Nakumbuka ile siku askari wa JWTZ alipokula kichapo cha fedheha kutoka kwa aAkari wa Magereza

Nakumbuka ile siku askari wa JWTZ alipokula kichapo cha fedheha kutoka kwa aAkari wa Magereza

Wewe ni Askari magereza wa gereza gani?, Isiwe ni yule ambae juzi mlikimbia mjeshi pale njia panda ya kwenda Mtanda, mlikuwa mnamtukana lkn baada ya watu waliokuwa pembeni kuropoka mjeshi anatukanwa na bado anaonesha ustaarabu mlivyosikia hivyo tu mkalala mbele kiaina wewe na mwenzako.
Ahahahaha
Hapana, Mimi sio mjelajela sema tu nimekulia mazingira ya jelajela.
Mimi ni askari ila si wa magereza wala Jei Wii
 
Ahahahaha
Hapana, Mimi sio mjelajela sema tu nimekulia mazingira ya jelajela.
Mimi ni askari ila si wa magereza wala Jei Wii
Hapana, nahisi kati ya wale wawili mmoja wapo ni wewe, hapa umeamua kuigeuza story kutokana na yaliokufika, asilimia kubwa ya aina zote za maaskari JWTZ ndio marafiki wa raia wengi, katika hali ya kawaida hawa jamaa ndio kimbilio la raia wengi hata mtaani.

Tatizo lao kubwa ni kimbilio sana la mademu wetu mtaani, ili hata mimi siwasapoti. Na inawezekana kati ya chuki za wachache kwa JWTZ ni hii issue, lkn nashindwa kulishupalia sana hili kwa sababu na hawa mademu nao ndio wanaoshoboka sana kwao.
 
Iwe polisi,jeshi au magereza kitacho mfanya awe mkakamavu ni mazoezi yake binafsi au shughuli za Kila siku..unless ni labda miezi sita toka kwenye mafunzo ndio mjeshi anakua fiti zaidi ya hao wengine kinyume cha hapo kama hafanyi mazoezi dah ni mtihani kuna watu wanapiga zoezi daily kama hobby afu aje kukutana na mtu alifanya mazoezi miaka 5 iliyopita hata Kama yalikua makali vipi atakaa tu kutokana na mwili ushakua lege.
 
Sema watu wanachanganya sana..
Kwani kuwa mwanajeshi ndio unakua unajua ngumi? Kwanza vita ya sasa hivi ukiona imefikia hatua ya watu kutumia ujuzi wa ngumi ujue kuna vitu haviko sawa kabisa.
Siku hizi hata pande mbili zinazopigana hazionani sura kwa sura .
Uwezo wa askari wa Jw kujua ngumi ni juhudi zake binafsi na akifanikiwa kuingia kwenye combat kareti.
 
Basi raia watakuja kupinga hapa maana wanaamini jw wananguvu kuliko mtu yoyote hata awe dem mjeshi basi inaaminika ni moto wa kuotea mbali.


Ukija kwenye uhalisia sasa hao watu ni mavi ya kima,mdebwedo kabisa[emoji1][emoji1].

Wadogo zangu wavaa gwani naomba munisamehe kidogo nilikuwa na balansi mzani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna askari mmoja alikuwa kitengo cha kutuliza fujo gerezani kule Dodoma, yani wafungwa wakileta vurugu jamaa na wenzake wanne wanaitwa wanaingia ndani ya gereza wanaanza kutembeza kichapo dakika chache tu gereza linatulia.

Siku moja nilipata fursa ya kushikana naye mkono aloo mkono ni mgumu kama kipande cha mbao kavu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ubabe wao mara nyingi huufanyia kazini au mahali ambapo anaona wenzake wako karibu ili ok ikitokea la kutokea apige filimbi.
Tegeta muuza matikiti alimtwanga mjeda mpaka alikwenda kulazwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna hawa wenye tabia ya kuweka makoti kwenye siti za V iSt vyao hawatembei na leseni aisee wana majigambo na majivuno ile mbaya hovyo sana.
Hii yote ni kukosa kazi za kufanya huko makambini naishauri serikali iwapeleke UKraine ikawasaidie wakirudi akili zitakuwa zimekaa sawa.
Yaani upo jf unaandika kwa uhuru kabisa afu unasema hawana kazi... Wenzako somalia na kenya mawenge daily

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello!
Ilikuwa miaka ya 1997-1999, kumbukumbu zangu zinaniambia hivyo.

Kulikuwa na gulio la mazao (korosho) katika viwanja vya magereza Liwale-Lindi.

Sasa huyo jamaa wa JWTZ alikuja likizo kuwasalimia wazazi na ndugu. Naye akaenda gulioni kusaidia wazazi kupima korosho.

Yule mjeda alitumia ubabe hakufuata foleni basi akashikwa shati na kurudishwa nyuma kabisa ya foleni .

Alihisi ameaibika akatamka maneno ya dharura na ukali kwa afande wa Magereza a.k.a jeshi la TIMAMU AFANDE.

Basi mkono ukaanza, ile jamaa wa Jei Wii anaruka tu kashuka na teke la mbavu na mkono ukaishia papo hapo.

Mpaka leo jamaa wa JWTZ anatembea upande upande.
Imani zitakuponza.Usikiamini kila ukionacho chaweza kuwa na upande usiouamini.Bii keyafuru!
 
Mbona ni kitu cha kawaida wanapigika sana bar wanaletaga ushamba wa kudhani wako kambini wanachezea kichapo Mara kibao wako Kama wanafunzi vile ukimpiga mmoja wanaenda kuitana wengi ila wenye ubavu wa kujitetea mmoja wachache sana

iko hivyo yaan ila usipigane na Askari yeyote akiwa kwenye unform Sheria zinawalinda sana, ila akiwa kiraia akileta dharau ruka nae tu alafu wahi kachukue pf3 na kumfungulia kesi kabla yake, vinginevyo unachezea miez 6 jela
 
Kuna askari mmoja alikuwa kitengo cha kutuliza fujo gerezani kule Dodoma, yani wafungwa wakileta vurugu jamaa na wenzake wanne wanaitwa wanaingia ndani ya gereza wanaanza kutembeza kichapo dakika chache tu gereza linatulia.

Siku moja nilipata fursa ya kushikana naye mkono aloo mkono ni mgumu kama kipande cha mbao kavu.
Hao ni kikosi maalum ndani ya jeshi la magereza KM.
 
JW ni mabingwa wa kuchangia, ... nje ya hapo inategemea na mafunzo na mtu mmoja mmoja!
Askari mzuri ni yule anayetumia mafunzo yake kusaidia wanyonge, NJE YA HAPO NI JAMBAZI LINGINE TU LINALONGOJEA 40 ZAKE!
Sio JW tu, majeshi yote dunia nzima mafunzo Yao mostly Ni ya kuchangia ndio Maana Kuna platoon, company, battalion, brigade.
 
Ni kweli hata kozi yao si mchezo
Wee huoni bado askari magereza kuna wazee na bado wako fiti balaa
Hao masela hua sio wa mchezo mchezo Hadi manati hua wanabeba Kama Silaha.
Screenshot_20220710-010603.jpg
 
Askari Magereza watu huwachukulia poa tu kwa vile wao kama wamepoa hivi, muulize mtu yoyote aliewahi kaa jela atakwambia mziki wake, sasa hapo unakuta ni askari wa kawaida tu alimkalisha baka baka, angekuwa wale KM wazee wa kazi? Acha kabisa
 
Back
Top Bottom