Namanage Account za Forex

Namanage Account za Forex

Haata wanaounguza wanazijua ama unajua kuwa hawazijui. Si ufanyie hela zako mkuu. Yaani jasho la mwingine uje risk. Pia uko registered wapi,Kuna mamlaka gani zinazokusimamia ikitokea umepoteza hela zangu.
Jaribu kujiunga na proprietary trading firm huko Wana hela watakupa hela zao u manage.naona na bongo tunaenda kuwa Pakistan,India, Bangladesh,sauzi afrika soon.
Hujaandika kuwa ukiwekeza $1000 utapata $4000 ndani ya saa 48.
Watu Kama nyie Sasa ndio mnaoifanya trading and investment inaonekana scam yaani Ni watu wanafanya kitu kionekane Ni kibaya Ila kitu Chenyewe sio kibaya.
Unaweza ukazijua ila kuziishi Huwa ndo mtihani na market ni kitu psychological tambua hilo And mind you ukiona mtu anakwambia weka kiasi kadhaa utapata kiasi kadhaa ni mwongo soko halitupatii kwa style hio
 
Haata wanaounguza wanazijua ama unajua kuwa hawazijui. Si ufanyie hela zako mkuu. Yaani jasho la mwingine uje risk. Pia uko registered wapi,Kuna mamlaka gani zinazokusimamia ikitokea umepoteza hela zangu.
Jaribu kujiunga na proprietary trading firm huko Wana hela watakupa hela zao u manage.naona na bongo tunaenda kuwa Pakistan,India, Bangladesh,sauzi afrika soon.
Hujaandika kuwa ukiwekeza $1000 utapata $4000 ndani ya saa 48.
Watu Kama nyie Sasa ndio mnaoifanya trading and investment inaonekana scam yaani Ni watu wanafanya kitu kionekane Ni kibaya Ila kitu Chenyewe sio kibaya.
Kwenye katiba mpya account managers wasajiliwe na kuanza kulipa kodi
 
Habari Wana jamii forum Mimi ni kijana wa kitanzania na pia ni muhitimu wa chuo kikuu Cha Iringa.
Nilipokuwa masomoni nilibahatika kukutana na Idea mbalimbali za kutafuta pesa...na hii yote ni katika kujiandaa kwamba nitafanya shughuli gani pindi ntakapo maliza masomo, ndioo nilipokutana na hii biashara ya sarafu mtandaoni maarufu kama FOREX TRADING mwaka 2017ndipo nilipoanza kujifunza mwenyewe bila msaada Wa mtu zaidi ya kupata taarifa mtandaoni na kupakua vitabu mbalimbali...ili kupata ujuzi.
Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.
Mchanganuo wa mgawanyo wa faida: nitagawana asilimia 50 kwa hamsini na mwekezaji mfano kama mwekezajI kawekeza 500USD na tukapata faida ya 500 USD tutagawana 250USD Kila mmoja.
NB: Kima Cha chini 200USD na nahitaji watu watatu tuh wakitimia nitarudi kwa mrejesho
Karibuni nyote.
Kama Wewe kweli ni trader mzuri, kwa nini usitrade mwenyewe, why unahitaji watu? Nyinyi matapeli na msiojua how forex trading works mnaichafua sana hii biashara.
 
Una Nini ambacho kinaonyesha kuwa uko competent Sasa.
Ukiwa competent ukimeki hela watu tutakutafuta wenyewe ili umeneji hela zetu hata huko ulikozaliwa huwa wanatafutwa wenyewe Ila sio kujinadi
Sure kwa uzoefu wangu mtu akiwa compentent na yupo real hafake fake vitu investors huwa wanamtafuta wenyewe hafu mbaya zaidi competent trader huwa anakataaa kumanage accounts sasa coz profits zinamtosha.An utakuta watu wanambembeleza ila jamaaa anakaza
 
Forex sio rahisi hivo aisee...kumbuka ukisema vitabu umesomaa vingapii maana forex pekee inaweza jaza library na hakuna mtu anayeweza kujifunza mwenyewe library nzima...huna tofauti na wale wanaosema wanatoa fixed bet [emoji28]kitu ambacho hakipoo...kama kweli unawaza kutafuta pesa DO IT ON YOUR OWN! Forex haijaribiwi na pesa za watu!
Hata wachungaji hawajaishika bibilia yote wala masheihk hawajaishika Quruan yote lakini still make people realize kwamba God is real and Abel...common msikuwe much knowz fellow Tanzanians☺️
 
Kama Wewe kweli ni trader mzuri, kwa nini usitrade mwenyewe, why unahitaji watu? Nyinyi matapeli ma msiojua how forex trading works mnaichafua sana hii biashara.
Umeona na wauza signals,wafundishaji na huku hawana mtaala uliopitishwa yaani mtu kumeza PDF na YouTube videos unapiga demo unajiita trader.
Make money like 10yrs consistently day in day out or month after months.
 
Hata wachungaji hawajaishika bibilia yote wala masheihk hawajaishika Quruan yote lakini still make people realize kwamba God is real and Abel...common msikuwe much knowz fellow Tanzanians☺️
Wewe ni either tapeli au hujui na hujaijua bado forex na trading kwa ujumla. Ninachoweza kukushauri, endelea kujifunza alafu usipagawe na vifaida vidogo unavyopata ukajiona wewe tayari ni champion wa forex.
 
Sure kwa uzoefu wangu mtu akiwa compentent na yupo real hafake fake vitu investors huwa wanamtafuta wenyewe hafu mbaya zaidi competent trader huwa anakataaa kumanage accounts sasa coz profits zinamtosha.An utakuta watu wanambembeleza ila jamaaa anakaza
We differ kama vidole Mr. Jiulize kwann watatu ndo maximum na naendelea kifikiria kuweka limit ya age soon
 
Hata wachungaji hawajaishika bibilia yote wala masheihk hawajaishika Quruan yote lakini still make people realize kwamba God is real and Abel...common msikuwe much knowz fellow Tanzanians☺️
Hahahahah show real things here.Hizi ni hela mzeeee zinatafutwa.kuna jamaa kasema uweke screenshoot ya faida zako hapa umeanza kusema mara nikifake.Why ufake akati wewe ni trader mzuri ,unafake ili iwaje an
 
Sure kwa uzoefu wangu mtu akiwa compentent na yupo real hafake fake vitu investors huwa wanamtafuta wenyewe hafu mbaya zaidi competent trader huwa anakataaa kumanage accounts sasa coz profits zinamtosha.An utakuta watu wanambembeleza ila jamaaa anakaza
Sure Mana Yuko Satisfied na hela anazomeki kuliko za watu. Hii kitu ukiijua unaweza triple account yako in a day hata bila ya risk Wala Nini sio kuwa Ni greed.
Right education iko wapi kila mtu Ana elimu yake
 
Kama Wewe kweli ni trader mzuri, kwa nini usitrade mwenyewe, why unahitaji watu? Nyinyi matapeli na msiojua how forex trading works mnaichafua sana hii biashara.
Thanx kaka tapeli sio...☺️☺️ That is my country na Sina nyingine ndafanyaje Sasa daah hahahaha
 
Back
Top Bottom