View attachment 1484300
Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM.
Jecha amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na vilevile aliwahi kugombea Ubunge wa Jimbo la Chumbuni.
Maoni yangu:
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Ni zaidi ya futuhiAhahaha elections za Tz ni joke
Jecha baba lao. Maalim Seif ataangushwa asubuhi
Labda ndio yalikuwa makubaliano kuwa Shein akimaliza muda wake atapewa nafasi kama zawadi.Atawakomesha huyu wasimuamini sana, atawaambia ole wao wamkate jina Dodoma anatoa siri zote za 2015
Sema sasa halafu useme kama kuna tume huru
Jecha hajaacha kuwa ccm mtiifu muda wote. Huyu alikuwa mtia nia mgombea wa ubunge ndani ya ccm jimbo LA Amani Zanzibar mwaka 2005. Kura hazikutosha. Ni mwana kitengo mstaafu.
Huyu ndie aliyeisaidia CCM kufuta uchaguzi halali WA 2015...
Dah ila ana sura ya upole huwezi amini, hilo pozi lake utadhani Malaika vile....
Ina maana huyu jamaa kipindi hicho alikuwa ni kada wa chama chakavu?Jecha alijizolea umaarufu sana mwaka 2015.
Anajua siri ya mchezo huyo.
Baada ya uchaguzi wa 2015 mtoto wa Lubuva (Jaji) alipewa ukurugenzi wa Wilaya MwangaView attachment 1484300
Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM.
Jecha amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na vilevile aliwahi kugombea Ubunge wa Jimbo la Chumbuni..
Watanzania chagueni kutumia wingi wa kura zenu kuleta manadiliko au kubalini ccm watumie mabomu kulazimisha agenda zaoView attachment 1484300
Jecha Salim Jecha amejitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais visiwani humo kwa tiketi ya CCM.
Jecha amewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na vilevile aliwahi kugombea Ubunge wa Jimbo la Chumbuni.
Maoni yangu:
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
Wapi mkuu nimesema nataka kubebwa?wewe si msukuma kutabebwa na usukuma wako
Atawakomesha huyu wasimuamini sana, atawaambia ole wao wamkate jina Dodoma anatoa siri zote za 2015