Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bana...huyo E ni herufi ya jina lake kabisa la ubatizo sio hizi fekeroHahaaa... atakua Extrovert tu huyo..[emoji1]
Bodaboda na bajaji walipewa namba zao tofautiIla D ilikaa sana au kwakuwa mwendazake alibana sana madili
Mkuu na akili zangu zote sijawahi kujua maana ya hizi namba za magari.DYA ambayo tayari ishatoka
DZZ nani kaiona jamani siyo fix hizi?Zimetoka. Leo nimeona DXZ
unapewaje? hizo ni fix sasaD kama hazijaisha ila ukiwa na pesa yako unapewa E
Umekurupuka. Nimeandika DXZDZZ nani kaiona jamani siyo fix hizi?
DYA zimeanza jana tar 19 DecE ya kufoji.. maana DYA wala DZA bado hazijatoka
DY iyo.. bado DZ mchezo uixheE ya kufoji.. maana DYA wala DZA bado hazijatoka
Inafuata DYA!Baada ya DXZ ni herufi gani inafata?
Wasukuma kizazi.Wasukuma mkokoteni, achana na makabila.
Kabisa Yaani Haianzi T 00001 EAAE ya mchongo
Ladies wengi ndo hawajuagi mambo ya namba za magari. Jitahidi uvijue vitu kama hivi esp kama ni kidumeMkuu na akili zangu zote sijawahi kujua maana ya hizi namba za magari.
Sijui namba A, B ,C na D uwa mnamaanishaga nini?
Nasikia mtu anasema gari namba B limauZwa nashimdwa kumuelewa
Una shing ngapi hapo nikufanyie makeke