Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
Hayo maswali unayouliza saivi ungejiuliza kabla hujampa ujauzito yote haya yasingetokea, usikimbie kitu ulichosababisha mwenyewe data utaratibu umwoe ikishindikana mhudumie uyo mtoto wako asipe shida mbeleni, Ni hayo tu.Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.
Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.
Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-
1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?
Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.
Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
afadhali angalau umekuwa mkali. Na mumshauri ajitahidi kumuoa ili kupunguza single mamasSasa we unapiga mzigo unamwagia na ndani ulikuwa unawaza nini? Ulikuwa unamuuliza mwenzio kama yupo sawa?
Acha ujinga kumtesa mwenzako, huyo ni mtoto wako, kipindi anakuja geto unampelekea moto hadi unapigiamo na bao ulikua hufahamu kama ikitokea akafariki ukiwa nae geto itakuwaje, ila baada ya kuzaa ndipo akili imekuja eti vipi akifia kwako...
Laana zingine mnajitengenezea wenyewe baadae mnaharibikiwa maisha mnaanza kumtafuta mchawi.
Amen!Mimi sina cha kukutetea! Hata kama huyo binti simjui! Ni kukutamkia mabaya tu!
Kama utamwacha wakati umesababisha hiyo mimba, Matatizo na shida atakazopata huyo mtoto zikupate wewe ko kote utakako kwenda! Na usifanikiwe katika maisha yako yote!
Utatafuta kazi hutapata na kama unayo ufukuzwe,utaandamwa na mikosi isiyoisha katika biashara zako na huyo utakayemwoa badala ya bint huyo uliyemtia mimba ukamwacha! Mpaka hapo akili itakapokurudi na kumkumbuka huyo bint uliyemtia mimba na kumwachia matatizo huyo mtoto.
Unanichosha. Nliowatag wanajijua.Na hao wote waliomsema huyu dogo huko juu ni wanawake wenzio?
Kwamba all men are selfish ndo maana unamalizia hasira zako humu jf?
Mnatujua sana wanawake au sio?Tatizo mnaingia kwenye mahusiano na mashorobaro na wa hit and run.
Mwanamke huwa anampenda mwanaume ambaye hayupo serious naye shida inaanzia hapo.
be good to the people on your way up the ladderImetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.
Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.
Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-
1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?
Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.
Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
ushawahi kurogwa? kataa uoneImetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.
Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.
Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-
1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?
Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.
Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
Ndio aina ya wanaume wanataka kuitwa baba hawa 🙁Jamaa alifanya unyama mkubwa sana hapa ni afadhari angelala sebureni amwache binti na mtoto walale chumbani mpaka asubuhi, kwa usiku mmoja tu wala asingezulika na chochote.