Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Kuna jamaa yangu wa mkoani aliagiza kiatu duka fulani sinza akaniomba nikifuatilie nilipie nimtumie, bei ilikuwa 170K. Akantumia picha nikapita k/koo nikakitafuta nikakipata kwa 75K.

Ikapita wiki baada ya kukipata jamaa yake nae akakipenda na kuagiza alikuwa na shughuli na ilikuwa jpili, k/koo jpili kumepoa sana nikakitafuta nikakikosa ikabidi niende sinza kuchukua kile cha pichani ili mwamba afanikishe jambo lake, hicho cha sinza kilikuwa kimekaa sana dukani hadi kimepoteza mvuto ila bei juu. Faida ni kubwa na hapo ni kwa bei y Rejareja.
Inawezekana hata kkoo machinga pia walikupiga bei yake inaweza kuwa 40k
 
Kuna jamaa yangu wa mkoani aliagiza kiatu duka fulani sinza akaniomba nikifuatilie nilipie nimtumie, bei ilikuwa 170K. Akantumia picha nikapita k/koo nikakitafuta nikakipata kwa 75K.

Ikapita wiki baada ya kukipata jamaa yake nae akakipenda na kuagiza alikuwa na shughuli na ilikuwa jpili, k/koo jpili kumepoa sana nikakitafuta nikakikosa ikabidi niende sinza kuchukua kile cha pichani ili mwamba afanikishe jambo lake, hicho cha sinza kilikuwa kimekaa sana dukani hadi kimepoteza mvuto ila bei juu. Faida ni kubwa na hapo ni kwa bei y Rejareja.
Lamomy atabisha sabab anataka alete kopi zake apige hela
 
Back
Top Bottom