Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Kuna jamaa posta anauza 180 nilichoka! Kariakoo nilinunua kwa elfu 30 tu
sometimes ni ishu ya ubora. kkoo chenga sana vitu vingi. nakumbuka nilinunua aina moja ya simu kwa utofauti wa bei kwa tofauti ya wiki. niliyonunua kkoo ilikufa baada ya mwaka, niliyonunua posta nilidumu nayo miaka 5 kabla ya kuamua kuiuza ikiwa na uimara wake. hata features zinavyo operate kwa mtu makini ilikua unagundua tofauti.
 
Mpaji Mungu weka bei halis ya hiki kiatu mana mm ninauzaga sana hik kwenye tenda au napigwa? Lamomy uko wapi niko nakuja kariako mda huu
Screenshot_20240812-190614.png
 
Back
Top Bottom