Namanage Account za Forex

Namanage Account za Forex

Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.
Tumia fedha za makampuni.

Je kampuni zipi hizo??

Ingia hapa, soma pinned msg zote. Utapata idea nini unapaswa kufanya.
Code:
https://t.me/propfirms
Utanishukuru baaadae! Kila lakheri
==
Ideas!
Code:
https://t.me/PropFirmsTradingIdeas
1659355251608.png

==
Thread closed
 
This is too good to be true. Napata wasiwasi na nia yako ya ukweli.

Kwa trader mzuri kama wewe badala ya kuhangaika na management za account za watu wengine ungeweza tu kutrade zako mwenyewe kwa huo mtaji wako mdogo ulioupata kwenye kazi yako ya kusafisha masinki.


Tunatoa huduma ya kusugua masinki na marumaru
Hustle ndo zimenifanya nifike hapa mkuu...na kama ulidhani umeniumbua kwa kuweka Uzi wangu huu polee na ukumbukee ningeweza kuufuta kama nilikuwa na mpango mbaya...most of traders wanaotoboa wamesota na ndomana hatusumbuliwi na emotional matters coz we come from a very far journey mzee ww ungeweza kusugua sink na una bachelor of laws😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa si ucheze hyo forex mwenyewe upate mahela mwenyewe uwe tajiri mwenyewe au unataka uchezee hela za watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sami akiendelea kuupiga mwingi bas tutajionea na kusikia mengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa si ucheze hyo forex mwenyewe upate mahela mwenyewe uwe tajiri mwenyewe au unataka uchezee hela za watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sami akiendelea kuupiga mwingi bas tutajionea na kusikia mengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ko unaamini fx ni mchezo we jamaa ni layman wa kwanza kabisaa
 
follow this buddah
 

Attachments

  • 8D239799-F423-47D6-B962-61A2FBFF7B2B.png
    8D239799-F423-47D6-B962-61A2FBFF7B2B.png
    123.9 KB · Views: 21
Lol kila MTU ana strategy yake ya kuvuna hela kwenye soko la Forex. Acha kukosoa strategy za wengine by the way hakuna grail strategy kushinda zingine.


Nenda kapitie mijadala ya watu wenye akili zao kule forexfactory.com walivyoichambua hiyo Btmm utarudi hapa kubadiri ulichoandka
I don't follow the masses.
 
Habari Wana jamii forums

Mimi ni kijana wa kitanzania na pia ni muhitimu wa chuo kikuu Cha Iringa.

Nilipokuwa masomoni nilibahatika kukutana na Idea mbalimbali za kutafuta pesa na hii yote ni katika kujiandaa kwamba nitafanya shughuli gani pindi nitakapo maliza masomo, ndio nilipokutana na hii biashara ya sarafu mtandaoni maarufu kama FOREX TRADING mwaka 2017 ndipo nilipoanza kujifunza mwenyewe bila msaada Wa mtu zaidi ya kupata taarifa mtandaoni na kupakua vitabu mbalimbali ili kupata ujuzi.

Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.

Mchanganuo wa mgawanyo wa faida: nitagawana asilimia 50 kwa hamsini na mwekezaji mfano kama mwekezajI kawekeza 500USD na tukapata faida ya 500 USD tutagawana 250USD Kila mmoja.

NB: Kima Cha chini 200USD na nahitaji watu watatu tuh wakitimia nitarudi kwa mrejesho

Karibuni nyote.
Achana na account management mkuu utaumia,walikuwepo kina Ontario,magnetics,born to fx nk,trade ur own account usitafute lawama.

Km uko criaz na forex find a job au fanya business ingine,forex iwe side hustle.
 
Thanx kaka tapeli sio...[emoji3526][emoji3526] That is my country na Sina nyingine ndafanyaje Sasa daah hahahaha
Link your current trading account with myfxbook.

Then, share a link with us, we'll see and judge how genuine you are.
 
We ni mtoto sana kwenye hii 'industry'.

Huna unachojua.
Sema unachojua sio unagusa jujuu tuh....ukijiona profitable ujue kuna walio zaidi Yako mkuu....kuandika Uzi kuhusu forex kabla yangu kusikufanye ukajiona Bora kuliko Kila mtu..
 
Acha kabisa kaka, yaani jamaa kapopolewa mawe mpaka hamu hanayo.
Niache kukwepa mawe kwenye mt4/5 nihangaike na matatizo ya +255 jamaa hamnazo sana kwa mawazo hayo polee
 
Sema unachojua sio unagusa jujuu tuh....ukijiona profitable ujue kuna walio zaidi Yako mkuu....kuandika Uzi kuhusu forex kabla yangu kusikufanye ukajiona Bora kuliko Kila mtu..
Hata basics zinakushinda.

Leo unataka ku-manage acc za watu?

Nenda FTMO uka manage zao.
 
Freedom of choosing a broker ndo zinakufanga useme basics zinanishinda aisee[emoji23][emoji23][emoji23]
Sure basics zinakushinda dogo.

Komaa na mt4 hio upate Hela

Achana na Hela za watz watakuloga ufe.

Kuna mwenzako kafa juzi kati kisa hizi hizi akaunti za kumanage.

Jifunze ku customize tradingview kwanza na kutumia tools zake.

Halafu achana na indicators,robot na templates.

Jifunze market structures uwe mtabe.
 
Back
Top Bottom