Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Jumatatu inafika hakuna loloteKwanza ni kinyume cha katiba ya uhuru wa kupata mawasiliano, pili ni uhujumu uchumi kwa serikali yenyewe na tatu kuzuia wananchi kupata habari kupitia mitandao ya kijamii. kesi inafunguliwa jumatatu kanda ya Dar es Salaam.
Mimi sio wakili ila nimewasiliana na mawakili wangu 3 na tunakusudia kupeleka hoja za msingi mahakamani ili kuzuia watu zaidi ya milion 24 kupoteza mawasiliano.
Ukiifungua kweli tuwasiliane. Nitasaidia kuwalipa hao mawakili. Lakini kama kawaida ya nyumbu, utaishia kutishia tu na utaungwa mkono. Anyway, nitakuwa nakukumbusha usisahau!Kwanza ni kinyume cha Katiba ya uhuru wa kupata mawasiliano, pili ni uhujumu uchumi kwa serikali yenyewe na tatu kuzuia wananchi kupata habari kupitia mitandao ya kijamii. Kesi inafunguliwa jumatatu kanda ya Dar es Salaam.
Mimi sio wakili ila nimewasiliana na mawakili wangu 3 na tunakusudia kupeleka hoja za msingi mahakamani ili kuzuia watu zaidi ya milioni 24 kupoteza mawasiliano.
Nikweli hakuna sheria inayotamka mwisho wa kusajili line kwa vidole Ni tarehe 20, pili hakuna sheria inayokataza mtu asiyekuwa na kitambulisho Cha taifa kumiliki simu. Tatu sababu za kulazimisha mtu kumiliki simu Hadi awe na kitambulisho Cha nida hazina msingiKwanza ni kinyume cha Katiba ya uhuru wa kupata mawasiliano, pili ni uhujumu uchumi kwa serikali yenyewe na tatu kuzuia wananchi kupata habari kupitia mitandao ya kijamii. Kesi inafunguliwa jumatatu kanda ya Dar es Salaam.
Mimi sio wakili ila nimewasiliana na mawakili wangu 3 na tunakusudia kupeleka hoja za msingi mahakamani ili kuzuia watu zaidi ya milioni 24 kupoteza mawasiliano.
Mapato ya kampuni za simu yatashuka na serikali pia itakosa kodi kwa hayo mapato.Kwanza ni kinyume cha Katiba ya uhuru wa kupata mawasiliano, pili ni uhujumu uchumi kwa serikali yenyewe na tatu kuzuia wananchi kupata habari kupitia mitandao ya kijamii. Kesi inafunguliwa jumatatu kanda ya Dar es Salaam.
Mimi sio wakili ila nimewasiliana na mawakili wangu 3 na tunakusudia kupeleka hoja za msingi mahakamani ili kuzuia watu zaidi ya milioni 24 kupoteza mawasiliano.
technically,
Watu milioni 24 au simcard milioni 24?!
Anyway umeeleweka japokuwa ulipewa muda wa kutosha!
Watakukamata watakua kama @Bensaanane kiufupi kama watu waliweza kummiminia Lisa Marisasi kibao na Bado wakampora ubunge Jap sio binadamu wenzako.Kwanza ni kinyume cha Katiba ya uhuru wa kupata mawasiliano, pili ni uhujumu uchumi kwa serikali yenyewe na tatu kuzuia wananchi kupata habari kupitia mitandao ya kijamii. Kesi inafunguliwa jumatatu kanda ya Dar es Salaam.
Mimi sio wakili ila nimewasiliana na mawakili wangu 3 na tunakusudia kupeleka hoja za msingi mahakamani ili kuzuia watu zaidi ya milioni 24 kupoteza mawasiliano.
UTUMBO MTUPU........ HAKUNA UHURU USIO NA MIPAKA UNACHOTAKIWA WEWE NI KUSAJILI LINE YAKO ILI UTEKELEZE HUO UHURU WAKO ........Kwanza ni kinyume cha Katiba ya uhuru wa kupata mawasiliano, pili ni uhujumu uchumi kwa serikali yenyewe na tatu kuzuia wananchi kupata habari kupitia mitandao ya kijamii. Kesi inafunguliwa jumatatu kanda ya Dar es Salaam.
Mimi sio wakili ila nimewasiliana na mawakili wangu 3 na tunakusudia kupeleka hoja za msingi mahakamani ili kuzuia watu zaidi ya milioni 24 kupoteza mawasiliano.
Wewe ndio tuwekee kifungu kinachoweka ukomo wa usajiriUTUMBO MTUPU........ HAKUNA UHURU USIO NA MIPAKA UNACHOTAKIWA WEWE NI KUSAJILI LINE YAKO ILI UTEKELEZE HUO UHURU WAKO ........
KWANZA WEKA HAPA VIFUNGU VILIVYO KIUKWA
Mbona kama vile unajinyaga mwenyeww pale juu umesema sheria inasema driving licence inafaa, hapa unasema kama tumetumia driving licence tukajipange NIDA.Ukweli ndio huo hakuna sheria inayoamuru line kufungwa sheria inawaamuru makampuni ya simu kusajili line kwa vigezo na Kama mteja katimiza vigezo kulingana na sheria cap306 ya 2010 ibara ya 93 ibara ndogo ya pili hawana haki ya kuzima hiyo line. Kama line yako ulitumia driving licence au barua ya mtaa kajipange nida hamna namna
Agizo la serikali linakuwa halali linapotangazwa kwenye gazeti la serikali na kupewa GRN # na hutolewa na waziri mwenye dhamana, mpaka Sasa Kangi Lugola hajatoa agizo kupitia GRN hivyo zoezi Zina Ni batili na sihalaliKwani ni kampuni ya simu ndo inafunga laini mkuu? au ni TCRA chini ya agizo la serikali, mimi naona makampuni hayana hatia kwenye hili swala
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais hajasema mkajisajili nida kasema tusajiri laini zetu, na vigezo viko wazi, msimlishe maneno, nayeye pale chato akisajiri line yake ya Airtel hakujiandikisha nidaKama ni agizo kutoka kwa magufuli fahamu hiyo sheria itapinduliwa