Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Nakupa chimbo la raba hii Kariakoo, elfu 10 tu bei ya jumla

Pale msimbazi kituo cha polisi kuna kagorofa flani hiv jamaa wanauzaga hiz. Hata pale Kongo na Muhonda kuja mshakaj anauzaga 35000 ingawa sijaingia huko muda nref sas. Weka picha za mikato mipya iliyo hot kwa sasa nione

Ushauri: kwa nn usiagize hiz mana China bei yake nzur tu
Sio kwa ajili ya biashara, ni kuvaa mwenyewe tu
 
Weka picha
shoe.png


Kama hivyo
 
Nenda Muhonda na kongo bos muulizie jamaa anaitwa Muarabu... huyu jamaa duka lake lina kelele mtaa mzima hapo. Duka lake linatazamana na jengo la DDC linalojengwa sasa. Maaruf kama Muarabu kona hizo
Mkuu Kalaga Baho Nongwa naomba kupata chimbo la cargo pants zile nzito original ambazo rejareja wanauza 55,000 hadi 50,000, Pia naomba na chimbo la cardet original zile nzito zisizochuja!

Natanguliza shukran
 
Pochi hizi kali sana.. wadada duu mdondoke pale aggrey na congo chap!
 

Attachments

  • IMG-20240816-WA0016.jpg
    IMG-20240816-WA0016.jpg
    73.2 KB · Views: 11
  • IMG-20240816-WA0098.jpg
    IMG-20240816-WA0098.jpg
    122.2 KB · Views: 12
Back
Top Bottom