Zanzibar 2020 Namba 14: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha achukua fomu ya urais Zanzibar. Arejesha fomu hiyo

Zanzibar 2020 Namba 14: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC), Jecha Salim Jecha achukua fomu ya urais Zanzibar. Arejesha fomu hiyo

Karma ni pamoja na Wewe kushindwa kupea mahitaji mwili wako
Huyu ni "karma" tu inasubiri juu ya kesho yake. Kwa maana kwa imani ya dini yoyote ile maamuzi yake yaliikosea mbingu na dunia.
 
Aliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais

Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.

Aisee Zanzibar ni balaa hata Jecha mzee anataka safari hii atangazwe yeye
 
Aliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais

Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.

Connecting the Dots,Jecha alikuwa au amekuwa MwanaCCM kabla,wakati au baada ya kustaafu uenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar? Hata aibu hawana tena,Tume za Uchaguzi kuongozwa na makada.Bado tunasubiri chaguzi Huru, halali na credible kwa aina hii ya watawala?
 
Aliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais

Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.

Aibu kubwa sana kwa Nchi
 
Aliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais

Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.

Hahahahha hii kiboko, CUF na maalim Seif hawatamsahau
 
Aliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais

Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.

Kafupi kama "lishi lya kumalija!!"
 
Atawakomesha huyu wasimuamini sana, atawaambia ole wao wamkate jina Dodoma anatoa siri zote za 2015
Waliahidiana kuwa akipindua meza mnamo ile October 2015,atakayefuata baada ya Dr She in ndiye yeye.Hapo Mzee ameenda kudai chake,na itabidi wampe au...Nawaza tu kwa sababu siyo uthubutu wa kawaida huo.
 
Aliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais

Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.

Tunamlaumu trump bure tu, ila alikua sahihi this is a shithole kantri.
 
Jecha hajaacha kuwa ccm mtiifu muda wote. Huyu alikuwa mtia nia mgombea wa ubunge ndani ya ccm jimbo LA Amani Zanzibar mwaka 2005. Kura hazikutosha. Ni mwana kitengo mstaafu.

Huyu ndie aliyeisaidia CCM kufuta uchaguzi halali WA 2015.

Alisingizia kuumwa na tumbo LA kuendesha Ama kuharisha. Wakiwa wenzake wanamsubiri kuja kumalizia mchakato pale bwawani. Ghafla ilisikika sauti pale ZBC TV. Akifuta uchaguzi bola maafikiano na wajumbe.

Leo hii ni mtia nia WA urais kupitia Ccm.

CCM inachezea amani ya Tanzania
 
Back
Top Bottom