Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Utake usitake we ni mgogoSitaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utake usitake we ni mgogoSitaki
😁😁😁Tunaojitafuta tunahesabika au siyoMi sitii neno humu madon ni wengi mkuu.
Tunaojitafuta au ninaejitafuta?😁😁😁Tunaojitafuta tunahesabika au siyo
Kumbe ninaejitafuta ni Mimi mwenyewe 🙌🙌🙌🙌Tunaojitafuta au ninaejitafuta?
Nmemaanisha mimiKumbe ninaejitafuta ni Mimi mwenyewe 🙌🙌🙌🙌
Duuuh,,tafta 10 ununue kiatuUtake usitake we ni mgogo
Acha ujinga soma ueleweYaan elf 10 iende mpaka laki na 70? Watu sio wajinga mkuu
Hizi umewhi kwenda Hong-Kong hotel kule shamba la bibi?Msaada chimbo la hivi Kalaga Baho Nongwa
Weka pichahv zile kama vans zinasoma bei gani
Mimi nanunua sana jezi. Soko langu kubwa ni la Zambia.
Sijawh mkuu, japo hizo mambo nishawah kufanya kariakoo. Betri inashepiwa na vipande vya ndala na supergluAhahahaha hujawahi tapeliwa mkuu?
Unajikuta kitu umenunua na hakifanyi kazi
Nina uhakika aslimia mia hii quality yake nzuri. Hiyo ya jumla elfu 8 mm niliwah kununua ni boksi tu.. ina mana nikipambe kiat bila sabab za msingi kwan mm nauza?Nimeogopa kusema hivyo pale mwanzo, afadhali ww umesema!!
Kariakoo kwa miaka hii sio sehemu ya kununua nguo au viatu kama kweli quality is your first priority.
Rim mbona kipata na Congo kule kwq wasomali au unanunua wapWazee wa machimbo tusaidiane machimbo ya rim paper za A4
Nilikuwa sijui mkuu inasemekana analo ghorofa lake hapo.DOni mmoja
Sivaagi midosho bora nivae kandambili kuliko kununua kiatu special kwa 10K.Duuuh,,tafta 10 ununue kiatu
Kama anataka reja reja maeneo mengi wanauza ila kama anahitaji jumla aende pale halotel jirani na jumba la pochi
Sasa raba ndo zitanipa ugali mezani?
Naipata sehemu gani kariakoo mkuu nikachukuweKuna jamaa posta anauza 180 nilichoka! Kariakoo nilinunua kwa elfu 30 tu