Nakusudia kuandika kitabu kuelezea UDIKTETA wa Magufuli

Nakusudia kuandika kitabu kuelezea UDIKTETA wa Magufuli

Usisahau kuandika kuhusu miradi ya kimkakati kama Bwawa la Nyerere na SGR.

..by the time jpm anaaga dunia miradi ya sgr na stieglers ilikuwa imekamilika kwa kiasi gani?

..jpm alikuwa na makelele na propaganda nyingi, kwa mtu ambaye hayuko hapa nchini angeweza kufikiria miradi hiyo imekamilika.
 
Mkuu usisahau kuandika kuwa magufuli hakupenda kufanya kazi na watu wenye akili timamu ila maxombie na maroboti kama Kabudi

Pia usisahau kuandika kuwa magufoool hakupenda kabisa habari za kifo chake ziwekwe hadharani kabla ya 2025
😅😅😅sasa akiandika kula kitu kitabu hakitatosha
 
Nakisubiri kwa hamu sana kitabu hicho. Kati ya mwaka 1999 na 2000 kuna mwandishi akiitwa Munga Tehenan aliwahi kuandika kitabu kiitwacho, "Julius Kambarage Nyerere: Alikuwa Haambiliki na Alishindwa Kulea Watoto Wake". Nilikinunua kitabu hicho mwaka 2000 nikiwa Kahama Mjini kipindi hicho.

Sidhani kama aliendelea kuandika vitabu vingine maana KARMA ilimshughulikia.
Duuh na yeye watoto wake walimshinda?😅
 
Niko ktk harakati za kuandika kitabu kitakachoelezea madhila ambayo Taifa letu limepitia kwa kipindi cha miaka 5 na miezi 5 (Novemba 2015-March 2021). Kitabu hiki kitaelezea mateso na ukandamizaji watanzania waliopitia ktk kipindi hiki chini ya utawala wa rais Magufuli.

Na nikishauza kopi za kutosha za kitabu hicho nitaandaa na documentary yake. Kitabu na documentary vitaenda kwa jina la:

Dictatorship of
M A G U F U L I
(The Master of Chaos).

Hii ni kuweka kumbukumbu kwa vizazi viijavyo ili visije kufanya makosa kuchagua mtu kama Magufuli na kupitia mateso kama haya.

Yeyote mwenye jambo ambalo unadhani nisilisahau kwenye kitabu changu aniwekee hapa nitalichukua.
Exactly, mkuu utafanya la maana Sana kuandika hiko kitabu, hili vizazi vijavyo vije kujua kuwa tushawai kuongozwa na jitu moja liuaji na lililokuwa linafurahi Watz wenzie kufia jela, na kutopora fedha zetu kwenye maduka ya kubadili fedha
 
Halafu picha ya kwenye kitabu uweke hile ya Mara ya mwisho aliyopiga akizindua stendi kuu, Mungu alimuondolea Nuru kwenye hile picha,akampiga na muhuri kuwa Ni mtu wa motoni, kwasisi wasomi wa dini tuliliona hilo,

Hiko kitabu mi ntakiagiza kije nilipo hata kwa ndege
 
Mkuu usisahau kuandika kuwa magufuli hakupenda kufanya kazi na watu wenye akili timamu ila maxombie na maroboti kama Kabudi

Pia usisahau kuandika kuwa magufoool hakupenda kabisa habari za kifo chake ziwekwe hadharani kabla ya 2025
Simba achezewi sharubu. Alichezea korona. Ikatembelea ikulu yake. Ikawa inachukua mmoja mmoja anaangalia tu, mwisho ikabeba na yeye
 
Mleta mada hajielewi huwezi kuandika kitabu cha mtu mkubwa wakati wewe.ni.ktu.mdogo pimbi tu wa mtaani hakiwezi pata soko kitaishia tu

Kuandika kuhusu maisha ya Raisi anayakiwa aandike mtu wa rank ya juu sana aliyofanya kazi karibu naye kwa muda mrefu

Vinginevyo hakiwi na credibility sababu kitajaa umbeya tu usio na ushahidi
 
Mleta mada hajielewi huwezi kuandika kitabu cha mtu mkubwa wakati wewe.ni.ktu.mdogo pimbi tu wa mtaani hakiwezi pata soko kitaishia tu

Kuandika kuhusu maisha ya Raisi anayakiwa aandike mtu wa rank ya juu sana aliyofanya kazi karibu naye kwa muda mrefu

Vinginevyo hakiwi na credibility sababu kitajaa umbeya tu usio na ushahidi
Tulia Mkuu Ngoja aandike labla atawafuata watu wake wa karibu kuwashilikisha
 
Mleta mada hajielewi huwezi kuandika kitabu cha mtu mkubwa wakati wewe.ni.ktu.mdogo pimbi tu wa mtaani hakiwezi pata soko kitaishia tu

Kuandika kuhusu maisha ya Raisi anayakiwa aandike mtu wa rank ya juu sana aliyofanya kazi karibu naye kwa muda mrefu

Vinginevyo hakiwi na credibility sababu kitajaa umbeya tu usio na ushahidi
Kwa hiyo Biography ya rais inatakiwa kuandikwa na mfalme, au?
Credibility ya kitabu inatokana na weledi & integrity ya mwandishi, siyo cheo..

Siyo kila mwenye ' rank ya juu' ana taaluma ya uandishi!
 
Tulia Mkuu Ngoja aandike labla atawafuata watu wake wa karibu kuwashilikisha
Vitabu kama hivyo huandikwa na watu kama mkuu wa majeshi au usalama wa taifa wa ngazi za juu au mkuu wa polisi wa kipindi husika cha Raisi mhusika sio kaukuta wa barabarani anayeokoteza vitaarifa majalalani
 
Back
Top Bottom