Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wewe ndiyo uliyo pwaya baada ya kutumiwa hovyooNdiyo ungepwaya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiyo uliyo pwaya baada ya kutumiwa hovyooNdiyo ungepwaya?
Hili jukwaa siyo la ccmNdiyo ungecoment?
Tumestuka hakuna mtu atakaye ingia mtaani kwa ujinga wenu na huyo kowadi na msaliliti wa taifaHii nayo ni thread nzito?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Daaah,hakuna ulichoandika zaidi ya porojo!Mkifanya ya Jecha kitaeleweka awamu hii!Ifikie mahali sanduku la kura liheshimiwe na liogopwe kuchezewa!
Nenda lumumba ukapokee buku 7Kawe,Hai,Mbeya,Kinondoni,Ukonga nk hakukua na vitu hivyo hata mkashinda?
JUMA JUMA ACHA UNAFIKI UTAKUFA MDOMO WAZI .....CHANZO KIKUBWA CHA VURUGU NI WATU WETU SISI (DCs and RCs).Katika kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu imekuwa kama desturi kwa maadhi ya vyama vya siasa kikiwemo CHADEMA kuendeleza siasa zenye mlengo wa vulungu na uvunjifu wa amani. Ni muhimu sana kama taifa kukumbushana baadhi ya vitu tunapoelekea katika uchaguzi huu maana mchakato upo mwanzoni lakini tunashuhudia vitendo vinaratibiwa vya uvunjifu wa amani na baadhi ya viongozi tukinukuu maneno ya Tundu Lisu akiongea nyakati tofauti wakati anazunguka kutafuta wadhamini kuwa hatakubari kushindwa, hapa tunapata tafsiri ya kuwa amejianda katika kuleta vurugu maana tunavyojua siasa ni ushindani wa hoja na si kushindana kwa kupigana.
lakini hatuwezi kumshanga Tundu Lisu kwa sababu kubwa moja uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mwepesi sana kwa Chama cha mapinduzi sababu katika kipindi cha miaka mitano wameweza kutekeleza Ilani yao kwa asilimia 100 chini ya uongozi hodari na thabiti wa Mh. Rais John Pombe Magufuli kwa kuweza kusimamia kwa vitendo utekelezaji wake wa Ilani hiyo.
Nakuonya Tundu Lissu usije ukajalibu wala kurogwa kuliingiza taifa hili katika machafuko kwa malengo yako binafsi na watu wanaokutuma yaani Mabeberu ndio maana nimeamua kukuonya kwanza ili watanzania watakapo kuja kukuonya katika sanduku la kura usije ukaona umeonewa na ukaanzisha vurugu na vikundi vyako vilivyopo ndani ya chadema.
Nakuonya Tundu Lissu uchaguzi wa mwaka huu nikuhakikishie Ajenda ya watanzania wanachagua maendeleo na si kelele unazopiga katika majukwaa ni bora ushauri wapi kunatakiwa kuboreshwa na si kujenga hoja za kuligawa taifa letu.
Nakuonya Tundu Lissu nibora ujiengue katika hiki kinyanganyiro maana unakwenda kupata aibu na kukifanya CHADEMA kuwa chama cha tatu au cha nne katika upinzani hivyo basi ni bora ukae pembeni au uungane na jeshi la Magufuli katika kufanya siasa za maendeleo anazozifanya MAGUFULI
Nakuonya Tundu Lissu kuwa muangalifu na chukua tahadhali kubwa katika kipindi hiki kama mgombea wa CHADEMA maana utapokea maelekezo mbali mbali kutoka kwa viongozi wenzio ndani ya CHADEMA kwa mazumuni ya kuleta vurugu katika nchi usije ukakubali kuwa katika mpango mkakati huo.
Mwisho nakuonya Tundu Lissu tumia muda huu kupumzika maana naamini kinga za mwili wako bado hazipo sawa kufanya wewe uwezi kufanya kampeni tena za kuzunguka nchi nzima hivyo jali kwanza afya yako maana afya ni bora kuliko hiko unachokipigania
Msaliti wa taifa la ukoo wenu wa panyaTumestuka hakuna mtu atakaye ingia mtaani kwa ujinga wenu na huyo kowadi na msaliliti wa taifa
Malawi chama tawala kilitolewa kikaingia chama pinzani cha akina Mutharika sasa kimerudi chama tawala sijui kama unaelewa hili usije ukawa kama wasiojua wanaofikiri chama kilichoshindwa Malawi ni tawala. Kumbuka upinzani malawi walishindwa kupaform ndiyomaana wametolewa sasa Tanzania siyo mahabara kwamba tuwape nchi ya majaribioYa Malawi Congo kenya yanaenda kutokea Tanzania
2020 ni YEYE DR MAGUFULIWe unamuonya Kama Nani?
Na Bado mtaweweseka Sana.
#2020 NI-YEYE
Huyu ndiyo rais wakoKama wewe ulivyo kariri mtazamo
Hi comment yako moja kwa moja inaashiria msumari umekuchomaaWewe bila shaka ni cyprian musiba. Umeona magazeti yako hayasomwi umekuja kuandika huku uharo wako.
Vyombo vya habari vimeamua kumpotezea baada ya kuona hawawezi kuripoti ujingaMbona mmevipiga mkwara vyombo vya habari kuonyesha taarifa zake??? Tutaelewana mwaka huu, kama mlizoea vya kuchinja mwaka huu ni vya kunyonga sasa.
Ndiyo maana umeelewa maana iliandikwa hata kwaajili ya watu wa aina yenuWasugusu utawajua kwa kiswahili chao "vulugu " badala ya vurugu .
Sindano zinawaingia nyinyi waramba viatu maana mnajua kuwa Jiwe asipo pata urais ndiyo mwisho wenu wa maisha maana hakuna mtu atawapatia kazi ya umbeaChadema inaonekana hayo maonyo Kama yamewagusa vile. Tulieni makamandaa sindano iwaingie[emoji23][emoji23]
Umesoma umeelewa unawazuga wenzioHuo uchafu wako peleka kwa vilaza wenzako wa Lumumba!!
Uwelewa wako wa kuchambua mambo ndio umeishia happy duu! Pole sanaPumbafu
Hii ni ndoto inaotwa na aliyelala mchana akiwa ananjaa kaliMark my words! Magufuli ndo majibu yake atayapata October. Hakuna rangi ataacha ona iyo October nakwambia
Acha kudandia treni kwa mbele.2020 ni YEYE DR MAGUFULI
Maneno ya asiye na hojaKamuonye kwanza mama yako kwa kukuzaa toto jinga jinga kama wewe.
Duuu yaani leo umepewa posho na Chakubanga ukaenda kununua kimchina na ukajiunga leo leo jf ili uongeze nguvu za kumshambulia mh Lissu, rais mtarajiwa!Maneno yamekua ya moto yamekuvuruga
Katika kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu imekuwa kama desturi kwa maadhi ya vyama vya siasa kikiwemo CHADEMA kuendeleza siasa zenye mlengo wa vulungu na uvunjifu wa amani. Ni muhimu sana kama taifa kukumbushana baadhi ya vitu tunapoelekea katika uchaguzi huu maana mchakato upo mwanzoni lakini tunashuhudia vitendo vinaratibiwa vya uvunjifu wa amani na baadhi ya viongozi tukinukuu maneno ya Tundu Lisu akiongea nyakati tofauti wakati anazunguka kutafuta wadhamini kuwa hatakubari kushindwa, hapa tunapata tafsiri ya kuwa amejianda katika kuleta vurugu maana tunavyojua siasa ni ushindani wa hoja na si kushindana kwa kupigana.
lakini hatuwezi kumshanga Tundu Lisu kwa sababu kubwa moja uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mwepesi sana kwa Chama cha mapinduzi sababu katika kipindi cha miaka mitano wameweza kutekeleza Ilani yao kwa asilimia 100 chini ya uongozi hodari na thabiti wa Mh. Rais John Pombe Magufuli kwa kuweza kusimamia kwa vitendo utekelezaji wake wa Ilani hiyo.
Nakuonya Tundu Lissu usije ukajalibu wala kurogwa kuliingiza taifa hili katika machafuko kwa malengo yako binafsi na watu wanaokutuma yaani Mabeberu ndio maana nimeamua kukuonya kwanza ili watanzania watakapo kuja kukuonya katika sanduku la kura usije ukaona umeonewa na ukaanzisha vurugu na vikundi vyako vilivyopo ndani ya chadema.
Nakuonya Tundu Lissu uchaguzi wa mwaka huu nikuhakikishie Ajenda ya watanzania wanachagua maendeleo na si kelele unazopiga katika majukwaa ni bora ushauri wapi kunatakiwa kuboreshwa na si kujenga hoja za kuligawa taifa letu.
Nakuonya Tundu Lissu nibora ujiengue katika hiki kinyanganyiro maana unakwenda kupata aibu na kukifanya CHADEMA kuwa chama cha tatu au cha nne katika upinzani hivyo basi ni bora ukae pembeni au uungane na jeshi la Magufuli katika kufanya siasa za maendeleo anazozifanya MAGUFULI
Nakuonya Tundu Lissu kuwa muangalifu na chukua tahadhali kubwa katika kipindi hiki kama mgombea wa CHADEMA maana utapokea maelekezo mbali mbali kutoka kwa viongozi wenzio ndani ya CHADEMA kwa mazumuni ya kuleta vurugu katika nchi usije ukakubali kuwa katika mpango mkakati huo.
Mwisho nakuonya Tundu Lissu tumia muda huu kupumzika maana naamini kinga za mwili wako bado hazipo sawa kufanya wewe uwezi kufanya kampeni tena za kuzunguka nchi nzima hivyo jali kwanza afya yako maana afya ni bora kuliko hiko unachokipigania