Hawa vijana wa kiswahili wana matatizo mnoo, wakianza kutrade wakipata vifaida viwili vitatu wanaanza kujiona tayari ni Gurus, wanaanza mbwembwe na show offs mitandaoni🤣🤣🤣Umeona na wauza signals,wafundishaji na huku hawana mtaala uliopitishwa yaani mtu kumeza PDF na YouTube videos unapiga demo unajiita trader.
Make money like 10yrs consistently day in day out or month after months.
We differ kama vidole Mr. Jiulize kwann watatu ndo maximum na naendelea kifikiria kuweka limit ya age soon
Habari Wana jamii forum Mimi ni kijana wa kitanzania na pia ni muhitimu wa chuo kikuu Cha Iringa.
Nilipokuwa masomoni nilibahatika kukutana na Idea mbalimbali za kutafuta pesa...na hii yote ni katika kujiandaa kwamba nitafanya shughuli gani pindi ntakapo maliza masomo, ndioo nilipokutana na hii biashara ya sarafu mtandaoni maarufu kama FOREX TRADING mwaka 2017ndipo nilipoanza kujifunza mwenyewe bila msaada Wa mtu zaidi ya kupata taarifa mtandaoni na kupakua vitabu mbalimbali...ili kupata ujuzi.
Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.
Mchanganuo wa mgawanyo wa faida: nitagawana asilimia 50 kwa hamsini na mwekezaji mfano kama mwekezajI kawekeza 500USD na tukapata faida ya 500 USD tutagawana 250USD Kila mmoja.
NB: Kima Cha chini 200USD na nahitaji watu watatu tuh wakitimia nitarudi kwa mrejesho
Karibuni nyote.
Haupo real mzeee una ajenda zako kwa kichwaThanx kaka tapeli sio...☺️☺️ That is my country na Sina nyingine ndafanyaje Sasa daah hahhah
Ngoja nipige picha nikiwa malaika huku napata easy money, Mara Niko kwa apartment matata,Mara Niko na rolex watch yaani mamicheni Kama yote na mabegi ya GucciHawa vijana wa kiswahili wana matatizo mnoo, wakianza kutrade wakipata vifaida viwili vitatu wanaanza kujiona tayari ni Gurus, wanaanza mbwembwe na show offs mitandaoni🤣🤣🤣
Ontario fulaniHaupo real mzeee una ajenda zako kwa kichwa
Nimekwambia "either or" sasa kama umechagua hilo la utapeli its ok. All i can tell you is Grind in Silence. Kama kweli wewe ni serious and profitable trader usingethubutu kuja humu JF kutafuta Vichwa.Thanx kaka tapeli sio...☺️☺️ That is my country na Sina nyingine ndafanyaje Sasa daah hahahaha
New Member
Biashara Yako Imeshawatoa Kamasi Watu Humu Walipata Machungu Mno
Ndio wanavyodanganyana na Matapeli wenzao wa South Africa, Ulaya na Marekani🤣🤣🤣Ngoja nipige picha nikiwa malaika huku napata easy money, Mara Niko kwa apartment matata,Mara Niko na rolex watch yaani mamicheni Kama yote na mabegi ya Gucci
Anatafuta capital ya kutestia mitamboNimekwambia "either or" sasa kama umechagua hilo la utapeli it ok. All i can tell you is Grind in Silence. Kama kweli wewe ni serious and profitable trader usingethubutu kuja humu JF kutafuta Vichwa.
Alafu tatizo lingine ni Mshamba🤣🤣🤣Anatafuta capital ya kutestia mitambo
Kwan sir Jeff sio profitable we uko Dunia gan Kwan Mr..☺️☺️
Strategy don't make you money trading Wala kuwa guru wa Kuna analyze mkuu. Am here strategies mbona zipo nyingi mno mtandaoni na hata ukigugo zinapatikana ambazo hata Richard Dennis alitumia na Ile ligi yake na William Eckhardt kwa turtle traders ipp free na je mbona bado wanapoteza hela.Najitofautisha kwa kutokuwa na porojo nyingi..basii and simlazimishi mtu namtanguliza Mungu nakufanyia nnachokiamini maana hata nilivyoioata edge/strategy najua mm na Mungu wangu
Asichojua ni kwamba profitable traders wanaangalia upuuzi wake hapaAlafu tatizo lingine ni Mshamba🤣🤣🤣
Hahahhaha inshort wengi mnatumia mgongo wa "nasaidia ,naleta impact" uwongo mtupu.Unajua nimeimpact au naendelea kuimpact wangap njoo rukwa uulize