NALA imeprove wrong expertise wengi wa Tanzania baada ya kuraise $ million 10

NALA imeprove wrong expertise wengi wa Tanzania baada ya kuraise $ million 10

Ni rahisi kwa wazungu kumpa $$$ Mweupe mwenzao kuliko mweusi. Ben Fernandez sio Mwafrika Mweusi.

Pia binafsi nimetumia sana Remitly, World Remit, na SendWave sababu ninaishi pia sana tu nje ya Tanzania. $$$ inasaidia, na nitatumia sana NALA as long as kwamba itakuwa na faida kwangu.
Hawa mbona wanapewa hela kila muda. Hapo imekosekana Copia iliyoraise dola milioni 50. Nayo ni fintech kama NALA
IMG_20220129_082912.jpg
IMG_20220129_082925.jpg
 
Unaongea nini wewe eti ni rahisi mzungu kumpa mzungu mwenzake mtaji. Ungejua startups za Kenya zinazokuzwa kila siku kama uyoga zinavyopata fedha kutoka kwa hao wazungu, tena Wakenya wenyewe sio Wahindi wala Waarabu kama matajiri wetu hapa Tanzania. Kenya sikai mwezi bila kuona startup kule, yani hii NALA pale Kenya wangekuwa wanajadili hizi mada kila mwezi na wanaotoa hela ni wazungu.

Wabongo tubadilike
😂😂😂UNAANDIKA UJINGA HALAFU UNAONA UMEANDIKA POINT KUKANUSHA KITU USICHOKIJUA.. KWENDAAAA.

 
Hawa mbona wanapewa hela kila muda. Hapo imekosekana Copia iliyoraise dola milioni 50. Nayo ni fintech kama NALAView attachment 2099081View attachment 2099082
Wewe kaa tu hapo utegemee mzungu akupe pesa utimize ndoto zako kubwa. UTAKUFA NA NDOTO HAZITATIMIA. Sio kirahisi kivile kupata hizo venture funding. Pambana tu kuanzisha kitu chako na hela za Africa kwanza.. then ikifanikiwa kiasi kikubwa, ndio watakuja. Kumbuka Aliyenacho Ndio Anaongezewa
 
Unaongea nini wewe eti ni rahisi mzungu kumpa mzungu mwenzake mtaji. Ungejua startups za Kenya zinazokuzwa kila siku kama uyoga zinavyopata fedha kutoka kwa hao wazungu, tena Wakenya wenyewe sio Wahindi wala Waarabu kama matajiri wetu hapa Tanzania. Kenya sikai mwezi bila kuona startup kule, yani hii NALA pale Kenya wangekuwa wanajadili hizi mada kila mwezi na wanaotoa hela ni wazungu.

Wabongo tubadilike
IMG-20220129-WA0000.jpg
 
Wewe kaa tu hapo utegemee mzungu akupe pesa utimize ndoto zako kubwa. UTAKUFA NA NDOTO HAZITATIMIA. Sio kirahisi kivile kupata hizo venture funding. Pambana tu kuanzisha kitu chako na hela za Africa kwanza.. then ikifanikiwa kiasi kikubwa, ndio watakuja. Kumbuka Aliyenacho Ndio Anaongezewa
Huo ndio ukweli
 
Unaongea nini wewe eti ni rahisi mzungu kumpa mzungu mwenzake mtaji. Ungejua startups za Kenya zinazokuzwa kila siku kama uyoga zinavyopata fedha kutoka kwa hao wazungu, tena Wakenya wenyewe sio Wahindi wala Waarabu kama matajiri wetu hapa Tanzania. Kenya sikai mwezi bila kuona startup kule, yani hii NALA pale Kenya wangekuwa wanajadili hizi mada kila mwezi na wanaotoa hela ni wazungu.

Wabongo tubadilike
Kuna mkenya hapa alikuwa analalamika

 
startup za mbele kibao zinaraise pesa lkn hawajui profit itakuja lin, unafaham tesla ilichukua mda gan mpk kuwa profitable?
Nala Ni uropolo tu went kelele nyiiiiiiingi. Ni kiaAPP kisicho na maajabu yoyote.

Kuraise funds haimaanishi kuwa hiyo startup itafanikiwa.

Huyo jamaa anatumia tu raslimali za nyumbani kuhangaika kupush App yake na kusaka funds.

Lakini hao wafadhili wangejua huku Kuna MamPesq, Tigo pesq jwangeshikiria.pesa zao tu
 
Tanzania ni nchi moja ya ajabu ambo watu wake wengi ni wabinafsi kupita maelezo, mwanzoni walimbeza sana Fernandez na hii naongea kwa experience Kuna ambao niliwauliza kuhusu Nala na Fernandez wakaishia kumbeza kwamba afiki Mahalia

Juzi jumanne ameraise USD million 10 inaweza ikawa ndo startup iliyo-raise ela nyingi Tanzania, lakin NALA wanapongezwa na wazungu na waafrika wengine wanaoishi nje ya Tanzania

Sijaona wale technology Guru waliompongeza NALA wengi wamekaa kimya as if hakuna kitu kilichotokea, point ni kwamba hawalazimishwi kumpongeza Ila kumpongeza ni sehemu ya professionalism na smartness

Benjamin Fernandez ametufundisha tuache udalali kama wanavyofanya lab nyingi za Tanzania Bali tuje na product, tusipoteze mda mwingi wa kuandaa events na kuzipa majina mazuri

Mfano ukiwaangalia
Sahara venture na branch zake
Smartlab
Dlab
Na wengineo wengi these people are just middleman (madalali) they say their create solutions but their aren't, ni ngumu sana kwa technology kuendelea kama tukiwa na madalali wengi ambao wako interested kuandaa events na sio kuja na product ambazo zitaitangaza nchi
Khs sahara umeongea ukweli lkn kuhusu NALA umeongea kishabiki. Nimebookmark uzi wako after 3 years ntakuja kuusoma tena nikiwa mzima.

Sitaki kuwa negative ila NALA haina jipya llt kwa sasa. Benj kasomea stanford na huku chn kasomea international school. Exposure yake inamruhusu kuwa na connections za kuraise hio hela so hilo halinishangazi. Watuletee product za maana itatue matatizo na zishike soko hapo ndipo tutawasifu
 
Sasa hapa umepinga Nini naona umekataa na kurudi kukubali kwakuzunguuka zunguuka tu.
Wewe kaa tu hapo utegemee mzungu akupe pesa utimize ndoto zako kubwa. UTAKUFA NA NDOTO HAZITATIMIA. Sio kirahisi kivile kupata hizo venture funding. Pambana tu kuanzisha kitu chako na hela za Africa kwanza.. then ikifanikiwa kiasi kikubwa, ndio watakuja. Kumbuka Aliyenacho Ndio Anaongezewa
 
Khs sahara umeongea ukweli lkn kuhusu NALA umeongea kishabiki. Nimebookmark uzi wako after 3 years ntakuja kuusoma tena nikiwa mzima.

Sitaki kuwa negative ila NALA haina jipya llt kwa sasa. Benj kasomea stanford na huku chn kasomea international school. Exposure yake inamruhusu kuwa na connections za kuraise hio hela so hilo halinishangazi. Watuletee product za maana itatue matatizo na zishike soko hapo ndipo tutawasifu
Taja mfano wa tatizo jipya la kutatua

eBay, Amazon, Albaba...Zote ni Copycaty ila zinapiga pesa

Uber, Bolt, nk....just the same na zina piga pesa.

Sikila App 5 zinazotoa huduma sawa zite zitakuwa Unicorn Kuna nyengine zitakuwa chini na zitatengeneza Beutiful Money, NALA kitanzania hatakama hujawa Unicorn itafikia ukubwa unaoeleweka tu.
 
hii habari nmeikuta mbali kweli aisee hongera zao
Nala Ni uropolo tu went kelele nyiiiiiiingi. Ni kiaAPP kisicho na maajabu yoyote.

Kuraise funds haimaanishi kuwa hiyo startup itafanikiwa.

Huyo jamaa anatumia tu raslimali za nyumbani kuhangaika kupush App yake na kusaka funds.

Lakini hao wafadhili wangejua huku Kuna MamPesq, Tigo pesq jwangeshikiria.pesa zao tu
kimsing ht startup za mbele ni hvyohvyo tu na nyingi tu zinaburst njiani, afu hakuna watu wanaojua kuhusu hizi startups km investors usidhan watu wanaweka tu pesa zao,
 
Taja mfano wa tatizo jipya la kutatua

eBay,
Utakuwa hujui Ebay ndio The Mother of Online Auction coupling it with Paypal it was an original idea lets give credit where credits due....
Amazon kwa kuanza kufanya online bookshop na kuwashinda even biggest brick and mortal publishers / bookshops it was original as well na kuwekeza kwenye wharehouse hubs amekuwa the biggest online retailer
Albaba...
Nothing new kwa alibaba ila uwezo wake wa ku-capitalize soko la watu wengi huko kwao kwenye suppliers wengi amefanikiwa
Zote ni Copycaty ila zinapiga pesa
Kupiga pesa haimaanishi kwamba wewe idea yako ni nzuri au ulikuwa wa kwanza..., kulikuwa na myspace before facebook; Yahoo before Google ila huenda Yahoo sasa hivi hapigi pesa sana na inabidi abadilishe business Model; competition can kill you anytime.., having an idea, implementing the idea na staying afloat are three different ball games (kwa ushauri kama ukianzisha kitu kikiwa kizuri uzia big giants chukua pesa yako sababu hujui kuhusu kesho huenda ulichoanzisha kikawa hakina tena nguvu)
Uber ndio the Mother of Commissions Rides, coupling it with technology na connecting wahitaji (customers) na watoa huduma (drivers)
Bolt, nk....just the same na zina piga pesa.
Hio ni copycat na inapiga pesa kwenye niche market
Sikila App 5 zinazotoa huduma sawa zite zitakuwa Unicorn Kuna nyengine zitakuwa chini na zitatengeneza Beutiful Money, NALA kitanzania hatakama hujawa Unicorn itafikia ukubwa unaoeleweka tu.
Kwahio the moral of the story mwisho wa siku ni business acumen..., unaweza ukawa na idea ambayo sio nzuri sana kama nyingine lakini your marketing prowess ikakufanya ufanikiwe kuliko mwenye a better app....

Pili unaweza kitu kilekile ukakicustomize kwa soko linalokuzunguka mfano ingawa ebay ni worldwide lakini ukafungua ya Tanzania na kama utapata watu wengi Tanzania watu watakupa pesa au hata kununua idea yako sio sababu ya idea ni nzuri bali wale watu wengi ulionao... (in the end its all about number of users)

Kina Tigo came after Mpesa lakini haizuii Tigo kumzidi Mpesa
 
hii habari nmeikuta mbali kweli aisee hongera zao

kimsing ht startup za mbele ni hvyohvyo tu na nyingi tu zinaburst njiani, afu hakuna watu wanaojua kuhusu hizi startups km investors usidhan watu wanaweka tu pesa zao,
Fuatilia hizo startups, nyingi Ni trash tu.

Kuna dada mmoja alianzisha yake ya kimagumashi akakusanya pesa akawa Billionaire, inaitwa Thelanos unaweza kugoogle upate stori yake.

Mpaka leo anashtakiwa na wabia
 
Kuna watu wapo standby, online transactions zikianza kutumika na wengi Tz watamwaga mpunga
 
Kwa nini iwe as little as 1M USD?

Kwa pesa 10M $ waliyoraise inamaana valuation ya kampuni yao sasa inakimbilia close to 70 - 100 M $ . .

By the time inakua acquired sidhani kama watapokea anything less than 100M. a 10% ownership ya kampuni tuu inampa kama 10M $ which naamini anayo
Kwa sababu sijajua valuation ambayo ameraise pesa. Inaweza kuwa kama ulivyosema lakini pia inaweza kuwa less.

Pia sijajua ana partners wangapi ambao si investors ambao ni shareholders. So nayo inaaffect mambo.

Mfano mzuri ni Kopa Gas ambayo tech yake iliuzwa for 28 mil usd but yule founder mbongo Andre kama sikosei alipata 5 mil usd. So raise or selling price si lazima iendane na founder atachopata.

1 mil usd ni the minimum kwa level of raise ambayo amepata. But inawezekana ikawa much higher or even less iwapo mambo hayataenda vizuri hapo mbele japo sitegemei hili kwa kuwa biashara yao sio capital intensive ukiachana na setting up systems za transactions baina ya nchi na nchi tu, servers and labour.
 
Utakuwa hujui Ebay ndio The Mother of Online Auction coupling it with Paypal it was an original idea lets give credit where credits due....

Amazon kwa kuanza kufanya online bookshop na kuwashinda even biggest brick and mortal publishers / bookshops it was original as well na kuwekeza kwenye wharehouse hubs amekuwa the biggest online retailer

Nothing new kwa alibaba ila uwezo wake wa ku-capitalize soko la watu wengi huko kwao kwenye suppliers wengi amefanikiwa

Kupiga pesa haimaanishi kwamba wewe idea yako ni nzuri au ulikuwa wa kwanza..., kulikuwa na myspace before facebook; Yahoo before Google ila huenda Yahoo sasa hivi hapigi pesa sana na inabidi abadilishe business Model; competition can kill you anytime.., having an idea, implementing the idea na staying afloat are three different ball games (kwa ushauri kama ukianzisha kitu kikiwa kizuri uzia big giants chukua pesa yako sababu hujui kuhusu kesho huenda ulichoanzisha kikawa hakina tena nguvu)

Uber ndio the Mother of Commissions Rides, coupling it with technology na connecting wahitaji (customers) na watoa huduma (drivers)

Hio ni copycat na inapiga pesa kwenye niche market

Kwahio the moral of the story mwisho wa siku ni business acumen..., unaweza ukawa na idea ambayo sio nzuri sana kama nyingine lakini your marketing prowess ikakufanya ufanikiwe kuliko mwenye a better app....

Pili unaweza kitu kilekile ukakicustomize kwa soko linalokuzunguka mfano ingawa ebay ni worldwide lakini ukafungua ya Tanzania na kama utapata watu wengi Tanzania watu watakupa pesa au hata kununua idea yako sio sababu ya idea ni nzuri bali wale watu wengi ulionao... (in the end its all about number of users)

Kina Tigo came after Mpesa lakini haizuii Tigo kumzidi Mpesa
Kwa hio na ww una ndoto za kuunda Ebay, Alibaba, Uber, Amazon nk? Naamini una familia yenye uwezo mkubwa sana kukupa capital ya kuanzisha kitu. Hao founders wa hayo makampuni walikuwa na funding kubwa sana tokea awali including hela za familia zao kama mama, baba, nk. Ni vizuri kuwa na ndoto kubwa, lakini usiseme sababu mzungu fulani aliweza, na mimi nitaweza. WaAfrica tuna changamoto kubwa sana ambayo ngozi nyeupe wengi hawapitii ikiwa ni pamoja na inequity in ventuew funding.
 
Kwa hio na ww una ndoto za kuunda Ebay, Alibaba, Uber, Amazon nk? Naamini una familia yenye uwezo mkubwa sana kukupa capital ya kuanzisha kitu.
Nani kasema mimi nataka kuanzisha kitu ? Hivi unajua hizi start-ups nyingi zimeanzishwa kwenye garage au dormitory wanafunzi wamekaa na kuja na idea fulani..., wengine hata walianzisha sio ili wapate pesa bali ili wakidhi need fulani au kurahisisha jambo fulani..., baada ya hapo Kampuni kubwa zinachukua ili ku-monitize it (bila google Youtube isingefika hapa ilipo ) backing with deep pockets au bila being in the right place at the right time unaweza ukawa kama Myspace au Yahoo baada ya muda watu kama Facebook au Google wanakupita...
Hao founders wa hayo makampuni walikuwa na funding kubwa sana tokea awali including hela za familia zao kama mama, baba, nk.
Like I said above wengine hata wazazi wao walikuwa wanawalaumu waache kupoteza muda warudi shule wasome.
Ni vizuri kuwa na ndoto kubwa, lakini usiseme sababu mzungu fulani aliweza, na mimi nitaweza. WaAfrica tuna changamoto kubwa sana ambayo ngozi nyeupe wengi hawapitii ikiwa ni pamoja na inequity in ventuew funding.
Wanaoweza sio wazungu tu (ukiweza kutatua need; mfano mpesa) unafanikiwa kama utapata a giant behind you (kama vile vodacom) kwa kupeleka idea yako mainstream..., ukicheza utashangaa idea yako inachukuliwa na giant mwingine bila kulipwa chochote
 
Back
Top Bottom