hahaha always done
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,126
- 1,973
Daaa, maneno makaliii sanaMimi sina cha kukutetea! Hata kama huyo binti simjui! Ni kukutamkia mabaya tu!
Kama utamwacha wakati umesababisha hiyo mimba, Matatizo na shida atakazopata huyo mtoto zikupate wewe ko kote utakako kwenda! Na usifanikiwe katika maisha yako yote!
Utatafuta kazi hutapata na kama unayo ufukuzwe,utaandamwa na mikosi isiyoisha katika biashara zako na huyo utakayemwoa badala ya bint huyo uliyemtia mimba ukamwacha! Mpaka hapo akili itakapokurudi na kumkumbuka huyo bint uliyemtia mimba na kumwachia matatizo huyo mtoto.
Man!ManImetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.
Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.
Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-
1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?
Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.
Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
Ukiwa mzinzi jua unafungua milango mingi sana ya ovyo kwenye maisha Yako,, hapo hata mchawi hatumii nguvu kutikisa dishi, , utashangaa tu NO SIGNAL 🚥🚥🚥🚥🚥🚥 jamaa kawa zuzu ghaflaImetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba),
Vijana laana nyingine mnajitakia,unawezaje kumlaza mama wa watoto wako kwa Mjumbe?Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.
Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.
Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-
1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?
Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.
Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
Namhurumia huyo mama na mtoto.Sasa we unapiga mzigo unamwagia na ndani ulikuwa unawaza nini? Ulikuwa unamuuliza mwenzio kama yupo sawa?
Acha ujinga kumtesa mwenzako, huyo ni mtoto wako, kipindi anakuja geto unampelekea moto hadi unapigiamo na bao ulikua hufahamu kama ikitokea akafariki ukiwa nae geto itakuwaje, ila baada ya kuzaa ndipo akili imekuja eti vipi akifia kwako...
Laana zingine mnajitengenezea wenyewe baadae mnaharibikiwa maisha mnaanza kumtafuta mchawi.
Wewe ni mshenzi alafu unajiona una haki wakati mnatiana hamkujua kuwa kuna mimba na mngefanyaje ingetokea? mwenzio anapeleka mzigo kwao badala ya kwako, wewe ni mpumbavu ningekuwa karibu na wewe ningekutandika.Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.
Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.
Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-
1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?
Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.
Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
ungekuwa na akili hayo maswali na huyo mjinga mwenzio mngejiuliza mwanzo kabisa kabla ya mahusianoImetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.
Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.
Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-
1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?
Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.
Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
amenMimi sina cha kukutetea! Hata kama huyo binti simjui! Ni kukutamkia mabaya tu!
Kama utamwacha wakati umesababisha hiyo mimba, Matatizo na shida atakazopata huyo mtoto zikupate wewe ko kote utakako kwenda! Na usifanikiwe katika maisha yako yote!
Utatafuta kazi hutapata na kama unayo ufukuzwe,utaandamwa na mikosi isiyoisha katika biashara zako na huyo utakayemwoa badala ya bint huyo uliyemtia mimba ukamwacha! Mpaka hapo akili itakapokurudi na kumkumbuka huyo bint uliyemtia mimba na kumwachia matatizo huyo mtoto.