Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kwani nyie chadema hamtarajiii kushinda urais kule?Mkuu Bora huyu awe raisi, amekulia kwenye mazingira ya uongozi, hawa wengine akina kajambakoti wakipewa madaraka ni wasumbufu sana, nadhani mifano unaijua.