Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
🤣🤣🤣🤣Nikuone bas unavolia😁 we ukitinga raba, traki & tishert unakimbia haste haste hapo road ni mwendo 🎶huyo mtotooo🎶
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Nikuone bas unavolia😁 we ukitinga raba, traki & tishert unakimbia haste haste hapo road ni mwendo 🎶huyo mtotooo🎶
🤣🤣🤣 tatizo ghafla sana halafu ulisema una mdada unamuelewa humu ila unaogopa kumwambia, nilivyoona raba za jogging kwa Atoto nikajua ni yeyeUwiiiiiiiiiiii!!!!!!!!! We mtu akikununulia raba za jogging ndo tayari?
Uzidi kubarikiwa mkuuMara nyingi/zote viatu vyeusi havichanganwyi na rangi nyingine.. hata converse huwaga hivyo. Ila hizi rangi nyingine ndo zinachanganywa. So nyeusi huwaga peke yake! Hivi huchanganywa na nyeupe na rangi nyingine
Hii hii ukiikuta kariakoo reja ni 25. Na kwq mchina huwez kupelekwa kirahis. So nimeandika hapa vijana wajiongeze! Ajira zipo ila zina wenyewe
Ananifaa yule hana mbamba biz itaenda, mauzo yatakuwa makubwa 🤣🤣🤣Coca ye ushanduaji ndio kipaji chake, anashandua gerezani mpaka narung'ombe 😂
😂😂😂 hii sina uhalika nayo🤣🤣🤣🤣 Mimi ni dada.
Nlikuwa nimelewa🤣🤣🤣 tatizo ghafla sana halafu ulisema una mdada unamuelewa humu ila unaogopa kumwambia, nilivyoona raba za jogging kwa Atoto nikajua ni yeye
Ongea na Nyamwila255 ndo dada Yao mkubwa huenda hajawahiwa🤣



Ahahahaha hujawahi tapeliwa mkuu?Sasa hata hili mpaka uwe na digrii wakati wanakata vipande vya ndala unawaona kabisa pale
Kumuwahii!! ngoja niwahi mm😂😂
Aiseee jamaa hakuamn kwa kwelii😂😂😂 kakutana na kina Mr matelephone
Kashakuambia hizo ni za kuzugiazinadumu?
Nimeogopa kusema hivyo pale mwanzo, afadhali ww umesema!!Midosho
Mimi nanunua sana jezi. Soko langu kubwa ni la Zambia.Kwq mlokole sijui kama atakuwa nazo. Mana wateja wa jez sina asee so sifatiliagi sana.
Mchina amesema ni za kuzugia.zinadumu?