Namanage Account za Forex

Wote humu ni newbies experience traders hawezi poteza muda wake kujieleza sana
Hahaha ww ndo newbie mwenye karoho korosho...😊
Watu tuMehangaika sana...kutafuta knowledge tumekutana....na ma strategy kibao...marobot na takataka kibao kwenye game...ko tunapokutana na watu kama ww tunaelewa Nia na madhumuni yenu..ni kukatisha watu tamaa tuuh....Siamini ukiwa newbie ukapitia Uzi huu...utatoka mtupu...Sasa hizo material zimetoka kwa newbie we raia??
 
Poa man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…