Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Kalaga Baho Nongwa kama ni Narung'ombe na Congo jengo la Congo Tower yule Mchina anaitwa Maua ukipanda Kwa hii ngazi ya kwanza kulia kwako duka la kwanza vitenge duka la pili ndo yeye, pale mara nyingi naonaga anauza jumla ila kama reja reja anauza inabidi nikamtafutie Atoto viatu vya jogging
🤣🤣🤣🤣 Si ungeniambia tu taratibu ningekuelewa. Yaani hadi nikimbie kama mwehu 🙆🙆
Nimelia sana
 
Kalaga Baho Nongwa kama ni Narung'ombe na Congo jengo la Congo Tower yule Mchina anaitwa Maua ukipanda Kwa hii ngazi ya kwanza kulia kwako duka la kwanza vitenge duka la pili ndo yeye, pale mara nyingi naonaga anauza jumla ila kama reja reja anauza inabidi nikamtafutie Atoto viatu vya jogging
Kumbe Atoto ndio wizo 😂😂
 
Back
Top Bottom