π€£π€£π€£π€£ Si ungeniambia tu taratibu ningekuelewa. Yaani hadi nikimbie kama mwehu ππKalaga Baho Nongwa kama ni Narung'ombe na Congo jengo la Congo Tower yule Mchina anaitwa Maua ukipanda Kwa hii ngazi ya kwanza kulia kwako duka la kwanza vitenge duka la pili ndo yeye, pale mara nyingi naonaga anauza jumla ila kama reja reja anauza inabidi nikamtafutie Atoto viatu vya jogging
Nivae kijora kwani mi mdoli? πKwahiyo hutaki kazi? ππ
Ndio maana maswali ya unaoa lini yamekuwa mengi.πππ wajue umeoa?
Hivi inajua kuna wanaume wanavaa huku anashandua kuita wateja kwa madoido? π€£π€£π€£Nivae kijora kwani mi mdoli? π
Jirani ninaye ππNdio maana maswali ya unaoa lini yamekuwa mengi.
Najua sana ila mimi hapanaHivi inajua kuna wanaume wanavaa huku anashandua kuita wateja kwa madoido? π€£π€£π€£
Wee njaa bado haijakushika
Kumbe Atoto ndio wizo ππKalaga Baho Nongwa kama ni Narung'ombe na Congo jengo la Congo Tower yule Mchina anaitwa Maua ukipanda Kwa hii ngazi ya kwanza kulia kwako duka la kwanza vitenge duka la pili ndo yeye, pale mara nyingi naonaga anauza jumla ila kama reja reja anauza inabidi nikamtafutie Atoto viatu vya jogging
Nikuone bas unavoliaπ we ukitinga raba, traki & tishert unakimbia haste haste hapo road ni mwendo πΆhuyo mtotoooπΆπ€£π€£π€£π€£ Si ungeniambia tu taratibu ningekuelewa. Yaani hadi nikimbie kama mwehu ππ
Nimelia sana
Basi acha nimpe mchongo wa marketing na promo coca ashandue na kijora cha chui chui πππNajua sana ila mimi hapana
Uwiiiiiiiiiiii!!!!!!!!! We mtu akikununulia raba za jogging ndo tayari?Kumbe Atoto ndio wizo ππ
Coca ye ushanduaji ndio kipaji chake, anashandua gerezani mpaka narung'ombe πBasi acha nimpe mchongo wa marketing na promo coca ashandue na kijora cha chui chui πππ
Kwamba unataka mpaka uzeeke nazo?zinadumu?
We umeleta ujuaji. Umenunua mliman City? Laki 3 hela ya heka shamba kibiti! UmepigwaDosho hilo,og mimi niliinunua miaka 3 iliyopita laki 3 za kitz,mchina leo akuuzie elfu 10!
Sasa hata hili mpaka uwe na digrii wakati wanakata vipande vya ndala unawaona kabisa paleKuna jamaa alinunua simu kwa mtu kkoo kule weee asa ile kwenda kuchaji simu nyumbani anakuta haipeleki kwenda kwa fundi kumbe ina betri la itel ndogo mkuuππππ
Hilo duka ulilofungua Agrey vipi sasa ?