Dci manumba alisema jinai haizeeki, na kesi haina muda wa kuanza na kuisha, kimsingi tutayashitaki makampuni ya simu nchi nzima Kijiji kwa Kijiji na mtaa kwa mtaa mawakili wapo wakutosha vijana waliohitimu sheria na kukosa ajira wapo kila familia na wako tayari kujitoleaTechnically alisema ana mawakili "elfu" na leo Jumatatu atafungua kesi dhidi ya serikali kwa kuwafungia laini za simu ambao hawajasajiliwa kwa namba za NIDA. Ndio namuulizia. Wewe una taarifa zozote za technically kufungua hiyo kesi?