko kutuliza fujo kutumia nyenzo.
Ila mtaani mtu, anajifua kila siku tangu miaka kumi iliyopita anafanya mazoezi ya mkono. Na mafunzo ya karate, moja ya miiko yake, ni kuwa mpole, siyo kujivunia karate, bali utumie katika kujihami.
Sasa ukimkuta mtu eti sababu yeye ni askari ananzisha fujo kijivunia uaskari wake, jua huyo mikononi mtupu.
 
Uelewa wangu, nilidhani ufiti wa Askari, ni katika utendaji kwenye majukumu yake, kumbe ni kwenye ngumi.

Sasa huku manzese kuna watu wanarusha mkono, kuliko hao magereza na JWTZ, angalau FFU hata hivyo sidhani kama mafunzo yao, yanajikita sana kwenye mkono kuliko kutuliza fujo kutumia nyenzo.
Ila mtaani mtu, anajifua kila siku tangu miaka kumi iliyopita anafanya mazoezi ya mkono. Na mafunzo ya karate, moja ya miiko yake, ni kuwa mpole, siyo kujivunia karate, bali utumie katika kujihami.
Sasa ukimkuta mtu eti sababu yeye ni askari ananzisha fujo kijivunia uaskari wake, jua huyo mikononi mtupu.
Waeleze waeleze hao kima
 
Back
Top Bottom