Mahakama, Bunge na vyombo vyote vya dola na habari katika nchi zenye Tawala za kidikteta ndivyo zilivyo,huhakikisha wote wanaimba nyimbo za kusifu na kuabudu utawala au yeye binafsi.
Hii inathibitisha bila shaka yoyote kwamba watumishi wa Tume ya uchaguzi ni wanaCCM na kwa wao kusimamia uchaguzi ni kinyume cha katiba ya nchi....
Dah ila ana sura ya upole huwezi amini, hilo pozi lake utadhani Malaika vile....Jecha kiboko ya wezi, ukiiba kete anavuruga draft muanze upya
Au vp bwana😆😆😆😆
wenye roho za kishetani wako hivyoDah ila ana sura ya upole huwezi amini, hilo pozi lake utadhani Malaika vile....
Hahahaha hahahahawenye roho za kishetani wako hivyo
Hivyo ndivyo sheria ilivyo lakini hakuna wa kuhoji uvunjwaji huo wa sheria/Katiba kwa sababu ni CCM.Serikali wangeweka sheria kwa watumishi wa Tume ya uchaguzi kutokuruhusiwa kujiunga na chama chochote cha siasa kama ilivyo kwa CAG kutokuajiliwa sehemu yoyote baada ya ukomo wa kazi yake.!
Mihimili yote 3 katika awamu ya 5 haina hata kipisi kimoja cha mshipa wa aibu.
Hii inathibitisha bila shaka yoyote kwamba watumishi wa Tume ya uchaguzi ni wanaCCM na kwa wao kusimamia uchaguzi ni kinyume cha katiba ya nchi...
Maigizo! We must be a laughing stock kwa wenzetu🤔Siasa za Tanzania bhana 😂😂😂😂😂😂
Nadhani ndo dhana ya Uhuru was kila mmoja
Hii inathibitisha bila shaka yoyote kwamba watumishi wa Tume ya uchaguzi ni wanaCCM na kwa wao kusimamia uchaguzi ni kinyume cha katiba ya nchi.
Jambo hili linadhalilisha Mahakama ya Tanzania na inathibitisha pasipo na shaka yoyote kwamba Mahakama si huru wala si Mhimili unaojitegemea.
Nakulilia Tanzania.
AminaDear Erthrocyte
Siku zote nazipenda sana post zake. unasema kweli sana na Allah akuzidishie. Huyo nduli jecha salum Jecha hakustahiki kuchukua fomu ya urais. Nafkiri mahkma ingeweka kipengele cha mtu yyte aliyewahi kuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi hastahiki kugombea nafasi ya urais. Akiruhusiwa huyu firauni alolaaniwa na Allah nitajuwa kuwa Tanzania tunayo safari refu kama taifa. Allah amwangamize Jecha salum Jecha
Sasa baada ya Ibara hiyo nzuri tuletee ibara inayoeleza sifa za ofisa wa Tume ya uchaguziJecha huyu huyu angekuwa ameenda kuchukua fomu kupitia Chadema au chama kingine cha upinzani mngefurika hapa na kudai CCM imeisha kwa sababu Jecha kawaletea siri za kushinda uchaguzi.
Wanasheria mtusaidie kipande hiki kutoka katika katiba ya Zanzibar...
Connecting the Dots,Jecha alikuwa au amekuwa MwanaCCM kabla,wakati au baada ya kustaafu uenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar? Hata aibu hawana tena,Tume za Uchaguzi kuongozwa na makada.Bado tunasubiri chaguzi Huru, halali na credible kwa aina hii ya watawala?
Anayo haki kama walivyo raia wengine. Lakini kwa kashfa aliyo nayo angetumia busara ya kupumzika tu.View attachment 1484300
Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM.
Jecha amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na vilevile aliwahi kugombea Ubunge wa Jimbo la Chumbuni.
Maoni yangu:
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Mkuu, Jecha hata kama asingekua na kashfa yoyote, kwa nafasi aliyowahi kushika kwa mtu mwenye maadili na kujiheshimu wala hakupaswa kuchukua fomu kwa tiketi ya chama chochote.Anayo haki kama walivyo raia wengine. Lakini kwa kashfa aliyo nayo angetumia busara ya kupumzika tu.