Namanage Account za Forex

Namanage Account za Forex

Toa investor password ili tukuone kuanzia lini. Ama your trading account imefanyiwa audit na mamlaka gani ili tuone Kama unafaa kuajiriwa na jasho letu tunalofanya kazi linateremka mpaka mkunδυηi halafu ukazifanyie majaribio. Ogopa na heshimu jasho la wanaume wenzako Tena limetiririka mpaka huko mnudukuni wewe unataka ulilambe kirahisi utaweza kweli ndugu.
Tafuta Ajira upate pesa zako dumbukuza huko. Yaani huwa na blokiwa na wanges wengi mno.anaonyesha trades za ajabu namuomba za bank account Mana hata mie mt4 naweza nikakuonyesha nikakutamanisha ili nikuibie sema sipendi wizi..
Mi siezi kukublock mzee sio dhaifu hivyo mm emotionally 😂😂
 
Si unajua nikiwa na accounts Kama nne mbili nabai mbili zingine naseli the same financial instruments. So huku napata hasara huku naunguza. Hizi mbili za faida nazitumia Kama tangazo kuwavuta wengine yaani trendi inaenda ivyoivyo mpaka Basi. Yaani nikiamka vibaya ya kwako naweka buy ya mwingine sell so lazima uunguze huyu nadabo Mana natumia huge lot
Ndo mana anatafuta accounts
 
Si unajua nikiwa na accounts Kama nne mbili nabai mbili zingine naseli the same financial instruments. So huku napata hasara huku naunguza. Hizi mbili za faida nazitumia Kama tangazo kuwavuta wengine yaani trendi inaenda ivyoivyo mpaka Basi. Yaani nikiamka vibaya ya kwako naweka buy ya mwingine sell so lazima uunguze huyu nadabo Mana natumia huge lot
Mi ni trader sio gambler
 
Elewa kilichoandikwa sio lazima awe fbs anaweza awe mwingne swala uweze kulimit demo balance iwe kama real af share investor pass tukufatikie progress ako
Easy sana hili swala ko tunaanza soko kikifungua this week sio
 
Umekosea njia aisee mtu wa JF ukimwambia mambo ya Fx anakuona kama kichaa ile ni kamari kama kamari nyngne dogo tafta kaz au trade mwenyewe ukiona mtu anajiita Money sjui fx mental ujue amna kitu
Fx si kamari mkuu ni biashara sawa na nyengine na inahitaji elimu kubwa na pia uwe vizuri kwenye kuongoza hisia zako.

Wanaosema ni kamari ni wale walioingia bila kuwa na elimu nayo au kuna mtu aliwaingiza kwa nia ya kuwatapeli kisha akawapiga pesa akakimbia.

Na kingine wasichoelewa watu ni kwamba biashara yoyote ile ina hasara ila ili upate faida inakubidi uangalie njia ya kufanya hasara iwe ndogo hapo utaona mafanikio.

Sasa wale wanaojitapa kwamba hawajawahi pata loss ni wa kuangalia mara mbili.
 
Habari Wana jamii forum Mimi ni kijana wa kitanzania na pia ni muhitimu wa chuo kikuu Cha Iringa.
Nilipokuwa masomoni nilibahatika kukutana na Idea mbalimbali za kutafuta pesa...na hii yote ni katika kujiandaa kwamba nitafanya shughuli gani pindi ntakapo maliza masomo, ndioo nilipokutana na hii biashara ya sarafu mtandaoni maarufu kama FOREX TRADING mwaka 2017ndipo nilipoanza kujifunza mwenyewe bila msaada Wa mtu zaidi ya kupata taarifa mtandaoni na kupakua vitabu mbalimbali...ili kupata ujuzi.
Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.
Mchanganuo wa mgawanyo wa faida: nitagawana asilimia 50 kwa hamsini na mwekezaji mfano kama mwekezajI kawekeza 500USD na tukapata faida ya 500 USD tutagawana 250USD Kila mmoja.
NB: Kima Cha chini 200USD na nahitaji watu watatu tuh wakitimia nitarudi kwa mrejesho
Karibuni nyote.
Na mgawanyo wa hasara je?
 
Habari Wana jamii forum Mimi ni kijana wa kitanzania na pia ni muhitimu wa chuo kikuu Cha Iringa.
Nilipokuwa masomoni nilibahatika kukutana na Idea mbalimbali za kutafuta pesa...na hii yote ni katika kujiandaa kwamba nitafanya shughuli gani pindi ntakapo maliza masomo, ndioo nilipokutana na hii biashara ya sarafu mtandaoni maarufu kama FOREX TRADING mwaka 2017ndipo nilipoanza kujifunza mwenyewe bila msaada Wa mtu zaidi ya kupata taarifa mtandaoni na kupakua vitabu mbalimbali...ili kupata ujuzi.
Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.
Mchanganuo wa mgawanyo wa faida: nitagawana asilimia 50 kwa hamsini na mwekezaji mfano kama mwekezajI kawekeza 500USD na tukapata faida ya 500 USD tutagawana 250USD Kila mmoja.
NB: Kima Cha chini 200USD na nahitaji watu watatu tuh wakitimia nitarudi kwa mrejesho
Karibuni nyote.
Ukirudi online soma post namba #121 kisha ulete mrejesho
 
This is too good to be true. Napata wasiwasi na nia yako ya ukweli.

Kwa trader mzuri kama wewe badala ya kuhangaika na management za account za watu wengine ungeweza tu kutrade zako mwenyewe kwa huo mtaji wako mdogo ulioupata kwenye kazi yako ya kusafisha masinki.


Tunatoa huduma ya kusugua masinki na marumaru
 
Fx si kamari mkuu ni biashara sawa na nyengine na inahitaji elimu kubwa na pia uwe vizuri kwenye kuongoza hisia zako.

Wanaosema ni kamari ni wale walioingia bila kuwa na elimu nayo au kuna mtu aliwaingiza kwa nia ya kuwatapeli kisha akawapiga pesa akakimbia.

Na kingine wasichoelewa watu ni kwamba biashara yoyote ile ina hasara ila ili upate faisa inakubidi uangalie njia ya kufanya hasara iwe ndogo kuliko faida hapo utaona mafanikio.

Sasa wale wanaojitapa kwamba hawajawahi pata loss ni wa kuangalia mara mbili.
Umesema vizuri ndomana kunasehemu niliweka wazi kwamba katika risk management tuna tumia 1:3 as minimum lakini strategy inaweza kukupa hata mpk 1:8 na kuendelea kulingana na analysis Yako....
 
Back
Top Bottom