Nakusudia kuandika kitabu kuelezea UDIKTETA wa Magufuli

Nakusudia kuandika kitabu kuelezea UDIKTETA wa Magufuli

Niko ktk harakati za kuandika kitabu kitakachoelezea madhila ambayo Taifa letu limepitia kwa kipindi cha miaka 5 na miezi 5 (Novemba 2015-March 2021). Kitabu hiki kitaelezea mateso na ukandamizaji watanzania waliopitia ktk kipindi hiki chini ya utawala wa rais Magufuli.

Na nikishauza kopi za kutosha za kitabu hicho nitaandaa na documentary yake. Kitabu na documentary vitaenda kwa jina la:

Dictatorship of
M A G U F U L I
(The Master of Chaos).

Hii ni kuweka kumbukumbu kwa vizazi viijavyo ili visije kufanya makosa kuchagua mtu kama Magufuli na kupitia mateso kama haya.

Yeyote mwenye jambo ambalo unadhani nisilisahau kwenye kitabu changu aniwekee hapa nitalichukua.
Kitabu kitaandikwa iwapo utatueleza wewe ni me au ke!
 
Niko ktk harakati za kuandika kitabu kitakachoelezea madhila ambayo Taifa letu limepitia kwa kipindi cha miaka 5 na miezi 5 (Novemba 2015-March 2021). Kitabu hiki kitaelezea mateso na ukandamizaji watanzania waliopitia ktk kipindi hiki chini ya utawala wa rais Magufuli.

Na nikishauza kopi za kutosha za kitabu hicho nitaandaa na documentary yake. Kitabu na documentary vitaenda kwa jina la:

Dictatorship of
M A G U F U L I
(The Master of Chaos).

Hii ni kuweka kumbukumbu kwa vizazi viijavyo ili visije kufanya makosa kuchagua mtu kama Magufuli na kupitia mateso kama haya.

Yeyote mwenye jambo ambalo unadhani nisilisahau kwenye kitabu changu aniwekee hapa nitalichukua.
Copy ya kwanza kabisa nanunua mimi
 
Utaandika na mazuri yake au mabaya tu?
 
Niko ktk harakati za kuandika kitabu kitakachoelezea madhila ambayo Taifa letu limepitia kwa kipindi cha miaka 5 na miezi 5 (Novemba 2015-March 2021). Kitabu hiki kitaelezea mateso na ukandamizaji watanzania waliopitia ktk kipindi hiki chini ya utawala wa rais Magufuli.

Na nikishauza kopi za kutosha za kitabu hicho nitaandaa na documentary yake. Kitabu na documentary vitaenda kwa jina la:

Dictatorship of
M A G U F U L I
(The Master of Chaos).

Hii ni kuweka kumbukumbu kwa vizazi viijavyo ili visije kufanya makosa kuchagua mtu kama Magufuli na kupitia mateso kama haya.

Yeyote mwenye jambo ambalo unadhani nisilisahau kwenye kitabu changu aniwekee hapa nitalichukua.
Andika Tu
 
Usisahau kuandika kingine kuhusu Masters of theft and embezzlement!!!
 
Niko ktk harakati za kuandika kitabu kitakachoelezea madhila ambayo Taifa letu limepitia kwa kipindi cha miaka 5 na miezi 5 (Novemba 2015-March 2021). Kitabu hiki kitaelezea mateso na ukandamizaji watanzania waliopitia ktk kipindi hiki chini ya utawala wa rais Magufuli.

Na nikishauza kopi za kutosha za kitabu hicho nitaandaa na documentary yake. Kitabu na documentary vitaenda kwa jina la:

Dictatorship of
M A G U F U L I
(The Master of Chaos).

Hii ni kuweka kumbukumbu kwa vizazi viijavyo ili visije kufanya makosa kuchagua mtu kama Magufuli na kupitia mateso kama haya.

Yeyote mwenye jambo ambalo unadhani nisilisahau kwenye kitabu changu aniwekee hapa nitalichukua.
Magufuli ataibuka shujaa kwa vizazi vingi sana vijavyo kupitia huo udikteta, Maana;
1. Ye ni kiongozi wa pili katika miaka 60 ya uhuru kununua ndege mpya toka zile zilizonunuliwa enzi ya Nyerere.

2. Ndie mtu aliyehakikisha umeme unafika karibia asilimia 90 ya vijiji vyote Tanzania tena kwa gharama ya TZS 27000 tu.

3. Ni katika kipindi chake toka uhuru ndipo tembo walizaliana kwa wimbi na kuishi bila hofu, mauaji ya albino na vikongwe yalikoma.

4. Ndie kiongozi aliyejitolea kulinda rasilimali za nchi ikiwemo madini na wanyama kwa maslahi ya wote bila kujali ataumiza wanaccm wenzake au watu waliomsaidia kufika hapo.

5. Tofauti na nchi nyingine wakati wa covid, udikteta wa Magu ulisaidia kuokoa vifo vingi vilivyotokana na presha, visukari, uzito mkubwa na njaa kwa kuzuia lockdown na kufanya maisha yaendelee kama kawaida. Maana kungekuwa na lockdown ingekuwa shida kupata huduma za afya na chakula.

6. Ndiye aliyeanzisha ujenzi wa bwawa la umeme la mwl nyerere miaka zaidi ya 50 toka plan ilipotengenezwa.

Yapo mengi mno ambayo udikteta wa magu ulisaidia kufanikisha kwa kipindi kifupi mno.
 
Kama hautakuwa na double standard usisahau kuandika haya.

Dkt Ulimboka alivyong'olewa meno na kucha kwa kupambania maslahi ya madaktari.

Mwangosi alivyolipuliwa mabomu pale Nyololo Mufindi kwa kosa la kuhoji kuhusu kuzuiwa kwa mikutano ya Chadema, wakati ya CCM ikiendelea.

Utuambie na wale waliolipua mabomu pale Arusha kwenye mkutano wa Chadema wakafa watu.

Waliommwagia tindikali aliyekuwa mmiliki wa gazeti la mwanahalisi.

Waliomteka mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Kibanda.
 
Page namba 100 andika namna faru John alivyopanda ndege,page namba 153 andika katika nchi yoyote vijana ndio wanajenga nchi na sio wazee ,vijana imabidi waondokane na mawazo ya kizee muda wao umepita maana kila siku wanatunga vitu vya kuwaumiza vijana ,fikiria Kwa mfano kijana anaiba Kura Kwa shilingi elfu 5000 halafu Leo yupo pale mansese analalamika maisha magumu wakati amesahau alikuwa ameiba haki za watu wengine,Kwa Sasa vijana wa Tanzania tuamke kama hatutaamka huku mbele tutalaumiwa na wajukuu na watoto ,mtoa mada usisahau Hili kuwaasa vijana mambo ya kufanya wasisiklize propaganda nakuombea Kwa Mungu ufanikishe Jambo lako
Naongezea tu, maisha mazuri au mabaya yanategemea na mtawala aliyopo ikulu, kwahiyo kuchezea sanduku la kura ni kuchezea maisha yako.
 
Kama hautakuwa na double standard usisahau kuandika haya.

Dkt Ulimboka alivyong'olewa meno na kucha kwa kupambania maslahi ya madaktari.

Mwangosi alivyolipuliwa mabomu pale Nyololo Mufindi kwa kosa la kuhoji kuhusu kuzuiwa kwa mikutano ya Chadema, wakati ya CCM ikiendelea.

Utuambie na wale waliolipua mabomu pale Arusha kwenye mkutano wa Chadema wakafa watu.

Waliommwagia tindikali aliyekuwa mmiliki wa gazeti la mwanahalisi.

Waliomteka mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Kibanda.
Kitabu kitamhusu Magufuli na matukio ya udikteta aliyoyafanya ktk awamu yake
 
Niko ktk harakati za kuandika kitabu kitakachoelezea madhila ambayo Taifa letu limepitia kwa kipindi cha miaka 5 na miezi 5 (Novemba 2015-March 2021). Kitabu hiki kitaelezea mateso na ukandamizaji watanzania waliopitia ktk kipindi hiki chini ya utawala wa rais Magufuli.

Na nikishauza kopi za kutosha za kitabu hicho nitaandaa na documentary yake. Kitabu na documentary vitaenda kwa jina la:

Dictatorship of
M A G U F U L I
(The Master of Chaos).

Hii ni kuweka kumbukumbu kwa vizazi viijavyo ili visije kufanya makosa kuchagua mtu kama Magufuli na kupitia mateso kama haya.

Yeyote mwenye jambo ambalo unadhani nisilisahau kwenye kitabu changu aniwekee hapa nitalichukua.
TUTAKUUNGA MKONO

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Niko ktk harakati za kuandika kitabu kitakachoelezea madhila ambayo Taifa letu limepitia kwa kipindi cha miaka 5 na miezi 5 (Novemba 2015-March 2021). Kitabu hiki kitaelezea mateso na ukandamizaji watanzania waliopitia ktk kipindi hiki chini ya utawala wa rais Magufuli.

Na nikishauza kopi za kutosha za kitabu hicho nitaandaa na documentary yake. Kitabu na documentary vitaenda kwa jina la:

Dictatorship of
M A G U F U L I
(The Master of Chaos).

Hii ni kuweka kumbukumbu kwa vizazi viijavyo ili visije kufanya makosa kuchagua mtu kama Magufuli na kupitia mateso kama haya.

Yeyote mwenye jambo ambalo unadhani nisilisahau kwenye kitabu changu aniwekee hapa nitalichukua.
Niliwashauri CdM Leo huko Twitter nawe umesikia sauti yangu.

Bora kiandikwe kitabu kuliko kusema kila siku matendo yake.

Wazungu wangeandaa hadi movie
Kama wataalamu wanavyoendelea kuandal eventual docs ya Ukraine na urusi
 
Back
Top Bottom