NALA imeprove wrong expertise wengi wa Tanzania baada ya kuraise $ million 10

NALA imeprove wrong expertise wengi wa Tanzania baada ya kuraise $ million 10

holmes alizingua, nilisoma kitabu kinaitwa THE BAD BLOOD kimeelezea tangu alivyoanzsha thelanos sielew kwann watu wengi waliingia kichwakichwa but ndio dunia ilivyo though still startups zitaendelea kuwepo na zngne zitatoboa
Mwalimu wake wa chuo kikuu alimwambia tokea mwanzo Hiko kitu hakiwezekan Ila alichofanya aliwekeza sana kwenye PR akasahau njia ya mwongo ni fupi
 
Mwalimu wake wa chuo kikuu alimwambia tokea mwanzo Hiko kitu hakiwezekan Ila alichofanya aliwekeza sana kwenye PR akasahau njia ya mwongo ni fupi
sijui alidhan kuwa angewafool watu hadi lini, ila mi bado silew ilikuwaje aliweza kufika mbali vile bila kustukiwa kuna kpnd startup ilikuwa valued at 30bln USD Huku akiwa na watu km kina kissinger kwe board
 
sijui alidhan kuwa angewafool watu hadi lini, ila mi bado silew ilikuwaje aliweza kufika mbali vile bila kustukiwa kuna kpnd startup ilikuwa valued at 30bln USD Huku akiwa na watu km kina kissinger kwe board
Aliwekeza sana kwenye public relations same laboratories za Tanzania zinavyofanya
 
Back
Top Bottom