Uchaguzi 2020 Nakuonya Tundu Lissu kuelekea uchaguzi mkuu 2020

Ndo matokeo ya Polepole kuokoteza watetezi wa CCM wasio na uwezo.

Alafu na huyu anajiita kada wa chama anaye tarajia uteuzi... Hata Kuandika hajui... Inasikitisha Sana.

Hawa pumzi ishakata wanategea hisani ya polisi, tume, msajiri wa vyama na mahakama... Kabla hawajafikiria kumbe wenzao washajua Hadi wanachokitaka...
 
We unamuonya Kama Nani?
Na Bado mtaweweseka Sana.
#2020 NI-YEYE
 
Hivi kweli kabisa waTz na akili zao timamu wakampigie kura TUNDU LISU na ule uchizi uliomja kichwani???
Hilo Jambo halitoweza kutokea milele daima
Mbona mmevipiga mkwara vyombo vya habari kuonyesha taarifa zake??? Tutaelewana mwaka huu, kama mlizoea vya kuchinja mwaka huu ni vya kunyonga sasa.
 
Hashauriki huyo msaliti Lissu tunasubiri tarehe 28/10/2020 tumchinjie baharini.
 
Wasugusu utawajua kwa kiswahili chao "vulugu " badala ya vurugu .
 
Huo uchafu wako peleka kwa vilaza wenzako wa Lumumba!!
 
Kamuonye kwanza mama yako kwa kukuzaa toto jinga jinga kama wewe.
 
Wewe bila shaka ni cyprian musiba. Umeona magazeti yako hayasomwi umekuja kuandika huku uharo wako.
 
Wapinzani ndio wameishiwa wajenga hoja na ndio mnafikia wakati mnacho angalia kwenye thread nzito nzito huwa mnachambua makosa ya kiuwandishi na sio kuchambua hoja.
Hii nayo ni thread nzito?😁😁😁😁😁😁Daaah,hakuna ulichoandika zaidi ya porojo!Mkifanya ya Jecha kitaeleweka awamu hii!Ifikie mahali sanduku la kura liheshimiwe na liogopwe kuchezewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…