Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Asee mi sijaoa nilizaa na binti bahati mbaya nikamkaribisha kwangu kutokana na aina ya maisha alokua nayo sijulikani hata kwao ila kwa haraka ndoa ni ngumu sana asee mliooa Mungu awabariki kwa navyopelekwa puta naona ndoa ni utapeli fulani
 
There are many reasons to feel anxious about getting married, even when you’re in a healthy relationship.
Gamophobia is more than just being cautious or somewhat hesitant about making a big commitment. People who have this condition experience intense fear when faced with the reality or even sometimes just the thought of being in a committed relationship or marriage.
 
There are many reasons to feel anxious about getting married, even when you’re in a healthy relationship.
Gamophobia is more than just being cautious or somewhat hesitant about making a big commitment. People who have this condition experience intense fear when faced with the reality or even sometimes just the thought of being in a committed relationship or marriage.
🤣🤣🤣🤣 yaan nikikuona tu namkumbuka Mwaj🥴....but I have got u Leader!😉
 
It is.
Kuwa submissive inatuchukua nguvu kubwa mno ndani yetu, namaanisha ile kuwa submissive toka ndani kabisa.
Hasa kwa mwanamke wa umri wangu, pengine maisha yameshakuwa defined kiasi zaidi ya ukike wa asili ambao yes unahitaji mwanaume, huna sababu nyingine ambazo wengi zinawafanya wanakuwa submissive.

Kwa hiyo kiukweLI kabisa kabisa!
Inatugharimu, na gharama yake ni kubwa zaidi ya kusema ''Ndio Mume Wangu''
Sasa ili hii ndio mume wangu niipractise kwa uhalisia kwa kumaanisha kuna vitu vingi mno mno vinapaswa kuwa ok.
ili yes, nisema well shoulders down, laying powers and all.
Take the lead, bila kujutia bila kujihisi unyonge bila kuona unanyanyasika.
It is sexy being submissive to my man, BUUUUT he shuld earn i!

Hapo kwenye kuearn it ndo kuna KIMBEMBE!
How is he supposed to earn it?
 
Mfahamu, akufahamu vizuri na usiwe na haraka ya kuingia katika ndoa.

Uzuri wake umeshapitia mapito hayo na unafahamu tamu na shubiri ya ndoa mwanawani.

Angalia watoto wako Mungu aliokupa kwani hao ndio faraja yako.

Kama yeye ana watoto na wewe una watoto, basi muendelee kuishi kama marafiki, usije ukaingia kichwa kichwa na baadae ukaja jutia uamuzi wako.
 
Binadamu tunatofautiana, huenda ukapata mume bora kiadi ukajiuliza ulichelewa wapi na pia unaweza kupata mbaya kama wa mwanzo.

Ndoa ni jambo la mungu, lazima tuliendee kiungu, tumuombe mungu atupe watu wema wenye baraka na maisha yetu ya duniani na kesho ahera.
Pia tufate ushauri wake wa mtu gani anafaa kuingia nae kwenye ndoa
 
Mfahamu, akufahamu vizuri na usiwe na haraka ya kuingia katika ndoa.

Uzuri wake umeshapitia mapito hayo na unafahamu tamu na shubiri ya ndoa mwanawani.

Angalia watoto wako Mungu aliokupa kwani hao ndio faraja yako.

Kama yeye ana watoto na wewe una watoto, basi muendelee kuishi kama marafiki, usije ukaingia kichwa kichwa na baadae ukaja jutia uamuzi wako.
Hakika mkuu,asante sana 🙏🏽
 
Binadamu tunatofautiana, huenda ukapata mume bora kiadi ukajiuliza ulichelewa wapi na pia unaweza kupata mbaya kama wa mwanzo.

Ndoa ni jambo la mungu, lazima tuliendee kiungu, tumuombe mungu atupe watu wema wenye baraka na maisha yetu ya duniani na kesho ahera.
Pia tufate ushauri wake wa mtu gani anafaa kuingia nae kwenye ndoa
Amiin🙏🏽
 
Mi sijaoa, kwahiyo sina utaalamu wa kukushauri ila naweza sema vitu vitatu.

1. Ndoa ni kama unaishi na rafiki/jamaa yako wa karibu. Mnashare kila kitu as friends + Sex & romantic moments.

2. Sasa mbali na sex & romantic izo mfano kissing hugs kuogeshana, muda mwingine mnafanya nini?

3. Kama sex & romantic tu ndio vinawaunganisha basi hampo tayari.

Kama nilivosema mimi sijaoa na wala sio mtaalamu, ila nimetumia busara tu alizotupatia Mwennyekiti Liverpool VPN na Msaidizi dronedrake
 
Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Pamoja na yote Imani yangu yote hapa jukwaani ni kuwa To yeye sio mwanamke ni mwanaume ambae ameamua kuvaa uhusika kama mwanamke,, Imani hii iko 90% it took me couple of months kufuatilia kuhusu hii kitu, na sijui tu ila naona pia ni one of the moderators, maana wewe anything unachoandika kinapewe airtime kubwa na visibility kubwa na constant frequency, anyway kuhusu visibility frequency na minutes on visible page iko kwa wengi ambao mods wanataka wao
 
uasherati ni Kitendo cha kufanya tendo la NDOA nje ya utaratibu Yaani nje ya NDOA Kwaiyo aliposema isipokua kwa habari ya uasherati alimaanisha kwa watu ambao Bado hawajaunganishwa kwa NDOA takatifu mfano wa wachumba mmoja wao akitenda ngono hiyo ni halali kutengana Lakini sio kwa Wanandoa waliofunga NDOA takatifu
Hapo nadhani tafsiri hujaiweka sawa mkuu. Afanyaye uasherati ni yule aendaye nje ya ndoa, ilhali yuko na ndoa.

Na hili ni swali aliulizwa Yesu juu ya maswala ya talaka na jinsi watu walivyoishi chini ya sheria za Musa.

Ukiangalia hapo, kiimani mtu anayetengana na mke au mume, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, naye akaenda kuolewa/kuoa na mtu mwingine, basi yule aoae au anayeolewa anafanya zinaa/kuzini.
 
Back
Top Bottom