startup za mbele kibao zinaraise pesa lkn hawajui profit itakuja lin, unafaham tesla ilichukua mda gan mpk kuwa profitable?
😂😂😂. Ww sio mtu wa kunielimisha mimi bro. Nimeishi USA na wazungu tokea 2001. Ninajua Google, Amazon zilianzishwa kwa nyumba tu binafsi. Najua FB na Microsoft zilianzishwa na college dropouts. Sasa unafikiria USA ina garage ngapi? Kila nyumba ina garage. Kuna vyuo vingapi na dorm rooms ngapi? Unafikiria hao wazungu wengine hawataki kuanzisha kitu kama hicho? Yani conversation ya hayo makampuni ISIWE ndio njia ya ww kujifananisha nao na kuona eti utaweza. Mtu kama ww ndio wale wale wanaoamini kwamba kama kweli Bakhresa's Azam chanzo chake ni kushona viatu, KAMA WW NI MSHONA VIATU PIA UTAWEZA KUANZISHA KAMPUNI KAMA AZAM.Nani kasema mimi nataka kuanzisha kitu ? Hivi unajua hizi start-ups nyingi zimeanzishwa kwenye garage au dormitory wanafunzi wamekaa na kuja na idea fulani..., wengine hata walianzisha sio ili wapate pesa bali ili wakidhi need fulani au kurahisisha jambo fulani..., baada ya hapo Kampuni kubwa zinachukua ili ku-monitize it (bila google Youtube isingefika hapa ilipo ) backing with deep pockets au bila being in the right place at the right time unaweza ukawa kama Myspace au Yahoo baada ya muda watu kama Facebook au Google wanakupita...
Like I said above wengine hata wazazi wao walikuwa wanawalaumu waache kupoteza muda warudi shule wasome.
Wanaoweza sio wazungu tu (ukiweza kutatua need; mfano mpesa) unafanikiwa kama utapata a giant behind you (kama vile vodacom) kwa kupeleka idea yako mainstream..., ukicheza utashangaa idea yako inachukuliwa na giant mwingine bila kulipwa chochote
Hivi unaonge nini hapa na unajibu nini ? Aliyesema kwamba watu wanaoanzisha vitu lazima wawe na mtaji / capital ya wazee wao ni nani😂😂😂. Ww sio mtu wa kunielimisha mimi bro. Nimeishi USA na wazungu tokea 2001. Ninajua Google, Amazon zilianzishwa kwa nyumba tu binafsi. Najua FB na Microsoft zilianzishwa na college dropouts. Sasa unafikiria USA ina garage ngapi? Kila nyumba ina garage. Kuna vyuo vingapi na dorm rooms ngapi? Unafikiria hao wazungu wengine hawataki kuanzisha kitu kama hicho? Yani conversation ya hayo makampuni ISIWE ndio njia ya ww kujifananisha nao na kuona eti utaweza. Mtu kama ww ndio wale wale wanaoamini kwamba Bakhresa's Azam chanzo chake ni kushona viatu.
Aliyesema kila mtu lazima aweze ni nani ? Mimi mwenyewe nimesema hata ukiwa na idea nzuri kiasi gani huenda usiweze wala google / FB hawakuwa pioneers Search Engines zilikuwepo tangia kitambo na Business Models za FB na Google zilikuwepo kabla ila zilikosa ingredient fulani...., when it comes to business there is more than just a product; marketing na giant backup inahitajika pia as well as right technology at the right time...Ww najua umri wako utakuwa miaka ya ishirini na kitu. Age ya ujinga ambapo una unrealistic ways to reach ur dreams. Unaona sababu Google ilianzishwa kwa garage au FB kwa dormitory, na mimi lazima niweze.
Sasa kati yangu mimi na wewe nani yupo delusional unadhani aliyegundua light bulb ndio necessarily aliyepata credit au kunufaika nayo ? Dunia ina mamilioni ya watu wenye ideas ambao hawakufanikiwa au ideas zao kuwanufaisha wengine..., na dunia ina matrillioni ya watu ambao hawakuwa na idea zozote lakini wakaboresha kilichopo au kutumia kilichopo kulingana na mazingira na kunufaika...Kuweza unaweza, Lakini acha UJINGA kujilinganisha na hao wengine. Tafuta njia yako, ufeli mara 1000 au zaidi kama aliyegundua bulb. Then maybe utafanikiwa. Mko delusional sana
NenoHivi unaonge nini hapa na unajibu nini ? Aliyesema kwamba watu wanaoanzisha vitu lazima wawe na mtaji / capital ya wazee wao ni nani
Na issue za wewe kuishi marekani na wazungu hapa zinahusiana vipi na huu mjadala ?, mbona tunataka kurefusha mjadala na kuongelea vitu visivyo na mantiki
Aliyesema kila mtu lazima aweze ni nani ? Mimi mwenyewe nimesema hata ukiwa na idea nzuri kiasi gani huenda usiweze wala google / FB hawakuwa pioneers Search Engines zilikuwepo tangia kitambo na Business Models za FB na Google zilikuwepo kabla ila zilikosa ingredient fulani...., when it comes to business there is more than just a product; marketing na giant backup inahitajika pia as well as right technology at the right time...
Sasa kati yangu mimi na wewe nani yupo delusional unadhani aliyegundua light bulb ndio necessarily aliyepata credit au kunufaika nayo ? Dunia ina mamilioni ya watu wenye ideas ambao hawakufanikiwa au ideas zao kuwanufaisha wengine..., na dunia ina matrillioni ya watu ambao hawakuwa na idea zozote lakini wakaboresha kilichopo au kutumia kilichopo kulingana na mazingira na kunufaika...
Haya mambo ya kudhani kila mtu ni innovator au innovation zinatokea kila siku ni kuwa mtu wa nadharia....., Giants wengi na corporations nyingi ndio maana zina vitengo vya research and development au kuwekeza kwenye mashule na universities na ku-pump pesa za kutosha na kila idea ambao huenda ikawa nzuri / au isiwe nzuri kuiwekea patents for future use...., In short when it comes to ideas kuwa nayo pekee / au kuwa nzuri sio necessarily kwamba itatoboa
Hivi unaonge nini hapa na unajibu nini ? Aliyesema kwamba watu wanaoanzisha vitu lazima wawe na mtaji / capital ya wazee wao ni nani
Na issue za wewe kuishi marekani na wazungu hapa zinahusiana vipi na huu mjadala ?, mbona tunataka kurefusha mjadala na kuongelea vitu visivyo na mantiki
Aliyesema kila mtu lazima aweze ni nani ? Mimi mwenyewe nimesema hata ukiwa na idea nzuri kiasi gani huenda usiweze wala google / FB hawakuwa pioneers Search Engines zilikuwepo tangia kitambo na Business Models za FB na Google zilikuwepo kabla ila zilikosa ingredient fulani...., when it comes to business there is more than just a product; marketing na giant backup inahitajika pia as well as right technology at the right time...
Sasa kati yangu mimi na wewe nani yupo delusional unadhani aliyegundua light bulb ndio necessarily aliyepata credit au kunufaika nayo ? Dunia ina mamilioni ya watu wenye ideas ambao hawakufanikiwa au ideas zao kuwanufaisha wengine..., na dunia ina matrillioni ya watu ambao hawakuwa na idea zozote lakini wakaboresha kilichopo au kutumia kilichopo kulingana na mazingira na kunufaika...
Haya mambo ya kudhani kila mtu ni innovator au innovation zinatokea kila siku ni kuwa mtu wa nadharia....., Giants wengi na corporations nyingi ndio maana zina vitengo vya research and development au kuwekeza kwenye mashule na universities na ku-pump pesa za kutosha na kila idea ambao huenda ikawa nzuri / au isiwe nzuri kuiwekea patents for future use...., In short when it comes to ideas kuwa nayo pekee / au kuwa nzuri sio necessarily kwamba itatoboa
Neno gani? Hebu sema point gani ya maana kasema na ww nikuelimishe.
Nimegunda hata kusoma hujui wapi nimesema ukiwa na idea nzuri utapata funding ? Mimi nanachosema unaweza ukawa na idea nzuri kuliko zote na sio tu kupata funding huenda hata isitoboe..,UNAHANGAIKA KUANDIKA MANENO MENGI NA HAKUNA POINT YA MAANA. Ww endelea tu na mawazo yako mengi hafifu. Utagundua baada ya kufikisha miaka thelathini na kitu. Tatizo mawazo yako itachukua miaka mingi sana kujigundua. Sio kitu cha kesho wala leo. Unasema eti nikiwa na idea nzuri nitapata funding. Ndoto mfu kabisa.. Unadhania wewe tu ndio unataka hio funding.
Naona unaamua kujiuliza maswali na kujijibu kadri unavyoweza na sio kuongelea kilichopo mezaniNimesema nimeishi USA sababu ninyi mnasikia tu habari za Google, Fb, etc.. Mimi nimeishi sehemu ambayo najua kabisa wamepambanaje na walikuwa na backup gani ndio wakafanikiwa. Na ni kwa nini haitakiwi ujilinganishe nao kama ww unavyofanya.
Acha kuwa hater kwa sababu nimesema nimeishi huko unaona eti ni sababu nataka kuringa. Mawazo mengine hafifu.. Unawaza ujinga tu. Pole sana.
Fupisha maneno bro. Umesema ukiwa na idea nzuri, kupata funding ni rahisiNimegunda hata kusoma hujui wapi nimesema ukiwa na idea nzuri utapata funding ? Mimi nanachosema unaweza ukawa na idea nzuri kuliko zote na sio tu kupata funding huenda hata isitoboe..,
Naona unaamua kujiuliza maswali na kujijibu kadri unavyoweza na sio kuongelea kilichopo mezani
Unakosea Kusema hivyo boss, Kuna kampuni za waafrica wengi wamesha Rise amount kubwa zaidi ya hiyo, Mfano ni Africastaliking (bulk SMS), FlutterWave(payment Solution), MAX ya Nigeria (bodaboda) na nyingine nyingi, Zote hizi founder ni weusiNi rahisi kwa wazungu kumpa $$$ Mweupe mwenzao kuliko mweusi. Ben Fernandez sio Mwafrika Mweusi.
Pia binafsi nimetumia sana Remitly, World Remit, na SendWave sababu ninaishi pia sana tu nje ya Tanzania. Nitatumia sana NALA as long as kwamba itakuwa na faida kwangu.
Hii platform inaitwajeHawa mbona wanapewa hela kila muda. Hapo imekosekana Copia iliyoraise dola milioni 50. Nayo ni fintech kama NALAView attachment 2099081View attachment 2099082
Ni asilimia ndogo sana ukilinganisha na weupe. Research zinaonyesha wanaopewa venture capital kubwa.. Kwa Kenya kwa mfano.. asilimia 94% ni wazungu wa kuja tu.. na kwa weusi ni 6% pekee wakati ndio wazawa wa Africa.Unakosea Kusema hivyo boss, Kuna kampuni za waafrica wengi wamesha Rise amount kubwa zaidi ya hiyo, Mfano ni Africastaliking (bulk SMS), FlutterWave(payment Solution), MAX ya Nigeria (bodaboda) na nyingine nyingi, Zote hizi founder ni weusi
Kwanini usitafute Co-founder mzunguNi asilimia ndogo sana ukilinganisha na weupe. Research zinaonyesha wanaopewa venture capital kubwa.. Kwa Kenya kwa mfano.. asilimia 94% ni wazungu wa kuja tu.. na kwa weusi ni 6% pekee wakati ndio wazawa wa Africa.
Do white founders in Africa have an easier time getting capital?
Funding for African startups is increasing, but most of it goes to startups led by white people.qz.com
View attachment 2099561
Hawa wote ni wazungu wamepewa funding.. weusi ni wachache sana
View attachment 2099563
Mtanzania mnyonge kutoka chato katika ubora wake.Nala Ni uropolo tu went kelele nyiiiiiiingi. Ni kiaAPP kisicho na maajabu yoyote.
Kuraise funds haimaanishi kuwa hiyo startup itafanikiwa.
Huyo jamaa anatumia tu raslimali za nyumbani kuhangaika kupush App yake na kusaka funds.
Lakini hao wafadhili wangejua huku Kuna MamPesq, Tigo pesq jwangeshikiria.pesa zao tu
Binafsi nina miradi yangu kwa sasa. na ninaiendesha vizuri. Kuna wazungu wameomba wao wenyewe kuingia ubia lakini wanataka ku-control asilimia kubwa na hela wanayotoa sio ya maana. Tena unakuta hela yangu na ya kwao ziko sawa tu au nimewazidi kabisa. Kuna project Kubwa nimekuwa nikiifanyia kazi. naamini in 3 years itakuwa teari kwa ajili ya kuwa scaled up na hapo ndio nitatafuta kampuni ya kuingia nayo ubia na sio Mtu Mmoja. Best partnerships ni zile za kuingia na kampuni fulani ambapo unamaintain control pia. Hata venture capital ni nzuri pia. Ila binafsi co-founder mmoja mzungu simhitaji. Au kwa kifupi, sijapata pia ambaye anatoa hela nzuri sana at least uS$ 1 million (tshs 2.3 billion), na ambaye ana conditions ambazo hazitanibana .Kwanini usitafute Co-founder mzungu
Ila nimekuelewa. Kuwa na cofounder mzungu inasaidia funding. Binafsi.. muda ukifika nitamuweka tu yeyote anisaidie pitching. Yes.. ni muhimu kuwa na mtu kama huyo akusaidie ku-pitch idea yako kwa wazungu wenzake.Kwanini usitafute Co-founder mzungu
Mtanzania msukule anayetafuta Basha mitandaoni, akiwa ameshapewa bandoMtanzania mnyonge kutoka chato katika ubora wake.
Sound Cool...Go Nigga.Ila nimekuelewa. Kuwa na cofounder mzungu inasaidia funding. Binafsi.. muda ukifika nitamuweka tu yeyote anisaidie pitching. Yes.. ni muhimu kuwa na mtu kama huyo akusaidie ku-pitch idea yako kwa wazungu wenzake.
Sio lazima awe co-founder.. Hata ukimweka tu akawa na cheo fulani kizuri kwa kampuni, halafu ukamwambia kazi yako ni kutupatia venture funding. Inawezekana
holmes alizingua, nilisoma kitabu kinaitwa THE BAD BLOOD kimeelezea tangu alivyoanzsha thelanos sielew kwann watu wengi waliingia kichwakichwa but ndio dunia ilivyo though still startups zitaendelea kuwepo na zngne zitatoboaFuatilia hizo startups, nyingi Ni trash tu.
Kuna dada mmoja alianzisha yake ya kimagumashi akakusanya pesa akawa Billionaire, inaitwa Thelanos unaweza kugoogle upate stori yake.
Mpaka leo anashtakiwa na wabia
utakua unamaanisha space x mi nasemea tesla but all in all hizi startup huwa zinachukua mda mpk kuwa profitable unless iwe imeleta kitu kipya kwe market, space X yenyew mpk kuja kufanya launch ya kwanza iliofaulu kikamilifu ilichukua karibu miaka kumi lkn now ishasimama, marke ngumu sn aisee kuwa profitable ktk mda mfupi ni issue lazima ukate miaka kdgSifahamu duration exactly ila nachojua alipokea simu kutoka kwa NASA ndio ikamsave na jamaa alikuwa ana pesa kibao ila iliteketea tu kwenye kuanza kwake
utakua unamaanisha space x mi nasemea tesla but all in all hizi startup huwa zinachukua mda mpk kuwa profitable unless iwe imeleta kitu kipya kwe market, space X yenyew mpk kuja kufanya launch ya kwanza iliofaulu kikamilifu ilichukua karibu miaka kumi lkn now ishasimama, marke ngumu sn aisee kuwa profitable ktk mda mfupi ni issue lazima ukate miaka kdg