Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Tuone magari yako yenye DSipendi E mimi...namba D ya kibabe sana
Acha utan juz ijumaa ilkua DYA ya 21_leo Zimetoka DYD
Ziko SGR ISAKA -MWANZA-magari ya kubeba mizigoDZZ nani kaiona jamani siyo fix hizi?
Hiyo picha ni Photoshop....namba E bado haijatokaLaki 7 tu walitangaza TRA.
Mi nasubir FAATunaosubiri namba HAA tujuane
Hiyo picha imewakamata watu kibao Sana,aliyetengeneza hii Photoshop ni Fala kwelikweliHii E ya mchongo haijatoka rasmi mtu kajisikia tu kuleta taharuki!
Kaa utafakariZimetoka. Leo nimeona DXZ
DYA tayariE ya kufoji.. maana DYA wala DZA bado hazijatoka
Ipo lakiUna shing ngapi hapo nikufanyie makeke
Inatakiwa ifike DZZ mkuu, ndo ianze E currently tupo DX.. bado DY , a to z , then ije DZ again a to zZimetoka. Leo nimeona DXZ
Njoo kwenye yard yangu mkuu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Tuone magari yako yenye D
Yaani unataka kusema mwakani hatuanzi na E?Inatakiwa ifike DZZ mkuu, ndo ianze E currently tupo DX.. bado DY , a to z , then ije DZ again a to z
Kila herufi moja inabeba usajili wa gari 898 , 101 to 999, ukiondoa 'I 'na 'O' maana hizi huwa hazihesabiwi , mpaka tufike namba E kuna wastani wa usajili wa magari zaidi ya 20000 hivi roughly, sio leo wala mwaka ujao!,
Yaani unataka kusema mwakani hatuanzi na E?