antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
🚮🚮🚮Vitabu kama hivyo huandikwa na watu kama mkuu wa majeshi au usalama wa taifa wa ngazi za juu au mkuu wa polisi wa kipindi husika cha Raisi mhusika sio kaukuta wa barabarani anayeokoteza vitaarifa majalalani
UONGO mtupu 🙄
Walamba soli za viatu vya dikteta mnateseka sana..
Tulieni kwanza aandike ndo muwe na cha kujadili