Natabiri kuwa ataongoza Zanzibar kipindi kimoja na kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya Tanzania kwa vipindi viwili baada ya Mh. Magufuli kama ilivyotokea kwa Baba yakeMbunge wa Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa katika serikali ya awamu ya Tano Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar katika ofisi za chama cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja.
Candidate na Rais wa JMT 2025-2030. Mh.Hussein Mwinyi amewekeza sana kwenye UADILIFU UAMINIFU NA UZALENDO Kinachofuata ni rewards all the way kuipeleka Tanzania kuwa nchi ya uchumi mkubwa.Too humble and geniusDr. Hussein Mwinyi ni kiongozi wa pekee aliyeonyesha umahiri wa ajabu na nidhamu isiyo na mfano hata baada ya kukaa kwa muda mrefu sana kwenye nafasi za juu za uongozi. Kwakweli kwa mtu mwenye dhamira njema atakubaliana nami kuwa hicho ni kipaji. Very humble, obidient, understanding, asiye jikweza pamoja na kutoka kwenye familia ambayo imepata previllage ya kutoa Rais wa awamu ya pili, yet he maintained his composure...Siyo rahisi na ni wachache wa namna yake.
All the best kiongozi na Mungu akutangulie katika adhma yako hii njema ya kuwania nafasi ya juu zaidi huko Zanzibar, naamini Mungu hatakuacha wala kukupungukia.
Waziri wa Muungano ajaye baadae kuwa wa ulinziDamu huwa aidanganyi mkuu
Anaweza tokea ata mjukuu akawa kama nyerere miaka ijayo
Wanaye wapo kwenye siasa ila hawatoshi ngazi ya urais
Makongoro nyerere alitiaga nia uais 2015
Na ubunge amewai kushika na uenyekiti wa ccm mkoa wa mara
Sasa ivi madaraka anautafuta ubunge jimbo la butihama kumrithi mzee mkono
😆😆😆😆 imebidi nicheke tu
Tatizo ni nini? zenji ni nchi ya kisulutani, muoneni babu yenu tangu 1995 mpaka sasa bado anawania usultani. sasa kwa watoto afadhali wanaona aibu wanapokezana. mwambieni huyo mzee wa act-wazalemdo asichukue fomu awaachie na wengine wajaribu. asante. kaka tuchartIfike wakati tabia ya kurithishana madaraka ya nchi ikomeshwe , Wazanzibar ambao baba zao hawakuwa viongozi hawana haki ya kuwania uongozi ?
Hivi sheria inaruhusu mtu wa bara kuwa Rais wa Zanzibar?Mbunge wa Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa katika serikali ya awamu ya Tano Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar katika ofisi za chama cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja.
ZANZIBAR lazima raisi atoke kwenye ukoo wa ubwenyenye kama huyuMbunge wa Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa katika serikali ya awamu ya Tano Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar katika ofisi za chama cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja.
Mkuu naomba utujuze wa huku mwaka 2025Ni protocol tu zinafuatwa lakini kiukweli Dr.Hussein ndo Rais ajae wa zanzibar.
Rais wa Zanzibar anaweza kuwa meja jenerali mstaafu Issa NassoroHawawezi kuingia ikulu wapemba wawili kwa kufuatana. Wahafidhina wa kiunguja hawatokubali katu asilaani.
Mkuu Bado Ni waziriWaziri wa ulinzi na JKT wa nchi gani?
Tanzania hakuna uwaziri bila ubunge, na bunge limevunjwa jana.
Mbona wako watoto wa viongozi wengi tu nchi hii? Wangapi wana sifa za kupigiwa mfano kama Dr. Hussein Mwinyi?
Kiuhakika nimefurahishwa mno. Ni kiongozi mnyenyekevu sana hana skendo za kukinga. Hata ndogo sijakusikia. Ila ninaamini ana utu sana. Akiwa waziri wa sekta nyeti ya kitaifa siyo mchezo kabisa. Zanzibar wanapata dodo la kuondoka mtini bila kupata kidonda.Ni miaka mitano then ataswitch kuja URT kama amiri jeshi mkuu wa URT from 2025-2030, like father like son. Bonge la Rais, amepikwa na akapikika.Kudos Daktari
Hakika umenena. Ninamsubiri tu 2025 aje kuwa Rais wa Jamhuri. The smartest President nakuhakikishieni. Hana makuu. Familia nzima iko cool down to earth.Dr. Hussein Mwinyi ni kiongozi wa pekee aliyeonyesha umahiri wa ajabu na nidhamu isiyo na mfano hata baada ya kukaa kwa muda mrefu sana kwenye nafasi za juu za uongozi. Kwakweli kwa mtu mwenye dhamira njema atakubaliana nami kuwa hicho ni kipaji. Very humble, obidient, understanding, asiye jikweza pamoja na kutoka kwenye familia ambayo imepata previllage ya kutoa Rais wa awamu ya pili, yet he maintained his composure...Siyo rahisi na ni wachache wa namna yake.
All the best kiongozi na Mungu akutangulie katika adhma yako hii njema ya kuwania nafasi ya juu zaidi huko Zanzibar, naamini Mungu hatakuacha wala kukupungukia.