Philipo Mwakibinga
Senior Member
- May 13, 2013
- 110
- 175
Onyo linatakiwa lizingatiweMbona mnaweweseka sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Onyo linatakiwa lizingatiweMbona mnaweweseka sana?
Nani kashindwa kutumia maendeleo wakati ninyi ndiyo mnajifanya hamuoni mmejitia upofu? Watanzania wanachukizwa sana na tabia zenuCCM wamepagawa wanajidai kusema wameleta maendeleo cha ajabu hawataki kutumia maendeleo kupata kura wamebakia kuleta mada ndefu mitandaoni pasipo kuzingatia kuwa watanzania wameamka wana Akili kubwa kuliko CCM wachache waliojitoa fahamu
Umeshindwa kujificha kwenye maandishi yako! Ulianza kama mtu huru baadaye umejikuta umechagua upande wa kuutumikia. ChukiCCM wanalalamikia chadema kufanya vurugu, wapinzani wanalalamika kufanyiwa vurugu tumuelewe na tumsikilize Nani.
hakuna serikali au polisi wawakamate hao wafanya vurugu. Au serikali nayo inalalamika kufanyiwa vurugu
Kama vipi tuungane kuiondoa hii serikali dhalimu ambayo haijui majukumu yake.
*Haki uinua Taifa*
Umeshamuonya bibi yako?Kumuonya mtu si kuweweseka
Kwani wewe mmoja ni Watanzania? Wewe mmoja usipotuunga mkono ni demokrasia na sisi hatuwezi tulibaliwe na wote tunataka asilimia 89 kwenda juu na tutashinda kwa kishindo kikubwaWatetezi wa CCM mitandaoni wamejitoa fahamu zote wameamua kuleta mada ndefu zisizo na tija wakidhani watanzania ni wajinga kama wao
Kungekua hakuna hoja wewe ungekuja hapa kujitokeza? Jua kuwa jiwe limekutoa ulikokuwa umejificha sindano na dawa zimeingia babuuYaani CCM imeishiwa wajenga hoja mpaka inashangaza.
Vulungu ndo kitu gani mkuu?
Unapiga ramri chonganishi?Wamiliki wa kitengo cha utetezi wa CCM mitandaoni ni Le mutuz kubwa jinga na cyprian Musiba, wana gheto wamewajaza vijana wavuta Bangi huko huwakaririsha ujinga wao mwingi kisha kuwatuma kuja kusumbua watu mitandaoni.
Fuatilia hotuba zakewapi lissu aliwahi kusema kuwa kama atadhindwa hatakubali?
Alisema kuwa AKINYANG"ANYWA USHINDI HATAKUBALI Akasema pia AKISHINDWA KIHALALI ATAKUWA WA KWANZA KWENDA KUMPONGEZA MSHINDI.
CDM wamevurugwaWashavurugwa tayari
Kwahiyo kipimo cha hoja yenye mashiko kwako wewe ni kuwaacha wapinzani hata wanapokuwa na hatia? Ndiyo nchi mnayoiota hiyo? Kwamba MPINZANI kaifanya kosa siyo kesi? Hii nchi inafuata sheria siyo katiba ya CHADEMAHoja ipi huko CCM? CCM mna hoja? Tokea lini wanaccm wawe na hoja? ebu lete hoja kwa mfano, kama CCM mngekuwa na hoja mngehangaika kuwabambikia kesi kuwapiga risasi Chadema?
Ccm ndiyo mliyo vurugwa baada ya kugundua kuwa mlikuwa mnapoteza pesa nyingi kuwanunua viongozi wa cdm mkiamini ndiyo mmeimaliza cdm, kumbe ndiyo mlikuwa mnaweka mbolea ya kuistawisha cdm. [emoji23][emoji23][emoji23]CDM wamevurugwa
Maneno yamekua ya moto yamekuvurugaSentesi ya kwanza ina makosa kibao,nimeishia hapo kwenye "maadhi ya vyama".
Kweli kabisaMimi naona mtoa mada kamuonya Kama msaliti wa taifa letu pendwa Tanzania
Ndiyo ungepwaya?Ndo matokeo ya Polepole kuokoteza watetezi wa CCM wasio na uwezo.
Ndiyo ungecoment?Hana akili ya kujua alichoandika msamehee tu... Hana hoja
Ameleta maonyo Kama mtu aliyeonewa... Na bado.
Chadema inaonekana hayo maonyo Kama yamewagusa vile. Tulieni makamandaa sindano iwaingie[emoji23][emoji23]Umeshamuonya bibi yako?
Sheria zipi hizo mnazo zifuata nyinyi? Au ile sheria ya mbunge kutangaza kujiuzuru chama lkn Ndugaye akamlazimisha kuendelea kubakia bungeni akiendelea kupokea mshahara na posho za vikao?Kwahiyo kipimo cha hoja yenye mashiko kwako wewe ni kuwaacha wapinzani hata wanapokuwa na hatia? Ndiyo nchi mnayoiota hiyo? Kwamba MPINZANI kaifanya kosa siyo kesi? Hii nchi inafuata sheria siyo katiba ya CHADEMA
Kama wewe ulivyo kariri mtazamoNaona umekariri zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCM
Mjiandae kisaikolojia maana baada ya uchaguzi wa October mh Lissu ndiyo anakuwa rais wakoManeno yamekua ya moto yamekuvuruga
Pipa na funiko mnapongezanaKweli kabisa