Uchaguzi 2020 Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa 'fair play' ya leo kwenye mkutano wa Tundu Lissu mjini Morogoro

Uchaguzi 2020 Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa 'fair play' ya leo kwenye mkutano wa Tundu Lissu mjini Morogoro

Nimefurahishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kutimiza wajibu wake bila upendeleo.

Leo kwenye hadhara ya kutafuta wadhamini, mgombea urais kwa tiketi ya chadema, Bw. Tundu Antipas Lissu akiwa mkoani Morogoro, askari wa Jeshi la Polisi walionekana wakiimarisha ulinzi na kuhakikisha Bw. Tundu Antipas Lissu anakuwa salama muda wote.

Mpaka hadhara inaisha, amani ilikuwa imetamalaki na hakuna vurugu zozote zilizotokea.

To be honest; from the bottom of my heart nalipongeza jeshi la polisi kwa fairness ya leo. Natamani na maeneo mengine ambayo bado Bw. Tundu Antipas Lissu hajapita, polisi waonyeshe fairness kama walioonyesha polisi wa Morogoro.

Kama hali ikiendelea hivi; uchaguzi utakuwa huru na wa haki na amani itazidi kudumu katika taifa letu.

Mungu awabariki polisi wote
Ni vyema ukatanabaisha Jeshi la polisi Morogoro, maana yaliyotokea pake arusha yalifanywa mbele ya jeshi hilohilo la polisi mkoa wa kilimanjaro
 
Nimefurahishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kutimiza wajibu wake bila upendeleo.

Leo kwenye hadhara ya kutafuta wadhamini, mgombea urais kwa tiketi ya chadema, Bw. Tundu Antipas Lissu akiwa mkoani Morogoro, askari wa Jeshi la Polisi walionekana wakiimarisha ulinzi na kuhakikisha Bw. Tundu Antipas Lissu anakuwa salama muda wote.

Mpaka hadhara inaisha, amani ilikuwa imetamalaki na hakuna vurugu zozote zilizotokea.

To be honest; from the bottom of my heart nalipongeza jeshi la polisi kwa fairness ya leo. Natamani na maeneo mengine ambayo bado Bw. Tundu Antipas Lissu hajapita, polisi waonyeshe fairness kama walioonyesha polisi wa Morogoro.

Kama hali ikiendelea hivi; uchaguzi utakuwa huru na wa haki na amani itazidi kudumu katika taifa letu.

Mungu awabariki polisi wote

Wananchi, sisi hatuna bifu wala ugomvi na ninyi, chama tawala kimetuchonganisha nanyi na kusababisha uhasama mkubwa kati yetu na ninyi, pigeni kelele, pazeni sauti zenu chama dola kiwaachie jeshi lenu la polisi lifanye kazi free bila kuingiliwa!

Fanyeni maamuzi sahihi kwa wingi wenu mkatae chama dola, kinawagawa watanzania!!!

Afande RPC na OCD mwenzangu hapo Morogoro, poleni kwa kusimamia haki, najua kitendo cha kuwaacha wapinzani wakafanya mkutano kwa amani, tena mkawapa na ulinzi kama ule wanaopewa ccm kinaweza kuwagharimu, pokeeni kwa moyo mmoja chochote kitakachoamuliwa juu yenu.

Jeshi la polisi lipo kwaajili yenu watanzania wote
 
Sikiliza video clip kabla TL hajazungumza. Sikiliza jinsi POLISI walivyoweka hali sawa na shughuli nzima ikaenda kwa usalama.

Hongera kwa jeshi la Polisi mkoa wa Morogoro.


Shetani huwa hapendi mtu afanye ibada na mara nyingi hupenda mtu aende jehanam ikitokea shetani akafurahia na kukuongoza ktk ibada zako ujue kuna jambo tafakari sana
 
Mdaiwa-Sugu,

Polisi wakiendelea kusimamia haya mambo kwa weredi kiasi hiki ,wakiweka msimamo kukataza maccm yasingize masunduku ya kura zilizopigwa kwenye polling stations itakuwa bonge la kitu.

Ujuwe mchezo wa draft ukiona unapewa kete moja ule ujuwe utaliwa tatu
 
Nimefurahishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kutimiza wajibu wake bila upendeleo.

Leo kwenye hadhara ya kutafuta wadhamini, mgombea urais kwa tiketi ya chadema, Bw. Tundu Antipas Lissu akiwa mkoani Morogoro, askari wa Jeshi la Polisi walionekana wakiimarisha ulinzi na kuhakikisha Bw. Tundu Antipas Lissu anakuwa salama muda wote.

Mpaka hadhara inaisha, amani ilikuwa imetamalaki na hakuna vurugu zozote zilizotokea.

To be honest; from the bottom of my heart nalipongeza jeshi la polisi kwa fairness ya leo. Natamani na maeneo mengine ambayo bado Bw. Tundu Antipas Lissu hajapita, polisi waonyeshe fairness kama walioonyesha polisi wa Morogoro.

Kama hali ikiendelea hivi; uchaguzi utakuwa huru na wa haki na amani itazidi kudumu katika taifa letu.

Mungu awabariki polisi wote
Mchezo wa draft ni wakutumia akili nyingi ukiona unapewa kete moja ule elewa utaliwa kete zako tatu kwani mpinzani wako lengo lake ni kushinda kwa super jitafakari usifurahie kete moja
 
Dr...una lako jambo si bure[emoji1544][emoji848][emoji2827]
Hahaha hapana nilitaka huyu anayepongeza a rewind au la Chadema waruhusiwe kurudia kule Hai tuone ulinzi huo anaoupongeza wa jeshi la polisi.
 
Back
Top Bottom