njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Kalaga baho kutoka kutuonyesha machimbo mpaka kutaka shoti za kuwanyoosha wezi wa madirishani maendeleo kweli hayana chama wallahKuna watu huwa wanasupply au kuuza vifaa vya ulinzi! Nani anaijua hii tochi?. Tochi hii wanatumia walinz kupiga shoti watuhumiwa.. je bei yake kias gan?
Ukifika kona hizo usimuulize mtu anayeuz bidhaa kama unazotaka kununua lazima atakaza fuvu tu ili uwe mteja wake.Wajue code za lugha ya kuongea ili waelekezwe na kuuziwa kwa bei ya mfanyabiashara
Hiyo ni dhana nimeijenga kuonesha kwamba bei ya kitu na eneo vinategemeanaKalaga baho kutoka kutuonyesha machimbo mpaka kutaka shoti za kuwanyoosha wezi wa madirishani maendeleo kweli hayana chama wallah
Si kweliReja reja inauzwa 25k raba zake sio mazubuti zinachanika mara moja
Nakushukuru sana Mzee Kalagabaho. Tafadhali kama una contact ninayoweza kupata vitu vifuatavyo kwa bei kitonga na awe mwaminifu;Hiz wengine wanaitaga canvas
DuvetNakushukuru sana Mzee Kalagabaho. Tafadhali kama una contact ninayoweza kupata vitu vifuatavyo kwa bei kitonga na awe mwaminifu;
1. Duvets
2. Taulo
3. Mashuka
4. Mito na foronya zake
5. Blanket
6. Mapazia
7. Mats (door mats, table mats, nk)
ShukranKalaga Baho Nongwa hunaga roho mbaya mkuu, uzidi kutunzwa na Mwenyezi.
Mkuu nakushukuru mno. Hapo kwenye Duvet imenisaidia sana. Mimi wateja wangu ni wa kipato cha chini wengi na wa kati wachache. Hao wa kipato cha kati wengi wao ni watumishi wa umma. Kwahiyo kiukweli nataka vitu vya bei chee. Vitu vyote nilivyotaja nitachukua kwa jumla angalau isipungue 20pcs duvets na zilizobakia.Duvet
moja Bila for onyo wala mto ni 20000
1. Duvet 1 shuka moja na foronya 2 huwaga 27 na belo ni 250 au 240k zinakaa pea 10
2. Duvet 1 shuka 2 na foronnya 4 inakuaga 33 mpaka 35 japo sijawah kufika huko kenye bei chee ya belo( niswe muongo kwa hii kes ya shuka 2)
Taulo zinatofautiana mkuu kuna zile za elfu 4500 per piece. Kuna nyingine wanauzaga elfu 9 hadi 10 kuna jamaa anauzaga elf 8500 last time aliishiwa ila nitakuelekeza. Kuna taulo za 13 na kuja jamaa wanauzaga belo kama belo zinitwa taulo za HIS yuko "fire"
Mashuka yako ya aina nyingi kuna chapa ya (H &F) ambazo kariakoo ni 19 au 20 mchina wake anaitwa AMANI yuko mkabala na msikit wa Kiblaten aggrey na sikukuu. Kuna mama mmoja hivi narungombe na Congo anaitwa "MAMA OSAMA" anauza pia na taulo muone.
Pazia za aina gani? Unategemea kuuza kias gan? Huu ni mtaa wa swahili na mchikichi nitakupa namba ya forza investment. Wnauza pazia za mita 2
Mito na foronya na pzia na shuka nakupa namba ya mwangala
Bas tutaftane bos ukija kariakok kam nitakuwepo. Mito huwaga ni elfu 4 ukinunua 25.Mkuu nakushukuru mno. Hapo kwenye Duvet imenisaidia sana. Mimi wateja wangu ni wa kipato cha chini wengi na wa kati wachache. Hao wa kipato cha kati wengi wao ni watumishi wa umma. Kwahiyo kiukweli nataka vitu vya bei chee. Vitu vyote nilivyotaja nitachukua kwa jumla angalau isipungue 20pcs duvets na zilizobakia.
Asante sana. Halafu Kkoo kuna tatizo gani mbona jezi za msimu huu second class (copy) ni adimu?Bas tutaftane bos ukija kariakok kam nitakuwepo. Mito huwaga ni elfu 4 ukinunua 25.
Waishi nayo hii wapambanajiUkifika kona hizo usimuulize mtu anayeuz bidhaa kama unazotaka kununua lazima atakaza fuvu tu ili uwe mteja wake.
Hapo wauza mifuko au wauza pochi wanakuonesha vizur kabisa. Unageuka msela kwq mda tu mwambie hiv " oya omboi kama kawa? Oya namuulizia mchina mmoja hivi anauza viatu anaitwa maua".
Muulize huyu kwanzaAsante sana. Halafu Kkoo kuna tatizo gani mbona jezi za msimu huu second class (copy) ni adimu?
Huyu hana. Ana za msimu uliopitaMuulize huyu kwanza
Kwq mlokole sijui kama atakuwa nazo. Mana wateja wa jez sina asee so sifatiliagi sana.Huyu hana. Ana za msimu uliopita
24 kwenye boksi. Ndo nilikuwa nawatolea jamaa gape hapa. Jumla elf 10 reja 25 washindwe waoKalaga Baho Nongwa kama ni Narung'ombe na Congo jengo la Congo Tower yule Mchina anaitwa Maua ukipanda Kwa hii ngazi ya kwanza kulia kwako duka la kwanza vitenge duka la pili ndo yeye, pale mara nyingi naonaga anauza jumla ila kama reja reja anauza inabidi nikamtafutie Atoto viatu vya jogging
Ohooo kiumana Kalaga Baho Nongwa 😂Glenn! I love you
Ohooo kiumana Kalaga Baho Nongwa 😂