Tumia fedha za makampuni.Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.
https://t.me/propfirms
https://t.me/PropFirmsTradingIdeas
Hustle ndo zimenifanya nifike hapa mkuu...na kama ulidhani umeniumbua kwa kuweka Uzi wangu huu polee na ukumbukee ningeweza kuufuta kama nilikuwa na mpango mbaya...most of traders wanaotoboa wamesota na ndomana hatusumbuliwi na emotional matters coz we come from a very far journey mzee ww ungeweza kusugua sink na una bachelor of laws😂😂This is too good to be true. Napata wasiwasi na nia yako ya ukweli.
Kwa trader mzuri kama wewe badala ya kuhangaika na management za account za watu wengine ungeweza tu kutrade zako mwenyewe kwa huo mtaji wako mdogo ulioupata kwenye kazi yako ya kusafisha masinki.
Tunatoa huduma ya kusugua masinki na marumaru
Tunatoa huduma ya kusugua masinki na marumaru
Habarini watanzania wenzangu mimi ni kijana wa kitanzania na nimebahatika kupata degree ya sheria, lakini kama ilivyo kawaida ukimaliza masomo huna budi kusubiri Mungu akuletee kazi ili maisha yaweze kuendelea. Hivyo kama kijana mwenye malengo na baadae yake sitegemei kijana yoyote kuendelea...www.jamiiforums.com
Ko unaamini fx ni mchezo we jamaa ni layman wa kwanza kabisaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa si ucheze hyo forex mwenyewe upate mahela mwenyewe uwe tajiri mwenyewe au unataka uchezee hela za watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sami akiendelea kuupiga mwingi bas tutajionea na kusikia mengi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa si ucheze hyo forex
kwahyo unataka kusema fx ni nn labda ni kazi ile ni shamba lile unalima [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ko unaamini fx ni mchezo we jamaa ni layman wa kwanza kabisaa
I don't follow the masses.Lol kila MTU ana strategy yake ya kuvuna hela kwenye soko la Forex. Acha kukosoa strategy za wengine by the way hakuna grail strategy kushinda zingine.
Nenda kapitie mijadala ya watu wenye akili zao kule forexfactory.com walivyoichambua hiyo Btmm utarudi hapa kubadiri ulichoandka
Achana na account management mkuu utaumia,walikuwepo kina Ontario,magnetics,born to fx nk,trade ur own account usitafute lawama.Habari Wana jamii forums
Mimi ni kijana wa kitanzania na pia ni muhitimu wa chuo kikuu Cha Iringa.
Nilipokuwa masomoni nilibahatika kukutana na Idea mbalimbali za kutafuta pesa na hii yote ni katika kujiandaa kwamba nitafanya shughuli gani pindi nitakapo maliza masomo, ndio nilipokutana na hii biashara ya sarafu mtandaoni maarufu kama FOREX TRADING mwaka 2017 ndipo nilipoanza kujifunza mwenyewe bila msaada Wa mtu zaidi ya kupata taarifa mtandaoni na kupakua vitabu mbalimbali ili kupata ujuzi.
Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.
Mchanganuo wa mgawanyo wa faida: nitagawana asilimia 50 kwa hamsini na mwekezaji mfano kama mwekezajI kawekeza 500USD na tukapata faida ya 500 USD tutagawana 250USD Kila mmoja.
NB: Kima Cha chini 200USD na nahitaji watu watatu tuh wakitimia nitarudi kwa mrejesho
Karibuni nyote.
Acha kabisa kaka, yaani jamaa kapopolewa mawe mpaka hamu hanayo.Ila watu wa forex mbona hampendani hivi? Maana si kwa mapambano haya makali humu
Link your current trading account with myfxbook.Thanx kaka tapeli sio...[emoji3526][emoji3526] That is my country na Sina nyingine ndafanyaje Sasa daah hahahaha
We ni mtoto sana kwenye hii 'industry'.Exness na just forex naona wako fresh kwangu kutokana na instant withdrawal pia spread za exness zinanikwosha sana
Sema unachojua sio unagusa jujuu tuh....ukijiona profitable ujue kuna walio zaidi Yako mkuu....kuandika Uzi kuhusu forex kabla yangu kusikufanye ukajiona Bora kuliko Kila mtu..We ni mtoto sana kwenye hii 'industry'.
Huna unachojua.
Hata basics zinakushinda.Sema unachojua sio unagusa jujuu tuh....ukijiona profitable ujue kuna walio zaidi Yako mkuu....kuandika Uzi kuhusu forex kabla yangu kusikufanye ukajiona Bora kuliko Kila mtu..
Sure basics zinakushinda dogo.Freedom of choosing a broker ndo zinakufanga useme basics zinanishinda aisee[emoji23][emoji23][emoji23]