Nalazimishwa kumuoa binti niliyemzalisha lakini nimegoma. Sheria za nchi zinasemaje?

Kama ,
Narudia kama huyo Binti umetembea nae kweli na kumpa huo ujauzito,
Basi mchukue kaa nae
Najua kwasasa hujajipanga labda,

Mchukue (Kubali)
Then nenda kwao ukajitambulishe na kuomba msamaha,
Then waombe umhudumie mtoto wao akiwa hapo huku unajitafuta,
Ukishindwa sana mpeleke kwa mama yako.
Lakini usikatae mtoto huo ni ujinga wa mwisho
 
Hayo maswali unayouliza saivi ungejiuliza kabla hujampa ujauzito yote haya yasingetokea, usikimbie kitu ulichosababisha mwenyewe data utaratibu umwoe ikishindikana mhudumie uyo mtoto wako asipe shida mbeleni, Ni hayo tu.
 
Kwa io mtoto wako ukamlaza kwa mjumbe? Jamaa una moyo mgumu sijui wa kiasi Gani
 
We jamaa ni fala sana yani eti nimshtaki baba yake kwa usumbufu kweni wewe haujamsumbua baba yake kwa kumtia mimba binti yake?
 
We jamaa ni fala sana yani eti nimshtaki baba yake kwa usumbufu kweni wewe haujamsumbua baba yake kwa kumtia mimba binti yake?
 
wakati unasexika nae kwanini hukujiuliza hayo maswali yote?

Ngoje wakuroge vizuri ukojoe kwa kutumia mdomo ndio akili itakaa sawa.

endelea kuneng'eneka hapo pumbvu zako
 
afadhali angalau umekuwa mkali. Na mumshauri ajitahidi kumuoa ili kupunguza single mamas
 
Amen!
 
Siku zote nakwambia wewe ni MPUMBAVU.
Haya sasa tupa lawama kwa Magufuli kama kawaida yako.
PUMBAVU sana wewe.
 
be good to the people on your way up the ladder
'cause you'll need them on your way down
 
ushawahi kurogwa? kataa uone
 
Kuna watu ukiwaroga hata Mungu anakuelewa nyege zako ushaharibu future ya bint wa watu wajibika kama mwaume.
 
Jamaa alifanya unyama mkubwa sana hapa ni afadhari angelala sebureni amwache binti na mtoto walale chumbani mpaka asubuhi, kwa usiku mmoja tu wala asingezulika na chochote.
Ndio aina ya wanaume wanataka kuitwa baba hawa 🙁
 
Msimlaumu sana jamani ni huyu kijana ni BROILER kizazi cha 2000 hicho. Hawana cha kupoteza hawa broilers.
 
Labda kama unachangamsha genge kwa chai ya mdalasini,ila kama umemfanyia huyo binti kama ulivyotanabaisha hustahili kuishi mkuu,wewe ni katili sana!Huyo binti asingefukuzwa kwao kama si matokeo yamliyofanya nae,be a man,grow up!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…