Zanzibar 2020 Namba 5: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kuwania Urais wa Zanzibar

Zanzibar 2020 Namba 5: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kuwania Urais wa Zanzibar

Mbunge wa Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa katika serikali ya awamu ya Tano Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar katika ofisi za chama cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja.

Natabiri kuwa ataongoza Zanzibar kipindi kimoja na kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya Tanzania kwa vipindi viwili baada ya Mh. Magufuli kama ilivyotokea kwa Baba yake
 
Dr. Hussein Mwinyi ni kiongozi wa pekee aliyeonyesha umahiri wa ajabu na nidhamu isiyo na mfano hata baada ya kukaa kwa muda mrefu sana kwenye nafasi za juu za uongozi. Kwakweli kwa mtu mwenye dhamira njema atakubaliana nami kuwa hicho ni kipaji. Very humble, obidient, understanding, asiye jikweza pamoja na kutoka kwenye familia ambayo imepata previllage ya kutoa Rais wa awamu ya pili, yet he maintained his composure...Siyo rahisi na ni wachache wa namna yake.

All the best kiongozi na Mungu akutangulie katika adhma yako hii njema ya kuwania nafasi ya juu zaidi huko Zanzibar, naamini Mungu hatakuacha wala kukupungukia.
Candidate na Rais wa JMT 2025-2030. Mh.Hussein Mwinyi amewekeza sana kwenye UADILIFU UAMINIFU NA UZALENDO Kinachofuata ni rewards all the way kuipeleka Tanzania kuwa nchi ya uchumi mkubwa.Too humble and genius
 
Damu huwa aidanganyi mkuu
Anaweza tokea ata mjukuu akawa kama nyerere miaka ijayo
Wanaye wapo kwenye siasa ila hawatoshi ngazi ya urais
Makongoro nyerere alitiaga nia uais 2015
Na ubunge amewai kushika na uenyekiti wa ccm mkoa wa mara
Sasa ivi madaraka anautafuta ubunge jimbo la butihama kumrithi mzee mkono
Waziri wa Muungano ajaye baadae kuwa wa ulinzi
 
Ifike wakati tabia ya kurithishana madaraka ya nchi ikomeshwe , Wazanzibar ambao baba zao hawakuwa viongozi hawana haki ya kuwania uongozi ?
Tatizo ni nini? zenji ni nchi ya kisulutani, muoneni babu yenu tangu 1995 mpaka sasa bado anawania usultani. sasa kwa watoto afadhali wanaona aibu wanapokezana. mwambieni huyo mzee wa act-wazalemdo asichukue fomu awaachie na wengine wajaribu. asante. kaka tuchart
 
Mbunge wa Kwahani na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa katika serikali ya awamu ya Tano Dkt. Hussein Mwinyi achukua fomu kwa lengo la kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar katika ofisi za chama cha Mapinduzi (CCM) Kisiwandui mjini Unguja.

Hivi sheria inaruhusu mtu wa bara kuwa Rais wa Zanzibar?

Vv
 
Je John atakubali kusafiri na Husein? Kuna mwanabodi aliuza swali humu, Sasa Hussein ameamua kujitosa je, ikitokea Mkapa akampitsha kuwa mgombea kwa upande was visiwani . Je , John atakubali kusafiri na?
 
Mbona wako watoto wa viongozi wengi tu nchi hii? Wangapi wana sifa za kupigiwa mfano kama Dr. Hussein Mwinyi?

Umewahi kumsikia marehemu Thabit Kombo katika duru za siasa za Zanzibar? Mahmood Thabit ndio mwanae. Kama umaarufu wa wazazi wao na mchango wao kisiasa huko visiwani ndio vigezo basi marehemu Thabit Kombo alikuwa zaidi ya Ally Hassan Mwinyi!!!
 
Ni miaka mitano then ataswitch kuja URT kama amiri jeshi mkuu wa URT from 2025-2030, like father like son. Bonge la Rais, amepikwa na akapikika.Kudos Daktari
Kiuhakika nimefurahishwa mno. Ni kiongozi mnyenyekevu sana hana skendo za kukinga. Hata ndogo sijakusikia. Ila ninaamini ana utu sana. Akiwa waziri wa sekta nyeti ya kitaifa siyo mchezo kabisa. Zanzibar wanapata dodo la kuondoka mtini bila kupata kidonda.
 
Dr. Hussein Mwinyi ni kiongozi wa pekee aliyeonyesha umahiri wa ajabu na nidhamu isiyo na mfano hata baada ya kukaa kwa muda mrefu sana kwenye nafasi za juu za uongozi. Kwakweli kwa mtu mwenye dhamira njema atakubaliana nami kuwa hicho ni kipaji. Very humble, obidient, understanding, asiye jikweza pamoja na kutoka kwenye familia ambayo imepata previllage ya kutoa Rais wa awamu ya pili, yet he maintained his composure...Siyo rahisi na ni wachache wa namna yake.

All the best kiongozi na Mungu akutangulie katika adhma yako hii njema ya kuwania nafasi ya juu zaidi huko Zanzibar, naamini Mungu hatakuacha wala kukupungukia.
Hakika umenena. Ninamsubiri tu 2025 aje kuwa Rais wa Jamhuri. The smartest President nakuhakikishieni. Hana makuu. Familia nzima iko cool down to earth.
 
Kama Mwinyi Angekua amewekwa wizara ngumu zinazohitaji mtu afanye kazi haswa akazimudu ningeamini anaweza Sana.
Wizara ya Mambo ya ndani
Wizara ya ujenzi
Wizara ya ardhi
Sasa Ukiwa waziri Wa wizara ya ulinzi na JKT haiwagusi wananchi moja kwa moja kwenye Maisha yao ya kila Siku.
Hata ukimuuliza mwananchi kule chini anaweza asimjue hata Huyo waziri na asijue hata anafanya kazi gani.
Ni nani alipewa Hiyo wizara ikamshinda?
Nafikiri aliwekwa makusudi kwenye wizara ambayo haiwezi kumletea madhara na wananchi haiwasumbui Sana.
 
Back
Top Bottom