Nimetoka kumwambia kwa mkoani hivyo vinatembea tena vilikuwa elfu 9 sijui km kapandisha maybe mkato wa dollar umepanda.!Sema mwangu maua mikoani kiatu chake kinatembea kinoma huyo lamomy labda umpeleke kwa G Ten pale kiatu 75000 PC 12
Ushaanza tena? π€£Hivyo viatu vinatembea sana mikoani na wateja wakubwa watu wa Songwe, vingine vinauziwa Zambia ila kwa dar sidhani.!
Kuhusu ubora koh koh koh
Hizo kopi mkuu.. na zinafahamika hata kwa uzito tuHivyo viatu vinatembea sana mikoani na wateja wakubwa watu wa Songwe, vingine vinauziwa Zambia ila kwa dar sidhani.!
Kuhusu ubora koh koh koh
110,000 faida kwa kiatu kimoja unafikiri mchezo jirani?? Hapo utajiri huu hapa π€£π€£π€£Sasa umecheka yanini jirani π
Sasa vijora mkuu tenda utapataje? Labda utafte namba za makungwi wa kizaramoNimetoka kumwambia kwa mkoani hivyo vinatembea tena vilikuwa elfu 9 sijui km kapandisha maybe mkato wa dollar umepanda.!
Mi nauza vijora na viatu wapi na wapi? π€£π€£π€£
Watu wa Sinza wana hela? ππSinza tu hapo sio mbali bos
π€£π€£π€£ shem wala sikipondei ila nakifahamu labda km kimeongezwa ubora..!!Ushaanza tena? π€£
Lamomy kiatu hiki unakipondea una mgogoro wa kimaslahi. Hiyo kaz nzuri sio hiyo ya buku 8 zile zishapotega sahiz
Sample nyingi za maua ni 5000-8000 chache ndo 10000 au 11000Nimetoka kumwambia kwa mkoani hivyo vinatembea tena vilikuwa elfu 9 sijui km kapandisha maybe mkato wa dollar umepanda.!
Mi nauza vijora na viatu wapi na wapi? π€£π€£π€£
So hiyo ya 10,000 OG π€£π€£π€£Hizo kopi mkuu.. na zinafahamika hata kwa uzito tu
π§π€£π€£π€£ shem wala sikipondei ila nakifahamu labda km kimeongezwa ubora..!!
Ntafutie basi shem ntakupa ganji πππSasa vijora mkuu tenda utapataje? Labda utafte namba za makungwi wa kizaramo
We ukitaka OG nakuletea tu ila ni hii hii nakuja na maneno ya kukielezea tu.So hiyo ya 10,000 OG π€£π€£π€£
110,000 faida kwa kiatu kimoja unafikiri mchezo jirani?? Hapo utajiri huu hapa π€£π€£π€£
Ahsante kwa kunisaidia huyu anatupanga wakati sisi ndio mitaa yetu ya kujidai huko ππππSample nyingi za maua ni 5000-8000 chache ndo 10000 au 11000
Na hizi za 11000 ndo quality ya kueleweka.Sample nyingi za maua ni 5000-8000 chache ndo 10000 au 11000
πππ basi nimeacha tusije kufukuza watejaπ§
We ndio nipo kariakoo niniπ π?Ahsante kwa kunisaidia huyu anatupanga wakati sisi ndio mitaa yetu ya kujidai huko ππππ
π€£π€£π€£ navijua hivyo kuliko unavyofikiria labda unipange sekta nyingine.!We ukitaka OG nakuletea tu ila ni hii hii nakuja na maneno ya kukielezea tu.
Ahsante kwa kunisaidia huyu anatupanga wakati sisi ndio mitaa yetu ya kujidai huko ππππ
Mbona ngozi nyeusi mnajiogopa hivyo? kwani ukisema muuzaji ni wewe kuna ubaya gani.Siuzi mm mkuu usinielewe vibaya