witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
We unaionaje E?Imekaa kibabe gari ikiwa D
Utakuwa unapronounce "iei ei" ndo EAA[emoji1787]
Mvutolees[emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unaionaje E?Imekaa kibabe gari ikiwa D
Kitu HAA[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Tunaosubiri namba HAA tujuane
Kwa sababu pikipiki ziliondolewa kwenye namba za magari.Ila D ilikaa sana au kwakuwa mwendazake alibana sana madili
Yes kwa wanaouza magari it matters a lot maana kuna mtu anatoka mashambani kauza pamba ukimpa gari yenye namba D hakuelewi anataka latest akawazingue .Hivi kuna mtu kweli amekaa anasubiria namba E? 🤣
Wasukuma mkokoteni, achana na makabila.Wasukuma tunasubiri kwa hamu mkuu 😁😁
DYA tayari nimeiona Jana tegetaE ya kufoji.. maana DYA wala DZA bado hazijatoka
Hahaaa... atakua Extrovert tu huyo..😄Hehehe...umejuaje afu yumo humu anakuzoom[emoji16][emoji16][emoji16]
watu wa michongowatanzania hawajui magari mazuri wao wanunua magari kwa namba
Wale mliokuwa mnasubiria namba E zitoke ili mnunue magari, sasa the wait is over! Mzigo ushatoka, kazi kwenu...
View attachment 2050752m
Mimi nasubiri ZZZ 001Wale mliokuwa mnasubiria namba E zitoke ili mnunue magari, sasa the wait is over! Mzigo ushatoka, kazi kwenu...
View attachment 2050752
Umeingia kichwa kichwaWale mliokuwa mnasubiria namba E zitoke ili mnunue magari, sasa the wait is over! Mzigo ushatoka, kazi kwenu...
View attachment 2050752
Kweli hizi nb bado,hiyo yakuchongaE ya kufoji.. maana DYA wala DZA bado hazijatoka
Hana shida ya usafiri huyoHivi kuna mtu kweli amekaa anasubiria namba E? [emoji1787]
Sana'a imekaaaaIla D ilikaa sana au kwakuwa mwendazake alibana sana madili