Mahakama, Bunge na vyombo vyote vya dola na habari katika nchi zenye Tawala za kidikteta ndivyo zilivyo,huhakikisha wote wanaimba nyimbo za kusifu na kuabudu utawala au yeye binafsi.
Hii inathibitisha bila shaka yoyote kwamba watumishi wa Tume ya uchaguzi ni wanaCCM na kwa wao kusimamia uchaguzi ni kinyume cha katiba ya nchi....
Wakuu wa taasisi zote huwa ni lazima wawe ni watu walio karibu na mtawala,vyama vya siasa vinakuwa ni mwavuli tu.
Tanzania sasa ipo katika stage za mwisho kukamilika kuwa nchi ya kidikteta.