Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu[emoji24]

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu[emoji1431]
Yaani pointi moja kubwa sana! Ukiona ndugu wa upande mmoja hawakubaliana na ndoa yenu, hiyo ndoa haitadumu!! Kutakuwa na vita na uchonganishi sio wa nchi hii! Watahakikisha hiyo ndoa inakufa!! Take care!!

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Ndoa ngumu mkuu,Mwenyezi Mungu awapambanie sana.Asante sana
Hapa namjibu mtu aliyeuliza kuwa mliona red flags na bado mkaoana? Ni hivi: Mtu kama hajaingia kwenye ndoa hawezi kujua mambo mengi. Kuna viashiria unaweza kuviona kabla hamjafunga ndoa ukavipuuza lakini baada ya ndoa ndiyo vinakuwa dhahiri na unavikumbuka. BTW hata mimi ni me na nimepitia sokomoko kama ulizopitia hivyo nakuelewa sana. Ushauri wangu ni kuwa chukuwa muda kumsoma. Usiogope kuchewa. Bora hata muwe marafiki kwa miaka miwili ili kupimana.
 
Hapa namjibu mtu aliyeuliza kuwa mliona red flags na bado mkaoana? Ni hivi: Mtu kama hajaingia kwenye ndoa hawezi kujua mambo mengi. Kuna viashiria unaweza kuviona kabla hamjafunga ndoa ukavipuuza lakini baada ya ndoa ndiyo vinakuwa dhahiri na unavikumbuka. BTW hata mimi ni me na nimepitia sokomoko kama ulizopitia hivyo nakuelewa sana. Ushauri wangu ni kuwa chukuwa muda kumsoma. Usiogope kuchewa. Bora hata muwe marafiki kwa miaka miwili ili kupimana.
Ni kweli Kabisa mkuu
 
Ukitaka udumu na huyo mchumba wako wa sasa hakikisha hao watoto wako uliowapata katika ndoa yako ya kwanza hawakai na nyie (mumeo na wewe).

Kwakuwa umri wako umesonga (naamini hivyo) kutokana na maelezo yako kuwa ulishaolewa ukatalikiana na x wako, basi tumia hili kama sehemu ya kujifunza na kujirekebisha kwa yale unayojua ni wazi hayafai kumfanyia mwenza wako.
 
Yeah, nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana, talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili, nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu[emoji24]

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu[emoji1431]
Masingo maza nawaomba muachane na habari ya kuolewa, muendelee kuwa mali yetu sote. Tuendelee kuwafaidi zamu kwa zamu[emoji2][emoji2]
 
Ukitaka udumu na huyo mchumba wako wa sasa hakikisha hao watoto wako uliowapata katika ndoa yako ya kwanza hawakai na nyie (mumeo na wewe).

Kwakuwa umri wako umesonga (naamini hivyo) kutokana na maelezo yako kuwa ulishaolewa ukatalikiana na x wako, basi tumia hili kama sehemu ya kujifunza na kujirekebisha kwa yale unayojua ni wazi hayafai kumfanyia mwenza wako.
Sikuzote sipo nao
 
wala hata usichelewa kupokea baraka hiyo Takatifu ya ndoa ikiwa umeiomba kwa muda mrefu.

Na bilashaka,
ndani ya maombi yako, ulimlilia Mungu sana, na ulifungua maskio ya Moyo wako ukaskia maelekezo na wito wa Mungu kwamba huyu hapa ubavu wako 🐒

usiogope,
Kwa Neema na Baraka za Mungu ingia kwenye ndoa ukiwa na amani na imani kwamba mengine Mungu atakuonyesha ukiwa ndani na atakufanyia wepesi na kuonyesha njia na nuru palipo na giza 🐒

Mpendane msichokozane, amani ya bwana iwe ndani yenu...
Za asubuhi mwanangu wa kiroho?naona unamwaga madini!hakika ndoa ni baraka kutoka Kwa Mungu naungana nawe kikubwa aingie na amani na imani
 
Back
Top Bottom