Pre GE2025 Nakusudia kutetea Kiti cha Ubunge Uchaguzi Mkuu Oct. 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe ni zuzu.

Vitu unaandika ni akili za kinjani nyani.

Jiandae kuvutwa mkia leo.
Nimesema narudia tena na kwako kwamba, wapo wananchi wenye IQ kama yako Jimboni. Hali ambazo zinachochewa na uvivu, ulevi wa visungura, ugumu wa maisha ambao kule Jimboni pangu tumewawezesha vijana kimawazo, kielimu na kiuchumi ili kuondokana na tabia hiyo ambayo inamuumiza wao wenyewe πŸ’

kwahiyo hata wewe unaweza kusaidika ukatoka kwenye hali uliyonayo ukiamua.
Ukishupaza shingo na kubaki na mawazo na mtazamo huo, hakuna namna utaachwa mbali sana na wenye bidii πŸ’

Usipanic ndio ukweli relax
 
Unagombea kwani Kuna uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Ww sema utaendelea kujikomba ili upitishwe na chama chako. Sio mambo ya kura kutoka kwa wananchi maana hakuna uchaguzi.
 
Kwa hiyo ni mbunge wa majimbo yote?
ni miongoni mwa wawakilishi wa wananchi wa eneo bunge mojawapo humu nchini, pale mjengoni lakini pia yapo majukumu ya kisekta nayaperfom mwote nchini πŸ’
 
Unagombea kwani Kuna uchaguzi au maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Ww sema utaendelea kujikomba ili upitishwe na chama chako. Sio mambo ya kura kutoka kwa wananchi maana hakuna uchaguzi.
🀣 masuala ya vyama bado sana kamanda..

hii ni ya wananchi saa hii ni kung'ang'ana nao kutatua yalituliyoyaanza tayari, tukirejea ni budget na tukimaliza hapo ni uchaguzi serikali za mitaa πŸ’

So, this is just communication, consultations and engagements with wanainchi and to suggest way forward, as we are approaching budgetary house as well as serikali za mitaa elections at the end of the Year and 2025 general elections...
 
Hiyo Tlaatlaah mbona kama Taletale
huyo Mh.Havintishi Shaban Taletale anang'ang'ana pande za huko morogoro kusini, tulikua kamati moja siku zingine mapama πŸ’
 
ni miongoni mwa wawakilishi wa wananchi wa eneo bunge mojawapo humu nchini, pale mjengoni lakini pia yapo majukumu ya kisekta nayaperfom mwote nchini πŸ’
Utachaguliwa kwa uwezo uliouonyesha jimboni kwako..!!! Huko kwingine wana wabunge wao watahusika..!! Wewe taja jimbo upimwe..!!
 
Wengi tu, we taja jimbo..!!
na,
actually kwa kiasi kikubwa maeneo bunge mengi mno humu nchini, yapepiga hatuua kubwa sana ya mabadiliko na maendeleoπŸ’

na hili ndilo linawapa moyo sana wabunge wengi kulazimisha na wananchi wao kuomba tena na nafasi hizo za uwakilishi mjengoni πŸ’
 
Sawa.

Nitakupambania hapa jukwaani.

Si unajua wakina CDM digital walivyo.

Buku 8. Sukari ipo juu. unajua.
 
Ataje jimbo ili azomewe.Kama huyo ni mheshimiwa ni halali ilo bunge liwe hivyo lilivyo.wala sishangai kwasababu mchango wake uku unajionyesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
wananchi wa aina kama yako wapo sana tu hata Jimboni pangu na tunasonga nao hivyo hivyo kwasabb hamna namna ingine sasa πŸ’
 
Sawa.

Nitakupambania hapa jukwaani.

Si unajua wakina CDM digital walivyo.

Buku 8. Sukari ipo juu. unajua.
shukrani sana πŸ™

ile muhimu zaid ni kuombeana baraka na neema za Mungu.
Huko chini ntang'ang'ana tu vizuri uskue na tashwishi yeyote πŸ’

maadamu nimeitikia wito wa wanainchi everything is under full control and authority πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…