Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huyo ni vijora kwenye viatu hayumoLamomy atabisha sabab anataka alete kopi zake apige hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni vijora kwenye viatu hayumoLamomy atabisha sabab anataka alete kopi zake apige hela
Sasa biashsra yako faida ni maamuz binafsi.Mkuu tupo pamoja tunaelekezana kwa faida ya wengi, sina nia ovu.
Huyu mkinga juzi kafungua duka jengo jioya pale swahili na aggreyHuyo ni vijora kwenye viatu hayumo
Dosho hilo,og mimi niliinunua miaka 3 iliyopita laki 3 za kitz,mchina leo akuuzie elfu 10!Zisidum kwa nn mkuu? Matumizi yako tu...
Jirani tajiri Lamomy si unitoe jalalani? 😅Huyu mkinga juzi kafungua duka jengo jioya pale swahili na aggrey
Sawa mkuu nmekuelewa.Sasa biashsra yako faida ni maamuz binafsi.
Kuna jamaa alinunua simu kwa mtu kkoo kule weee asa ile kwenda kuchaji simu nyumbani anakuta haipeleki kwenda kwa fundi kumbe ina betri la itel ndogo mkuu😂😂😂😂Ndio maanake 😂😂😂
Kkoo hawajuagi hasara kule
Hilo duka ulilofungua Agrey vipi sasa ?Basi km hutaki 😂😂😂
sometimes ni ishu ya ubora. kkoo chenga sana vitu vingi. nakumbuka nilinunua aina moja ya simu kwa utofauti wa bei kwa tofauti ya wiki. niliyonunua kkoo ilikufa baada ya mwaka, niliyonunua posta nilidumu nayo miaka 5 kabla ya kuamua kuiuza ikiwa na uimara wake. hata features zinavyo operate kwa mtu makini ilikua unagundua tofauti.Kuna jamaa posta anauza 180 nilichoka! Kariakoo nilinunua kwa elfu 30 tu
Mpaji Mungu weka bei halis ya hiki kiatu mana mm ninauzaga sana hik kwenye tenda au napigwa? Lamomy uko wapi niko nakuja kariako mda huu
😂😂😂 kakutana na kina Mr matelephoneKuna jamaa alinunua simu kwa mtu kkoo kule weee asa ile kwenda kuchaji simu nyumbani anakuta haipeleki kwenda kwa fundi kumbe ina betri la itel ndogo mkuu😂😂😂😂
Hapo hapana 😂Utaweza kuvaa kijora halafu ushandue kuita wateja 😂😂😂
Duka nitoe wapi mi nna meza jirani tena ya vijora 😂😂😂Hilo duka ulilofungua Agrey vipi sasa ?
Nitajakuungisha kijora kimoja cha kuwarusha roho majirani, mchana nakilowanisha maji nakiacha kambani 😅Duka nitoe wapi mi nna meza jirani tena ya vijora 😂😂😂
Kwahiyo hutaki kazi? 😂😂Hapo hapana 😂
😂😂😂 wajue umeoa?Nitajakuungisha kijora kimoja cha kuwarusha roho majirani, mchana nakilowanisha maji nakiacha kambani 😅