comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
ULIKUWA UNAOGESHWA NA MAMA YAKO MZAZI SEMA SASA KAMA JANA USIKU ALIYEKUOSHA NI MAMA YAKO MZAZI?Sema sasa halafu useme kama kuna tume huru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ULIKUWA UNAOGESHWA NA MAMA YAKO MZAZI SEMA SASA KAMA JANA USIKU ALIYEKUOSHA NI MAMA YAKO MZAZI?Sema sasa halafu useme kama kuna tume huru
Huyu ni "karma" tu inasubiri juu ya kesho yake. Kwa maana kwa imani ya dini yoyote ile maamuzi yake yaliikosea mbingu na dunia.
Aisee Zanzibar ni balaa hata Jecha mzee anataka safari hii atangazwe yeyeAliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Connecting the Dots,Jecha alikuwa au amekuwa MwanaCCM kabla,wakati au baada ya kustaafu uenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar? Hata aibu hawana tena,Tume za Uchaguzi kuongozwa na makada.Bado tunasubiri chaguzi Huru, halali na credible kwa aina hii ya watawala?Aliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Aibu kubwa sana kwa NchiAliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Hata hiyo 1000 still michache,Duh nchi hii kuja kupata maendeleo itachukua miaka 1000.
Hahahahha hii kiboko, CUF na maalim Seif hawatamsahauAliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Kafupi kama "lishi lya kumalija!!"Aliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Waliahidiana kuwa akipindua meza mnamo ile October 2015,atakayefuata baada ya Dr She in ndiye yeye.Hapo Mzee ameenda kudai chake,na itabidi wampe au...Nawaza tu kwa sababu siyo uthubutu wa kawaida huo.Atawakomesha huyu wasimuamini sana, atawaambia ole wao wamkate jina Dodoma anatoa siri zote za 2015
Tunamlaumu trump bure tu, ila alikua sahihi this is a shithole kantri.Aliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Hapana na kwa hapa nchi ilikofikishwa wanakuambia ukiwa CCM,unakuwa juu ya sheria zote za Tanzania kwa sasa.Sheria hazifuatwi na hakuna wa kukemea,tupo in mute state/mode.Halafu kweli sheria zinaruhusu aliyewahi kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kugombea siasani?
Hivi kumbe wenyeviti wa tume za uchaguzi ni ccm halafu wapinzani wanakubali kushiriki uchaguzi?
Dah...Miaka 3 inatosha kukijua chama na kuamininiwa hadi kuomba kuteuliwa nafasi ya Urais wa nchi?