YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
wakishatoka kazini kustaafu ruksa kujiunga chama chochoteHivi kumbe wenyeviti wa tume za uchaguzi ni ccm halafu wapinzani wanakubali kushiriki uchaguzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakishatoka kazini kustaafu ruksa kujiunga chama chochoteHivi kumbe wenyeviti wa tume za uchaguzi ni ccm halafu wapinzani wanakubali kushiriki uchaguzi?
So ccm wanafata mfano wa Chadema?Dah...
Hii inaitwa nyani haoni kundule. Lowassa ilikuaje?
Mkuu sikupendagi Lakini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lowasa alijiunga Chadema jumamosi, jumatatu akateuliwa mgombea wa Urais
Kajiunga sisiemu lini huyu jecha? Unazo taarifa? Una uhakika ni wiki hii? Chadema ilikuwa masaa 100 tu wakampa mtu kuoeperusha bendera...So ccm wanafata mfano wa Chadema?
2 wrongs doesn't make one right bwashee
Upuuzi kabisa leo ndiyo tumeamini CCM mnatumia ubabe kutawala ipo siku mtaliaJecha baba lao. Maalim Seif ataangushwa asubuhi
Mimi sijui kajiunga lini pili mimi sijasema Chadema walikuwa sahihi na ndio maana nikakukumbusha kuwa 2 wrongs doesn't make one right! Lakini pia swala langu la msingi lilikuwa je tuchukulie amejiunga baada tu ya uchaguzi, je huu muda unatosha kuiva kichama hadi kupewa dhamana ya kupeperusha bendera ya chama!Kajiunga sisiemu lini huyu jecha? Unazo taarifa? Una uhakika ni wiki hii? Chadema ilikuwa masaa 100 tu wakampa mtu kuoeperusha bendera...
unaongea kama pungaKm amejiunga na Ccm baada ya 2016 je?
CCM inachezea hii nchi itakavyoDuh nchi hii kuja kupata maendeleo itachukua miaka 1000.
sasa hapo kinakuchesha nini?Hahahahha hii kiboko, CUF na maalim Seif hawatamsahau
wewe si msukuma kutabebwa na usukuma wakoHalafu kweli sheria zinaruhusu aliyewahi kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kugombea siasani?
Hata kama hua sikubaliani na wewe ila hili jibu lako la leo kama ni kwenye boxing tunaita block buster🤣🤣🤣Lowasa alijiunga Chadema jumamosi, jumatatu akateuliwa mgombea wa Urais
Lowasa alikuwepo mwana siasa ficha ujinga wakoDah...
Hii inaitwa nyani haoni kundule. Lowassa ilikuaje?
Utaambiwa sio mzalendo, unastahili kuuwawa!!Nchi ya kijinga sana hii.
Nawezaje kuwa na uraia wa nchi mbili ?Nchi ya kijinga sana hii.