Naliona anguko la Diamond linakuja kwa kasi


Kula "like" kaka kwa ufafanuzi zaidi japo watajifanya hawaelewi lkn kimoyomoyo wanakubali
 
Wale wanaotabiri anguko la Diamond hawako sawa. Diamond kama msanii hawezi kuwa juu milele hata Amerika wasanii kama akina R.Kelly game inawakimbiza. Kitu muhimu cha kuzingatia ni kwamba Diamond ameplay part yake katika kuusogeza mziki wetu mbele hivyo atakapoishiwa itakuwa ni jukumu LA msanii mwengine kuendelea kuusogeza mbele mziki wetu. Wale wanaomshabikia Akikiba watasubiri sana maana muda wake ulishapita na aliplay part yake angalau Afrika Mashariki mziki wetu ulisogea, Diamond ameupeleka mbele zaidi hivyo aje mwengine ausogeze zaidi pengine mpaka America.
 
Bora uwaeleweshe maana watu wanajifanya hawaelewi sasa ni zama za Diamond Na yeye wakati Wake utafika atapita watakuja wengine jamani khaa maana anguko anguko ataanguka mungu akitaka si nyie binadamu looh!
 

Unaongeaga point hadi unakeraa..!!
 
Zinga la emotional song inagusa wanaoponda wametanguliza chuki mbele
 

je utanipenda?..hii post ifute mara moja
 
Mambo yake imeishaisha kitambo. Bado kidogo ajiunge na TOT aanze kuimba nyimbo za CCM
 
Wabongo bana...

Nakumbuka nikiwa shule ya msingi, kuna kabinti karembo kalikuwa kanaitwa Betty, alikuwa anaonyesha kila dalili kuwa ananipenda/ananikubali....kwa mfano, ilikuwa nikiingia darasani anashtuka na kusogea kwenye deski ili nikae( kwa anayejua madeski yetu yale ya watatu watatu)...nikichapwa atatafuta muda na kuja kuniambia pole sikioni....akinunua kashata mbili basi ataniletea moja...nakumbuka siku moja tulikuwa na kesi ya kutodeki darasa....akawataja watuhumiwa na kuniacha mimi ingawa nami sikutokea kwenye kazi ile... na kadhalika.

Lakini cha ajabu ilikuwa mtu akimwambia Fyatu ni mchumba wako analia, kama si kuanzisha ugomvi, au kwenda kushtaki kwa mwalimu.

Mpaka tunaachana darasa la nne (nilihama shule) sikuwa nimemuelewa...na labda naye hakunielewa...I dont know.

Nilikuja kumuhadithia mtu siku moja akaniambia neno moja tu "action speaks louder"
 
Huu wimbo kiukweli jaman tuache na ushabiki mhhh mie kwangu big NO
huu unafki siupendi.akitongozwa dadaako unakasirika siku akiolewa unavaa suti.
sasa hapa unaukataa.akizoa tuzo na wimbo huo utasifia!unafki!
 
Huu wimbo sio wa Mike T kweli? "JE UTANIPENDA"
Dah, hivi ni Kweli mpaka anaandika, anafanyia mazoezi na marekebisho na kwenda ku record hakukumbuka Kama mwenzie alishaandika na kuimba huo wimbo.... ??? Kuna Wakati Q chief aliwahi kulalamika kua dogo anatembelea nyota Yake nikajua ni kutapata tu, Ila sasa naelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…