hv zile kama vans zinasoma bei ganiWazee mpooo! Hiz raba mara ya mwisho tulipata tenda mwanza tukazituma. Kali sana na kuzugia zugia zinafaa
Size kuanzia 32 mpaka 43
Boksi zinakaa 24 na kila moja inauzwa elfu 10 kwa mchina so boksi lake ni 240k
Duka la mchina linapatikana mtaa wa Narungombe na Kongo (Kariakoo) na mchina mwenyewe anaitwa "MA HUWA" yuko floor ya kwanza.. ukifika mazingira hayo muulize machinga yoyt3 kuwq unaenda kwa mchina anaitwa "Maua"
No no no nononono!!! MmhTatizo watu wamezoea kununua brands ila kuna vitu vya kichina vina ubora kwa bei rahisi.
Mko wengi ambao mchina akitengeneza kitu akaweka chata la Nike au Balenciaga mnadhani ni bora. Nitapost uzi kuelezea hili.No no no nononono!!! Mmh
Tutashukuru mkuuMko wengi ambao mchina akitengeneza kitu akaweka chata la Nike au Balenciaga mnadhani ni bora. Nitapost uzi kuelezea hili.
π€£π€£π€£π€£ Ukahika 100%πππ hii sina uhalika nayo
Anauza kijora na hapo hapo anamchamba mtuπAnanifaa yule hana mbamba biz itaenda, mauzo yatakuwa makubwa π€£π€£π€£
Uje vipi na upo?yaani siku nikija dodoma nitakutafuta wewe
Lamomy huyu huyu jirani yangu?Ana katoto flani hiv kapemba pemba juzi tu nimekabeba pale aggrey
we endelea kulazimisha ivo ivoUje vipi na upo?
Huu mwaka wa kufosiwe endelea kulazimisha ivo ivo
Usimchukulie powa huyo ana maweeLamomy huyu huyu jirani yangu?
Hadi kufosi kunihamisha mimi sioHuu mwaka wa kufosi
Mi sitii neno humu madon ni wengi mkuu.Usimchukulie powa huyo ana mawee
Ni kwenuHadi kufosi kunihamisha mimi sio
SitakiNi kwenu
π una mtoto mwarabu ila sio fighterAna wazimu huyo labda ananiombea nipate mtoto mburushi πππ
Nishashawishiii...basiDaaah π±π°ππ we naeee njoo tujenge yetu achana na huyo mwamba(tuongee ya sisi wawili babeπππ)