Nalazimishwa kumuoa binti niliyemzalisha lakini nimegoma. Sheria za nchi zinasemaje?

Nalazimishwa kumuoa binti niliyemzalisha lakini nimegoma. Sheria za nchi zinasemaje?

Mimi sina cha kukutetea! Hata kama huyo binti simjui! Ni kukutamkia mabaya tu!

Kama utamwacha wakati umesababisha hiyo mimba, Matatizo na shida atakazopata huyo mtoto zikupate wewe ko kote utakako kwenda! Na usifanikiwe katika maisha yako yote!

Utatafuta kazi hutapata na kama unayo ufukuzwe,utaandamwa na mikosi isiyoisha katika biashara zako na huyo utakayemwoa badala ya bint huyo uliyemtia mimba ukamwacha! Mpaka hapo akili itakapokurudi na kumkumbuka huyo bint uliyemtia mimba na kumwachia matatizo huyo mtoto.
Daaa, maneno makaliii sana
 
Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.

Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.

Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-

1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?

Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.

Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
Man!Man
Kama mtoto no wako au sio wako ungekaa nae kwenu walau miaka miwili ujue!!

Kama huna mpango wa kumuoa bas ulipaswa umlee yeye na mtoto huyo hadi mtoto akue halafu umwambie kama unamuoa au lah!na kama humuoi Moe mtaji wa biashara Ili alee mtoto wako au chukua moto atakapokua mkubwa ye umpe mtaji ili aendeshe maisha yake binafsi!!!

Handle hiyo ishu vizuri kabla karma haijaja kukusumbua utakapoanzisha familia!!
 
Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.

Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.

Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-

1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?

Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.

Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
Vijana laana nyingine mnajitakia,unawezaje kumlaza mama wa watoto wako kwa Mjumbe?

Usivyo na aibu unawaza kumshtaki baba mkwe?

Eti akikufia ushajifikiria akifa wakati unashiriki nae tendo.
HEBU TOA TAKATAKA YAKO HAPA
 
Hadi mwanamke amekubebea mimba inamaanisha anaelewa hali yako halis ya maisha bro mchukue uishi nae auwez kujua lango lako la mafanikio lipo wapo
Kibaya zaidi ni kuwa machoz ya mtu yanaendan n maumivu ivyoo itakuja kukutengezea laana
Je unavyomtimua ivy bahati mbaya ukasikia wamepata ajari wamefariki utasikitik na kuudhunika au ndio poa tu

Kila kitu kina majira na sababu
 
Sasa we unapiga mzigo unamwagia na ndani ulikuwa unawaza nini? Ulikuwa unamuuliza mwenzio kama yupo sawa?

Acha ujinga kumtesa mwenzako, huyo ni mtoto wako, kipindi anakuja geto unampelekea moto hadi unapigiamo na bao ulikua hufahamu kama ikitokea akafariki ukiwa nae geto itakuwaje, ila baada ya kuzaa ndipo akili imekuja eti vipi akifia kwako...

Laana zingine mnajitengenezea wenyewe baadae mnaharibikiwa maisha mnaanza kumtafuta mchawi.
Namhurumia huyo mama na mtoto.
 
Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.

Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.

Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-

1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?

Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.

Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
Wewe ni mshenzi alafu unajiona una haki wakati mnatiana hamkujua kuwa kuna mimba na mngefanyaje ingetokea? mwenzio anapeleka mzigo kwao badala ya kwako, wewe ni mpumbavu ningekuwa karibu na wewe ningekutandika.

Muoe huyo binti na mtafutie kazi ya kufanya au mpe mtaji acha kuwa mjinga mjinga kwanini usingekuwa unalipia machangu kuliko kulaghai mabinti alafu unasema kwao huwajui ila K ya binti unaijua. Pumbavu zako na kizazi chako.
 
Kumbe ndo akili zako hizi,, that's why hupend kuitwa DEAR
 
Ongea na familia yake, waeleze kuwa utamhudumia mtoto na mama akiwa hapo kwao maana hali yako sio nzuri...mambo yakikaa sawa utamfuata...huwez jua uyo dada akipendeza, mwingine atamtamani na kumbeba...wewe unapona kwa style hiyo
 
Kuoa ni hiari mkuu wala usijistukie kabisa, ila kikitokea kiumbe we hudumia tu
 
Naona wengi wanamsema sana huyu jamaa.

Hivi mwanamke naye alitegemea nini kutombwa kavu na mtu ambaye siyo mume wake?

Tena anajua yuko siku za hatari!! Inashangaza sana

Huyu kijana ni mjinga lakini umalaya umemponza huyo binti.

Wadada tombaneni kavu na waume zenu tu la sivyo mtaishia kuwa single maza

Au mnafikiri mwanaume akikuzalisha au ukimtegea akutie mimba ndio atakuoa?
 
Wewe ni mpumbavu sana aisee!, yani uliweza kulala naye magetoni siku zote mpaka akapata ujauzito, leo ana mtoto unaenda kumlaza kwa mjumbe!, walah dhambi na laana ya huyo mwanamke na mtoto itakufuata popote kwenye maisha yako.
Uliwahi kifikiri angekuwa ndio mdogo wako au dada yako katendewa hivyo,ungejisiaje?
Huyo mshkaji wako uliyemshirikisha na kufikia huo muafaka naye ni mpumbav,wote mmekutana.
Huo mzigo ni wako,kama huna uwezo wa kea waambie wazazi wako wakusaidie.
Na mmejazana humu mitandaoni kuwasengenya ma single mom.mnazalisha vibaka,na wadangaji sababu ya watoto kukosa malezi bora ya wazazi kama wewe mpumbavu.
Watahangaika watu baki kulea na kumkuza huyo malaika, na usivyo na aibu kesho utaibuka kudai mtoto.
Ningekuwa mzazi wa huyo binti, ningekunyoosha kenge wewe😎.
 
Basi hapa hiki nacho kitakuja kuanzisha nyuzi za kuwasimanga singo mama na kinajiapiza hakioi mwanamke mwenye mtoto.....maneeenah
 
Ilikuwaje ukamkojolea...kwani huzijui condoms...?

Hilo ni lako pambana nalo mwenyewe
 
Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.

Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.

Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-

1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?

Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.

Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
ungekuwa na akili hayo maswali na huyo mjinga mwenzio mngejiuliza mwanzo kabisa kabla ya mahusiano
 
Mimi sina cha kukutetea! Hata kama huyo binti simjui! Ni kukutamkia mabaya tu!

Kama utamwacha wakati umesababisha hiyo mimba, Matatizo na shida atakazopata huyo mtoto zikupate wewe ko kote utakako kwenda! Na usifanikiwe katika maisha yako yote!

Utatafuta kazi hutapata na kama unayo ufukuzwe,utaandamwa na mikosi isiyoisha katika biashara zako na huyo utakayemwoa badala ya bint huyo uliyemtia mimba ukamwacha! Mpaka hapo akili itakapokurudi na kumkumbuka huyo bint uliyemtia mimba na kumwachia matatizo huyo mtoto.
amen
 
Maji ukiyavulia nguo sharti uyaoge,
Kwakuwa ulishamvulia nguo huyo dada na ukafanyanae tendo la ndoa basi usikwepe ndoa yenyewe,
 
Nimeumia sana

Yaani mtoto wako na mama wa mtoto wako hao ni ndugu zako hata kama huwataki hukutakiwa kuwalaza kwa mwanaume mwenzio kwa mjumbe,

Nyinyi ndio mnatimuliwaga na mapanga

Huna akili ulaaniwe kabisa
 
Back
Top Bottom