Nakupenda sana baby ila kila mwezi utanipa laki tatu (3)


Kaka tule wa ir town yupo kund gani hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo ni zwazwa eti angalau laki 3 kwa mwezi
 
Wewe kama unaweza kumpa hizo pesa mpe kama huwezi acha

Wavulana mbona hamna vifua aseee!jambo dogo kama hili umeshindwa kabisa kulimezea,tena ni same old story🙄
waliona jambo dogo sio laki 3 kila mwezi na amekaa tu
 
tatizo wanawake wanawaona wanaume wapole wakimya wasiozoeana na watu wengi mtaani kama maboya.. kumbe akili nyingi kama movies za James Bond..

na hapo sio kwamba anataka laki tatu kama laki tatu.. amesema angalau, yani hiko ndio kima cha chini kisishuke hapo.. aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mmmmh

We unaota wewe[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…